Tafadhali watanzania wenzangu acheni kuwasakama wakenya kipindi hiki wako kwenye Janga.

Tafadhali watanzania wenzangu acheni kuwasakama wakenya kipindi hiki wako kwenye Janga.

Tanzania ndo mnaongoza kwa kuweka vikwazo kwa nchi nyengine za EAC kwahivyo hilo swala la maziwa si kitu. Tena isitoshe hadi sasa Uganda haijaban maziwa (Processed milk) kutoka Kenya, wameenda kotini kushtaki Kenya, Yani unaona vile hao si wanafik wenye miondoko ya kitoto, Najua ingekua ni Tz mngekua mlishaharibu biashara yote kwa kuban kila kitu kutoka Kenya.

Hilo swala la Migingo, Waganda na Wakenya wote wameishi pamoja kwenye hilo jiwe tangu tupate uhuru. Na sio Kenya ilioanzisha mgogoro ni Uganda, na hata licha ya kugombania hicho kisiwa hatujakoseana na Uganda, hakuna tit for tat yeyote tumefanyiana na Uganda kwasababu ya migingo, najua ingekua ni Tanzania na Kenya lazima mngekua mlifanya vituko vya ajabu hadi hoja isiwe kuhusu migingo tena, kwa mfano nashuku mgekimbilia kubania KQ na makampuni mengine hadi tuwaachie migingo...nk Yani sijui hua mnashikwa na nini mkiona mkenya
Good, umekubali kwamba Kenya na Uganda Mnagombania kisiwa cha Migingo.

Kenya na South Sudan Mnagombania "Ilemi triangle".

Kenya na Somalia Mnagombania sehemu ya Bahari, pia Kenya hampatani na serikali ya Mogadishu.

Kenya na Ethiopia choko choko haziishi.

Hivi ni jirani gani ambaye hamjawahi kukwaruzana naye?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ati ukaidi wa rais Makufuli rais wao ndo yuko mkaidi.
Nyie mko nawa kwa hela barabarani sio tuko kwa nawa bure harafu ugonjwa utukute siye
 
Good, umekubali kwamba Kenya na Uganda Mnagombania kisiwa cha Migingo.

Kenya na South Sudan Mnagombania "Ilemi triangle".

Kenya na Somalia Mnagombania sehemu ya Bahari, pia Kenya hampatani na serikali ya Mogadishu.

Kenya na Ethiopia choko choko haziishi.

Hivi ni jirani gani ambaye hamjawahi kukwaruzana naye?

Sent using Jamii Forums mobile app
Chuki, wivu, roho ya cashiewnuts, pamoja na ujinga wa wakenya ndio 7bu.
 
Uuummm.....duh dummy! the failed state Tanzania because of the failed ideology of ujamaa. it's a self fulfilling cycle.....I know you're a little slow but atleast you seem to be capable of learning
Ujamaa ndio uliofanya WaTz kuwa kitu kimoja, wanapendana, wanajali, wavumilivu na wenye mshikamano unlike kenya, huo u capitalist umewapa nn zaidi ya tribalism, big gape btn haves and have not, chuki, msongo wa mawazo, njaa, ubaguzi, roho mby, kukosa umiliki wa ardhi kwa raia etc.
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Salaam wakuu.



Binafsi sifurahishwi na nyuzi mpya mpya humu kutoka kwa ndugu zangu watanzania wakifanya mzaha hatua za serikali ya Kenya juu ya kuzuia kusambaa kwa Corona.


Hata kama Tanzania kuna unafuu hatupaswi kuwacheka na kuleta ligi za kukebehi juhudi zao. Muda huu ni wa kuwapa pole na kuwatia moyo pengine washauri.

Hao ni jirani zetu ugonjwa ukiwa mkali tutauonja tu.

Tafadhali ndugu Joto la Jiwe, Geza Ulole punguza kebehi.



Poleni wakenya na kesi kupaa.

Pambana ipasavyo ila sio kwa kupanic.


Proudly Tanzanian
Mkuu, ili kuboresha zaidi u "Proudly Tanzanian" wako, naomba nikukumbushe kidogo kuhusu uandishi.
Ni "Watanzania" sio "watanzania"
"Wakenya" sio "wakenya".
 
