GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Katika Harusi yako ya Kuolewa rasmi au?Tukutane tar 8 mkuu
Mechi zote zinachezwa muda gani mkuu? Saa 1 au 2 usiku?Katika Harusi yako ya Kuolewa rasmi au?
Ya Simba na Yanga ni Saa 1 Kamili ya Usiku.Mechi zote zinachezwa muda gani mkuu? Saa 1 au 2 usiku?
Unguja saa 10.00 jioni.Mechi zote zinachezwa muda gani mkuu? Saa 1 au 2 usiku?
Shukran mkuuUnguja saa 10.00 jioni.
ShukranYa Simba na Yanga ni Saa 1 Kamili ya Usiku.
Hivi zile simu 14 ulizompa Mwenyekiti wako kipindi kile, bado tu hazijaisha mpa leo!! 🥵1. Tumewaonea tu Huruma nanyi mshinde ili mfurahi
2. Tumewaachia ili msije Kuuana bure
3. Tumeshachukua letu la Kwanza kwa Mandele hivyo tulitaka nanyi mchukue lenu kwa Nyerere
4. GENTAMYCINE alishasema kuwa Mwamuzi ni Shabiki mwenzenu hivyo tulijua tu tutakufa
5. Tumeshachoka kila mara Kuwafungeni kwani ingeonyesha kuwa Upinzani wetu Umeshakufa
6. Wachezaji wetu walikuwa bado hawajachanganya na kuelewana
7. Sisi tunajua ni Mechi ya Uwanjani tu kumbe Wenzetu hadi Wanakufuru kwa Mungu kwa Kuroga vibaya
Kudadadeki litakufa Jitu Kesho kwa Mkapa.
8. Baadhi ya wachezaji wamehongwa ili wacheze chini ya kiwango1. Tumewaonea tu Huruma nanyi mshinde ili mfurahi
2. Tumewaachia ili msije Kuuana bure
3. Tumeshachukua letu la Kwanza kwa Mandele hivyo tulitaka nanyi mchukue lenu kwa Nyerere
4. GENTAMYCINE alishasema kuwa Mwamuzi ni Shabiki mwenzenu hivyo tulijua tu tutakufa
5. Tumeshachoka kila mara Kuwafungeni kwani ingeonyesha kuwa Upinzani wetu Umeshakufa
6. Wachezaji wetu walikuwa bado hawajachanganya na kuelewana
7. Sisi tunajua ni Mechi ya Uwanjani tu kumbe Wenzetu hadi Wanakufuru kwa Mungu kwa Kuroga vibaya
Kudadadeki litakufa Jitu Kesho kwa Mkapa.
Kama mtani wako , leo hii mda huo usiukimbie huu uzi , mkitufunga nakuachia lidada la kinyarwanda hapa limeenda hewani ulituange kotekote kama tigo1. Tumewaonea tu Huruma nanyi mshinde ili mfurahi
2. Tumewaachia ili msije Kuuana bure
3. Tumeshachukua letu la Kwanza kwa Mandele hivyo tulitaka nanyi mchukue lenu kwa Nyerere
4. GENTAMYCINE alishasema kuwa Mwamuzi ni Shabiki mwenzenu hivyo tulijua tu tutakufa
5. Tumeshachoka kila mara Kuwafungeni kwani ingeonyesha kuwa Upinzani wetu Umeshakufa
6. Wachezaji wetu walikuwa bado hawajachanganya na kuelewana
7. Sisi tunajua ni Mechi ya Uwanjani tu kumbe Wenzetu hadi Wanakufuru kwa Mungu kwa Kuroga vibaya
Kudadadeki litakufa Jitu Kesho kwa Mkapa.
Mtani njoo huku , ukanipe lile lidada la kiyao1. Tumewaonea tu Huruma nanyi mshinde ili mfurahi
2. Tumewaachia ili msije Kuuana bure
3. Tumeshachukua letu la Kwanza kwa Mandele hivyo tulitaka nanyi mchukue lenu kwa Nyerere
4. GENTAMYCINE alishasema kuwa Mwamuzi ni Shabiki mwenzenu hivyo tulijua tu tutakufa
5. Tumeshachoka kila mara Kuwafungeni kwani ingeonyesha kuwa Upinzani wetu Umeshakufa
6. Wachezaji wetu walikuwa bado hawajachanganya na kuelewana
7. Sisi tunajua ni Mechi ya Uwanjani tu kumbe Wenzetu hadi Wanakufuru kwa Mungu kwa Kuroga vibaya
Kudadadeki litakufa Jitu Kesho kwa Mkapa.