Tafadhali wadau naomba mnisaidie 5m Tshs nikakomboe hazina

Status
Not open for further replies.

Kwenye msafara wa mamba.............hawakosekani!
 
Ama kweli;
dunia ya leo kuna mjinga tena kiasi hicho;

Hapa town tu jamaa anakuazima laki mbili
na anatokomea nazo sembuse milions.
 
Naomba mnifundishe lugha ya kuongea ili uaminike kuwa unachoongea ni cha kweli. Mingetumia lugha ipi?

Ungesema dhamana yako ni nini? Kama una nyumba? Kiwanja? Gari uliweke rehani. Haiwezekani ukawa huna kitu chochote kisichohamishika na uwe unataka pesa hizo kirahisi tu. Mtanzania wa kawaida asiye na uhusiano na wewe hatakuelewa, labda ndugu zako wa damu.
 

Fungua kesi kwani mahakama na polisi hawapo?
 
mkuu achana na hizo ndoto hapo umeliwa kinachosubiriwa ni utume hizo 5m waingie bar kupongezana
 
Naomba mnifundishe lugha ya kuongea ili uaminike kuwa unachoongea ni cha kweli. Mingetumia lugha ipi?

Western union ndio njia kuu ya kuhamisha pesa kwa kiwango chochote world wide.labda hizo pesa zako chafu,labda zinatoka kwa magaidi.
Hivi kwa nin usikope pale NBC,Zikija uwalipe chao?
 
Western union ndio njia kuu ya kuhamisha pesa kwa kiwango chochote world wide.labda hizo pesa zako chafu,labda zinatoka kwa magaidi.
Hivi kwa nin usikope pale NBC,Zikija uwalipe chao?

Tatizo la kukariri hilo rudi shule.
 

Siwezi kuongea yote hayo kwa watu wasio na interest nimejieleza vema kwenye post yangu.
 
hii hadithi inanikumbusha mbali kweli, waay back in 2005, achana na hizo hadithi ni michezo ya mitandaoni hakuna kitu kama hiki...cha ajabu ni kwamba pamoja na maendeleo yote haya bado kuna watu wanatapeliwa kila siku
 
Ha ha ha haa


Nicheke niondoke.

Ila ninaswali kwako ni hazina gani hiyo? Kumbe uko mbeya? Huko pesa za nje ilikuwaje? Usije ukawa unatapeliwa kupitia fb na email.

Hivi kuna mtumishi wa serikali hakopesheki?
 


Yaani watu tunapenda vya bure sana. Hivi mtu toka Sa akupe wewe pesa asiyeyekujua hivi hana ndugu huko? Au ye hataki utajiri? Sijui huwa tunafikiria nini?
 
Siwezi kuongea yote hayo kwa watu wasio na interest nimejieleza vema kwenye post yangu.

Hiyo ni offer, na wala kwenye offer hakuna cha kuficha, atakayeridhika ndio atakufata kwenye msg. Haya badi ni PM mimi useme dhamana yako nini. Maana ungekuwa serious usingereply hapa, na direct ungenitumia PM. Unaonyesha ubabaifu. Inakuwa sio rahisi mtu kutapelika. Jifunze mbinu za ushawishi.
 
Ngoja tusubiri,mkuu ukifanikiwa tupe mrejesho
 
Kwanza pole kwa majukumu ya kila siku.
Humo kwenye red nina mashaka napo sana.
Kwanza huko Scotland kuna matapeli wa ki nigeria,ghana na nk ambao kazi yao ni hiyo tuu ya utapeli uliopitiliza.
Kwanza nakushauri weka kila kitu wazi ili tukusaidie.
Jee hiyo pesa wewe --------- kwa misingi ipi?nani anayekutumia hiyo pesa?babako,mamako au nani?umeshatumia kiasi gani tangu kuanza mchakato?
Kuna jamaa alishawahi kuwapelekea pesa($11,000)jamaa wa hivyo kule S.Africa kwa madhumuni ya kupata $2.6m na akapigwa mpaka passport yake,na bro wangu ndiye aliyemuhifadhi kule J'berg kwa wiki3.
 
Nitaku inbox nilikuwa busy sana leo mambo yote kesho mkuu

Angalia PM mkuu, JIEPUSHE NA HAO JAMAA FASTER KABLA HAWAJAKUPIGA NYINGINE. Unajua iko hivi, zile emails zinakuwa zimeandikwa kitaalam kiasi kwamba wewe akili itakuwa inakuambia kwamba unapigwa, lakini moyo unakwambia tuma pesa, dawa ni kufutilia mbali kila kitu na kusahau. Naelewa nachokiongea.
 
Mmmm nahisi ni zile LOTTO za dollar million 250 ndo huwa ziko hivi kama ndio acha utajuta ndugu
 
Mmmm nahisi ni zile LOTTO za dollar million 250 ndo huwa ziko hivi kama ndio acha utajuta ndugu

Hahahaa, ni jamaa anamdanganya ni mkimbizi aliachiwa mapesa na baba yake sasa anataka kuyahamisha, ameona profile yake "fb" (!!!!!!), akamwamini (!!!), kwa hiyo kinachofanyika anampa mlolongo wa gharama ili waprocess hiyo transaction ya kutoka ziliko pesa kuja kwenye akaunti yake Africa, Tanzania, Mbeya, Mbalizi branch, kwa mtu wasiyemfahamu, na pesa zenyezwe ni dollar millioni kadhaa!!!!! Hiyo hata mtoto mdogo anajua anataka kutapeliwa, nashangaa jamaa amekomaa kuwa ana uhakika nao, sijui ameanza jana kuingia kwenye mitandao?!! Nashangaa hata Moderator ameiacha mpaka leo hii!:biggrin1:
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…