Tafakari juu ya maisha ya watu mashuhuri kama Prof. Jay na uhalali wa kuomba michango ya matibabu

Tafakari juu ya maisha ya watu mashuhuri kama Prof. Jay na uhalali wa kuomba michango ya matibabu

Mwandishi ana akili fupi sana. Fupi mno. Kwanza familia haijatoka na kusema wameshindwa kumtibu. Ni watu na mapenzi yao waliamua kufanya. Wale wa serikali wakaona wajipatie umaarufu kwa kujiingiza humo. Sasa unakuja na porojo za kukadiria mapato ya mtu hivi unajua majukumu yake? Unajua wanaomtegemea ni wangapi? Unajua hali za kiuchumi za watu wanaomzunguka? Wewe kama huwezi toa acha wanaochangia wachange. Kama tunamchangia mtu anayeoa au kuolewa kwa starehe yake iwe mgonjwa. Refusha hiyo akili angalau nusu inch uone mambo kwa maoana yake.
 
Nimepitia kiongozi, nzuri, kuna majibu yoyote legit kutoka kwa Mkapa?
mkapa sidhani kama amewahi kujibu chochote,kwanza i nasemwa hakuwahi kuhojiwa na mwandishi yeyote hapa nchini katika kipindi chote cha urais na hata baada
 
Sintamlaumu Kijana yyt atakaefilisika hata km alikuwa na Mtaji wa 200m TSHS
 
Hoja sio matumizi ya pesa za matibabu, hoja ni kwamba inakuwaje mtu maarufu na mwenye brand kubwa anachangiwa kana kwamba hana hela za matibabu alizopata wakati wa shughuli zake za kisanii na kisiasa? Wakati mwingine inashangaza na ni aibu watu maarufu kuchangiwa wakati inaaminika wana fedha za kutosha
Wana hela ya kula tu, kugharamikia misiba na harusi lkn sio ugonjwa, 4mln kwa wiki sio mchezo.
 
Anaandika mdau kutoka Facebook, Sibezi upendo wa serikali yetu chini ya mh.@Samia Suluhu lakini hatua ya serikali kutangaza kugharamia matibabu ya ndugu Prof. Jay ni aibu kwa taifa.

Ndugu yetu Joseph Haule

1. Amekuwa msanii mkubwa hapa nchini kwa zaidi ya miaka 20 basi tuseme hakukosa 1DOM kwenye usanii wake na brand yake

2. Amekuwa mbunge kwa miaka 5 ambapo kila mwezi analipwa allowance na mshahara sawa na walau 11M kwa mwezi ambapo kwa mwaka ni 132M na kwa miaka 5 anakusanya 660M basi tuseme apate 400M.

3. Alipomaliza muda wa ubunge wake amelipwa gratitude ya takribani 200M

4. Anamiliki walau mradi wa hotel Lakini kalazwa Muhimbili hawezi kugharamia matibabu yake na serikali imeahidi kumlipia Je watanzania wangapi wanafia mahospitalini kwa kushindwa kumudu gharama za matibabu? Na hali hata wengi wao hawajawahi hata kumiliki 1M katika maisha yao yote?

Hii ni aibu kubwa kwa serikali yetu ni aibu kubwa. Hili suala limebebwa kisiasa zaidi kuliko kaliba ya utu wema.
Unamchangia mtu hata awe bilionea inategemea nae mchango wake wa ali na mali kwa jamii yake,kwa mfano mimi ni mchangie mtu kama polepole au bashiru au makonda au ali hapi au sirro ptyuuuu!!
 
ni upumbavu kumchangia aliye nacho,
kama nina 100k, nawezachangia kadhaa walioshindwa na matibabu ya 20k ( ambayo serikali imewaignore ) kisha kupoteza maisha
Japo mi kiukweli sijawahi kuchangia watu km hao na sitachangia!
 
