Tafadhali watanzania wenzangu acheni kuwasakama wakenya kipindi hiki wako kwenye Janga.

Sasa kujitamba kuwa mna wagonjwa kiasi kidogo kuliko Kenya ni kujishusha?
 
Mpaka hapo utafiti utakapo toka na kuthibitisha maneno yako, kwasasa tuyachukulie kwamba sio kweli ili kuepusha kuwapitosha watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha, kaka unachekesha sana. Jifunze kitu kinachoitwa " Cold blooded animal & Hot blooded animals" jinsi miili yao inavyofanya Kazi. Hivi wewe unadhani ukiwa katika baridi joto la damu yako au ndani ya mwili wako pia kunakuwa baridi, au ukiwa kwenye joto basi damu yako na mwili pia vinakua hivyo hivyo?. Joto la mwili wa binadamu linabakj pale pale 36 -37 degrees bila kujali joto la nje.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
LOL zaidi ya 90% ya mzigo wa Rwanda unapita Tanzania
Nimesema biashara, wewe inaongelea imports kutoka nje ya EAC.
Yanii Rwanda wananunua na kuuza bidhaa nyingi na Kenya kuliko vile wanavyo nunua na kuuza na Tanzania, comprende?
 
Hata huko SADC, nishawahi kuleta ushahidi kuonyesha hamjashikilia soko lolote huko... mako kati ya nchi zinazoongoza kwa biashara ndani ya SADC
 
Nimesema biashara, wewe inaongelea imports kutoka nje ya EAC.
Yanii Rwanda wananunua na kuuza bidhaa nyingi na Kenya kuliko vile wanavyo nunua na kuuza na Tanzania, comprende?
LOL almost 70% ya vyakula vinavyoliwa Rwanda vinatoka Tanzania

This is the multi billion business out of the formal management.
 
Nimesema biashara, wewe inaongelea imports kutoka nje ya EAC.
Yanii Rwanda wananunua na kuuza bidhaa nyingi na Kenya kuliko vile wanavyo nunua na kuuza na Tanzania, comprende?
LOL almost 70% ya vyakula vinavyoliwa Rwanda vinatoka Tanzania

This is the multi billion business out of the formal management.
 
LOL almost 70% ya vyakula vinavyoliwa Rwanda vinatoka Tanzania

This is the multi billion business out of the formal management.
Usianze kuongelea vitu ambavyo hauna ushahidi navyo. Hio 70% umeiokota wapi?
 
Hata huko SADC, nishawahi kuleta ushahidi kuonyesha hamjashikilia soko lolote huko... mako kati ya nchi zinazoongoza kwa biashara ndani ya SADC
Tanzania ni nchi ya pili baada ya South Africa katika kunufaika na soko la SADC, tunauza zaidi kuliko tunachonunua toka SADC, huko tuko vizuri sana, ndio sababu tumeegemea sana huko, huku EAC ni migogoro isiyokwisha, tumewaachia ninyi wakenya huko.
Tanzania can do more to boost SADC trade opportunities

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NImekwambia hamjashika soko lolote huko.... Sa we unanisifia vile mko na Trade surplus kwasababu hakuna kitu mna import kutoka huko....... kwahivyo hata nchi zengine za SADC haziwategemei.
Licha ya kuwa na hio trade surplus kubwa huko SADC, kuna nchi nyingi za SADC zina export zaidi ya Tanzania lakini tofauti na nyinyi, wao wana import bidhaa nyingi kutoka hizo nchi kwahivyo wako na balance of trade...




Hizo nchi nilizo highlight ni nchi ambazo zina export bidhaa nyingi zaidi ya Tanzania hapo SADC, Tanzania mmeachwa nyuma na hizo nchi zote, Tena kwavile hamna lolote mnalo import kutoka kwa hizo nchi inamaanisha wanabiashara wa hizo nchi hawategemei soko la TZ kuuza bidhaa zozote, nchi ambazo mnaweza mkaringia huko SADC ni nchi ndogo ndogo kama kina comoros islands, Lesotho, madascar, mauritious... Lakini ikija kwa nchi kubwa kubwa za SADC, nyinyi ndo wa mwisho kwa exports🤣🤣🤣🤣


Source
 
Una matatizo wewe, katika biashara kitu muhimu ni wewe kuuza badala ya kununua zaidi

Tanzania tunauza zaidi kuliko kununua toka SADC, pia balance of trade yetu huko SADC ni kubwa kuliko huku EAC.

Zaidi ya kuuza zaidi kuliko kununua kutoka, wewe unataka nini tena?, Nchi za SADC zinanunua chakula kingi sana kutoka Tanzania, hilo ndio soko letu tunategemea, sisi hatununui sana, huoni hapo tunafaidika?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…