MGOGOHALISI
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 3,294
- 4,920
Mwandishi ana akili fupi sana. Fupi mno. Kwanza familia haijatoka na kusema wameshindwa kumtibu. Ni watu na mapenzi yao waliamua kufanya. Wale wa serikali wakaona wajipatie umaarufu kwa kujiingiza humo. Sasa unakuja na porojo za kukadiria mapato ya mtu hivi unajua majukumu yake? Unajua wanaomtegemea ni wangapi? Unajua hali za kiuchumi za watu wanaomzunguka? Wewe kama huwezi toa acha wanaochangia wachange. Kama tunamchangia mtu anayeoa au kuolewa kwa starehe yake iwe mgonjwa. Refusha hiyo akili angalau nusu inch uone mambo kwa maoana yake.