unapozungumzia hili swala limebebwa kisiasa mkuu utakuwa unakosea sababu wanaomchangia jay si wana siasa pekee kabla hata serikali haijabeba hilo jukum watu wenye mapenzi mema na jay walishaanza kumchangia ambao si wana siasa, pia serikali katika kusaidia matibabu kwa raia wake hata wewe inaweza ikakutibia tu kwa zile case kubwa kama ya jay kinachotakiwa ufuate tu zile taratibu za wizara ya afya kwani serikali kupitia wizara ya afya ndio yenye mamlaka ya kukusaidia wewe na ndio maana wapo baadhi ya wananchi husafirishwa na kwenda kutibiwa nje ya nchi kipitia wizara hii....!! kitu kingine unachopaswa kufaham kuwa Jay ni maarufu hivyo umaarufu wake ameweza kupanua wigo wa marafiki tofauti ilivyo kwa mimi na wewe, Jay anafahamika karibu na kila mtanzania kwaiyo ana nafas kubwa ya kusaidiwa tofauti na ilivyo kwangu na kwako , ameweza kuonekana hao wengine unaosema wapo wengi mpaka mtu aende akahakiki uko ma hospital lakin yeye kutokana na umaarufu wake ameweza kuonekana kwaiyo kilichofanyika kwa Jay sio kibaya sana kila mtu ana nafas yake katika jamii!
Hukujibu alichoandika mwandishi. Hata ukatae kinachosukuma serikali kuchangia ni siasa. Jay hakufuata taratibu za wizara kuimba kutibiwa na hatibiwi nje, serikali imebeba mzigo wa gharama zake. Kisiasa.
Ila ukweli unabaki ni kuwa watu wanapata hela lakini zinaishia kwenye matumizi. Umaarufu ni kitu kimoja, kuwa na hela ni kitu kingine.
 
Anaandika mdau kutoka Facebook, Sibezi upendo wa serikali yetu chini ya mh.@Samia Suluhu lakini hatua ya serikali kutangaza kugharamia matibabu ya ndugu Prof. Jay ni aibu kwa taifa.

Ndugu yetu Joseph Haule

1. Amekuwa msanii mkubwa hapa nchini kwa zaidi ya miaka 20 basi tuseme hakukosa 1DOM kwenye usanii wake na brand yake

2. Amekuwa mbunge kwa miaka 5 ambapo kila mwezi analipwa allowance na mshahara sawa na walau 11M kwa mwezi ambapo kwa mwaka ni 132M na kwa miaka 5 anakusanya 660M basi tuseme apate 400M.

3. Alipomaliza muda wa ubunge wake amelipwa gratitude ya takribani 200M

4. Anamiliki walau mradi wa hotel Lakini kalazwa Muhimbili hawezi kugharamia matibabu yake na serikali imeahidi kumlipia Je watanzania wangapi wanafia mahospitalini kwa kushindwa kumudu gharama za matibabu? Na hali hata wengi wao hawajawahi hata kumiliki 1M katika maisha yao yote?

Hii ni aibu kubwa kwa serikali yetu ni aibu kubwa. Hili suala limebebwa kisiasa zaidi kuliko kaliba ya utu wema.
kuna kipindi flan utawala wa jakaya kikwete, mzee King Majuto alishawahi kupatwa na maradhi hivyo Rais Kikwete akaamua kubeba jukumu la kumsaidia mzee Majuto sasa nakuuliza tena ndugu yangu zile nazo zilikuwa kick za kutafuta mtaji wa kisiasa? au utasema jamakaya alibeba lile jukumu kwa sababu ya kisiasa? sasa kwa mfano angesaidiwa na mtu kama MO au BAKHRESSA mngesemaje? au mngesema wamelichukulia hilo jambo kibiashara zaidi sababu wao ni wafanya biashara?
 
Hoja hafifu

Kuchangia 10-15% ya mshahara hakumfanyi mtu kuwa masikini

Hoja hapa ni kwanini mtu aliyekuwa anavuta atleast TZS. 11,000,000/- tax free kila mwezi kwa miaka mitano mfululizo plus gratuity ya TZS. 250,000,000/- leo anageuka kuwa Matonya

Vijana mna la kujifunza hapa. Bata liende na investments
Hii hoja yako ndio msingi wa tafakuri ya mleta mada ila watu wengi wanamrushia matusi kana kwamba hataki Jay achangiwe.

Hoja namba mbili ni kwamba kwa umaarufu na utumishi wake kwenye mhimili wa bunge,Jay ni miongoni mwa watanzania wachache wanaovuta mpunga mrefu sana kibongo bongo. Bila kujali kama amekula bata au amewekeza,swali linabaki ni watanzania wangapi wanaopoteza maisha kwa kutokuwa na uwezo wa kupata huduma bora za afya endapo Jay ameshindwa pamoja na ukwasi wake wote huo?

Mleta mada hadhamilii kumponda Jay bali kuhoji uwezo wa umma mkubwa wa watanzania kumudu gharama za afya kulingana na ufinyu wa vipato vyetu.
 
Back
Top Bottom