Inferiority complex kiaje wakati Wakenya ndio wamejaa humu Jf na kutwa kufungua nyuzi za kukebehi wengine na kujisifu? Kuna Watz wangapi kwenye forums zenu?
And I don't know unaposema Wivu, wivu wa nini labda, English Language?
Kama Kenya ina matatizo ingekua tunabishana na waganda, warwanda na wengineo, lakini hilo hauoni likifanyika, Watanzania kuwashambulia wakenya ni kwasababu moja tu, wivu wivu wivu... Unajua kama mtu ni mnafik na anakuonea wivu kila unalofanya au unasema anadhania umemlenga yeye, Yani mko na inferiority complex flani mkiwa karibu na mkenya. Mkenya akisema "eh, shati yangu ni safi", wewe unajijazia yako na kuona anajisifu kwamba shati yake ni safi kwahivyo yako wewe ni chafu.....
hebu angalia vile unatumia nguvu nyingi kuwachunguza tabia na miondoko ya wakenya, alafu kwavile tuna kesi nyingi za corona unasema eti ni kwasababu ya tabia,, blah blah blah upuzi mtupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
So is Kenya that adopted capitalism and 60 years later they can only do BBI and handshakes,
45% of her citizens live below poverty line. Socialist China funds and builds 100 projects in kenya.
Unlike capitalism and all its problems ujamaa was a fools errand and Tanzania was the fool.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inferiority complex kiaje wakati Wakenya ndio wamejaa humu Jf na kutwa kufungua nyuzi za kukehehi wengine na kujisifu? Kuna Watz wangapi kwenye forums zenu?
And I don't know unaposema Wivu, wivu wa nini labda, English Language?

Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania mnawaonea wivu Sana wakenya wakicharazwa viboko na kuuliwa na polisi "in thousands", pia mnawaonea wivu wakifa kwa njaa kila mwaka, wakiendelea kukosa Ajira, wakiishi ktk slums, wakizungumza kiingereza, na wakivuka mpaka kuja kutafuta huduma bora za Afya Tanzania [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inferiority complex kiaje wakati Wakenya ndio wamejaa humu Jf na kutwa kufungua nyuzi za kukebehi wengine na kujisifu? Kuna Watz wangapi kwenye forums zenu?
And I don't know unaposema Wivu, wivu wa nini labda, English Language?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakenya wamejaa kwenye forum ya Kenyan News na waleta habari za Kenya na kujadili ya Kenya...... Lakini watanzania mkiona mkenya amebandika mada kuhusu nchi yake, ineriority complex inakufanya uone ni kwamba tunawalenga nyinyi.....

Yani kwa mfano mkenya akiwa kwa forum ya kikenya na apost habari kwamba barabara mpya ya mahali flani imemalizwa kujengwa, watu watajadiliana kuhusu hio barabara... Lakini mkenya huyo huyo akileta habari hiyo kwa section ya Kenyan News hapa JF si kitambo watz watakua walishajaza ukurasa wakijaribu kuponda hio barabara... Why? kila saa mna feel threatened na wakenya, ndio maana 99% ya topic zinazo anzishwa na watanzania ndani ya Kenyan News hapa JF ni 'Kenya VS Tz'
 
Good, umekubali kwamba Kenya na Uganda Mnagombania kisiwa cha Migingo.

Kenya na South Sudan Mnagombania "Ilemi triangle".

Kenya na Somalia Mnagombania sehemu ya Bahari, pia Kenya hampatani na serikali ya Mogadishu.

Kenya na Ethiopia choko choko haziishi.

Hivi ni jirani gani ambaye hamjawahi kukwaruzana naye?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi hizo zote jirani ulizozitaja tunafanya biashara nazo kuliko vile TZ inafanya biashara nazo.... Hata nchi kama Rwanda ambayo hatupakani nayo inafanya biashara na sisi zaidi kulliko inavyofanya na TZ! Nyinyi sikuhizi ni majirani kwa jina tu kwahizo nchi mnazopakana nazo, manake hamuwafaidishi na lolote.
 
Nchi hizo zote jirani ulizozitaja tunafanya biashara nazo kuliko vile TZ inafanya biashara nazo.... Hata nchi kama Rwanda ambayo hatupakani nayo inafanya biashara na sisi zaidi kulliko inavyofanya na TZ! Nyinyi sikuhizi ni majirani kwa jina tu kwahizo nchi mnazopakana nazo, manake hamuwafaidishi na lolote.

Hapa ndio mpaka leo nishashindwa kuelewa uzembe wa hawa watu, yaani wana mpaka mmoja na nchi ambayo hatupakani nayo ila sisi tunahusiana na hiyo nchi kibiashara zaidi yao, ndio taswira hata DRC.
 
Back
Top Bottom