Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Wewe ni bogazi joto + black people korona inakuwa cha mtoto hata wazungu na wachina wanaangaika kuingia Africa wanajua joto lina punguza kuenea korona kwa kasi tofauti na baridi hata MTU mweupe akipata korona kwenye joto kabla ya kujijua kuwa ni mgongwa virusi vinakuwa aviweza kupata nguvu ya kumuu ndiyo maana wanapona sembuse black people ambao imeshaonekana wazi kuwa korona aina nguvu sana kwetuendelea kujidanganya, kawaulize kina Saudi, Jordan, Egypt walio na joto jingi kuwashinda kama corona inawapelekaje kwasasa
Sent using Jamii Forums mobile app