gharama za matibabu za Jay ni kubwa sana kiongozi kama ulimnukuu malisa anakwambia kwa week moja anatumia Milion 4 sasa huoni kama ni pesa mingi sana? sasa milion 4 kwa mwananchi wa kawaida ki matibabu ni pesa nyingi sana, umezungumzia kuhusu pesa alizokuwa akilipwa na hotel kimsingi bado sio point sana, unaweza ukawa na hoteli lakin watu wasile wala kulala kwenye hotel yako na usikute hizo pesa unazozisema nyingi amefanya uwekezaji kwenye hiyo hotel na hata kama hajafanya uwekezaji kwenye hiyo hoteli bado pesa zinahitaji kufanya matumizi ya kila siku au unahis hizo pesa alizokuwa akilipwa yeye alizichimbia tu kwenye kibubu? kwa maana ya kwamba hali yeye na familia yake, hawavai, hawapati huduma za afya, hasomeshi, hasaidii wazazi wa pande zote mbili, hamsaidii ndugu hata mmoja, hafanyi jambo lolote lile la maendelea kama vile kujenga hiyo hotel na furnuture za hotel, hajajenga, hama mradi mwingine yofauti na iyo hotel? kifupi kaka usim judge mtu kuhusu swala la pesa sababu kila mtu anahitaji pesa ili aweze pata mahitaji anayoyakusudia nina imani iyo pesa unayoona kama alipata itakuwa ndio inaelekea kuisha ! ni imani yangu kwamba hilo tatizo lililompata Jay ingekuwa mm na ww saa hz tungeshakufa sababu huenda iyo milion 4 ya week moja tu tungepitisha bakuli hatar kwa ndugu jamaa na marafiki na kama tungeweza kupata iyo ya week nina imani uko mbele tungekwama tu!