Chura
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,385
- 2,402
Anaandika mdau kutoka Facebook, Sibezi upendo wa serikali yetu chini ya mh.@Samia Suluhu lakini hatua ya serikali kutangaza kugharamia matibabu ya ndugu Prof. Jay ni aibu kwa taifa.
Ndugu yetu Joseph Haule
1. Amekuwa msanii mkubwa hapa nchini kwa zaidi ya miaka 20 basi tuseme hakukosa 1DOM kwenye usanii wake na brand yake
2. Amekuwa mbunge kwa miaka 5 ambapo kila mwezi analipwa allowance na mshahara sawa na walau 11M kwa mwezi ambapo kwa mwaka ni 132M na kwa miaka 5 anakusanya 660M basi tuseme apate 400M.
3. Alipomaliza muda wa ubunge wake amelipwa gratitude ya takribani 200M
4. Anamiliki walau mradi wa hotel Lakini kalazwa Muhimbili hawezi kugharamia matibabu yake na serikali imeahidi kumlipia Je watanzania wangapi wanafia mahospitalini kwa kushindwa kumudu gharama za matibabu? Na hali hata wengi wao hawajawahi hata kumiliki 1M katika maisha yao yote?
Hii ni aibu kubwa kwa serikali yetu ni aibu kubwa. Hili suala limebebwa kisiasa zaidi kuliko kaliba ya utu wema.
Ndugu yetu Joseph Haule
1. Amekuwa msanii mkubwa hapa nchini kwa zaidi ya miaka 20 basi tuseme hakukosa 1DOM kwenye usanii wake na brand yake
2. Amekuwa mbunge kwa miaka 5 ambapo kila mwezi analipwa allowance na mshahara sawa na walau 11M kwa mwezi ambapo kwa mwaka ni 132M na kwa miaka 5 anakusanya 660M basi tuseme apate 400M.
3. Alipomaliza muda wa ubunge wake amelipwa gratitude ya takribani 200M
4. Anamiliki walau mradi wa hotel Lakini kalazwa Muhimbili hawezi kugharamia matibabu yake na serikali imeahidi kumlipia Je watanzania wangapi wanafia mahospitalini kwa kushindwa kumudu gharama za matibabu? Na hali hata wengi wao hawajawahi hata kumiliki 1M katika maisha yao yote?
Hii ni aibu kubwa kwa serikali yetu ni aibu kubwa. Hili suala limebebwa kisiasa zaidi kuliko kaliba ya utu wema.