1. Anatumia bima gani ya afya?Asee nimeshangazwa sana asee watu wanahoji hela kwenye uhai wa mtu?
sawa mkuu, nitaleta links kutoka google,ila tu ni kwamba aliomba serikalini akasubiri mno mpaka kina gachuma wakamuomba watumie pesa zao kumpeleka Nairobi alikataaHapa unahitaji kuthibitisha!
Mimi ni shabiki wa Mwalimu, labda ungesaidia kwa kuanza kueleza ni nani kwa wakati huo aliyekuwa na jeuri ya kumsubirisha Mwalimu kisha ndo useme, msaada upi Mwalimu aliomba kutoka serikalini.
Utanisaidia sana kumfahamu zaidi huyu mwamba ninayemshabikia, ukijazia hizo info kwenye ufahamu wangu.
Tajir haachi kuomba mkuu..wee huon matangazo kila siku mara tatu mzuka..mara clouds mchongo..ila unaambiwa kwanza weka buku halaf ndo ushinde....hahhahaha...toa hela kwanza...hahah..other ontarios in townAnaandika mdau kutoka Facebook, Sibezi upendo wa serikali yetu chini ya mh.@Samia Suluhu lakini hatua ya serikali kutangaza kugharamia matibabu ya ndugu Prof. Jay ni aibu kwa taifa.
Ndugu yetu Joseph Haule
1. Amekuwa msanii mkubwa hapa nchini kwa zaidi ya miaka 20 basi tuseme hakukosa 1DOM kwenye usanii wake na brand yake
2. Amekuwa mbunge kwa miaka 5 ambapo kila mwezi analipwa allowance na mshahara sawa na walau 11M kwa mwezi ambapo kwa mwaka ni 132M na kwa miaka 5 anakusanya 660M basi tuseme apate 400M.
3. Alipomaliza muda wa ubunge wake amelipwa gratitude ya takribani 200M
4. Anamiliki walau mradi wa hotel Lakini kalazwa Muhimbili hawezi kugharamia matibabu yake na serikali imeahidi kumlipia Je watanzania wangapi wanafia mahospitalini kwa kushindwa kumudu gharama za matibabu? Na hali hata wengi wao hawajawahi hata kumiliki 1M katika maisha yao yote?
Hii ni aibu kubwa kwa serikali yetu ni aibu kubwa. Hili suala limebebwa kisiasa zaidi kuliko kaliba ya utu wema.
Binadamu wote ni sawa ila watu wote sio sawa.Anaandika mdau kutoka Facebook, Sibezi upendo wa serikali yetu chini ya mh.@Samia Suluhu lakini hatua ya serikali kutangaza kugharamia matibabu ya ndugu Prof. Jay ni aibu kwa taifa.
Ndugu yetu Joseph Haule
1. Amekuwa msanii mkubwa hapa nchini kwa zaidi ya miaka 20 basi tuseme hakukosa 1DOM kwenye usanii wake na brand yake
2. Amekuwa mbunge kwa miaka 5 ambapo kila mwezi analipwa allowance na mshahara sawa na walau 11M kwa mwezi ambapo kwa mwaka ni 132M na kwa miaka 5 anakusanya 660M basi tuseme apate 400M.
3. Alipomaliza muda wa ubunge wake amelipwa gratitude ya takribani 200M
4. Anamiliki walau mradi wa hotel Lakini kalazwa Muhimbili hawezi kugharamia matibabu yake na serikali imeahidi kumlipia Je watanzania wangapi wanafia mahospitalini kwa kushindwa kumudu gharama za matibabu? Na hali hata wengi wao hawajawahi hata kumiliki 1M katika maisha yao yote?
Hii ni aibu kubwa kwa serikali yetu ni aibu kubwa. Hili suala limebebwa kisiasa zaidi kuliko kaliba ya utu wema.
Nadhani hoja ya mtoa mada ni kwamba kuna maelfu ya watu maskini zaidi ya Prof mwenye nafuu lakini serikali haifanyi kitu bali inafanya kwa watu mashuhuri na wenye nafuu ya maisha kama yeye.gharama za matibabu za Jay ni kubwa sana kiongozi kama ulimnukuu malisa anakwambia kwa week moja anatumia Milion 4 sasa huoni kama ni pesa mingi sana? sasa milion 4 kwa mwananchi wa kawaida ki matibabu ni pesa nyingi sana, umezungumzia kuhusu pesa alizokuwa akilipwa na hotel kimsingi bado sio point sana, unaweza ukawa na hoteli lakin watu wasile wala kulala kwenye hotel yako na usikute hizo pesa unazozisema nyingi amefanya uwekezaji kwenye hiyo hotel na hata kama hajafanya uwekezaji kwenye hiyo hoteli bado pesa zinahitaji kufanya matumizi ya kila siku au unahis hizo pesa alizokuwa akilipwa yeye alizichimbia tu kwenye kibubu? kwa maana ya kwamba hali yeye na familia yake, hawavai, hawapati huduma za afya, hasomeshi, hasaidii wazazi wa pande zote mbili, hamsaidii ndugu hata mmoja, hafanyi jambo lolote lile la maendelea kama vile kujenga hiyo hotel na furnuture za hotel, hajajenga, hama mradi mwingine yofauti na iyo hotel? kifupi kaka usim judge mtu kuhusu swala la pesa sababu kila mtu anahitaji pesa ili aweze pata mahitaji anayoyakusudia nina imani iyo pesa unayoona kama alipata itakuwa ndio inaelekea kuisha ! ni imani yangu kwamba hilo tatizo lililompata Jay ingekuwa mm na ww saa hz tungeshakufa sababu huenda iyo milion 4 ya week moja tu tungepitisha bakuli hatar kwa ndugu jamaa na marafiki na kama tungeweza kupata iyo ya week nina imani uko mbele tungekwama tu!
Ndugai kwa hadhi yake sheria inampa haki ,na Jay inampa haki wapi? Matumizi mabaya ya Kodi za Wananchi.Mbona Ndugai tena akiwa Spika alishindwa kujilipia mabilioni huko India?
Mbona Tundu Lisu akiwa mbunge alishindwa kujilipia Nairobi hospital?
Kinachoangaliwa ni ukubwa wa tatizo, muda wa matibabu na gharama husika.
Serikali siyo wajinga kukubali kumlipia Prof Jay.
Punguza mbege.
Sio kwa muktadha huo. Serikali imelipia watu wangapi wanaogua ugonjwa sawa na anaogua Prof. J na watu ambao hawajawahi hata kukamata milioni 10 kwa mwaka?Serikali siyo wajinga kukubali kumlipia Prof Jay.
Sasa uchumi si ndio hela zenyewe. Kumbe hata huelewi unachoongeašNani kahoji kuhusu hela tumia akili usitumie makalio kufikiri
Sio tunahoji ni vile mtu unawaza kwa hali yake ya uchumi na jinsi hali ya uchumi ya watz ambao unaweza kuta ugonjwa wao ni zaidi ya proff jay na uchumi wao ni mdogo
Hapa unahitaji kuthibitisha!
Mimi ni shabiki wa Mwalimu, labda ungesaidia kwa kuanza kueleza ni nani kwa wakati huo aliyekuwa na jeuri ya kumsubirisha Mwalimu kisha ndo useme, msaada upi Mwalimu aliomba kutoka serikalini.
Utanisaidia sana kumfahamu zaidi huyu mwamba ninayemshabikia, ukijazia hizo info kwenye ufahamu wangu.
Just imagine!Asee nimeshangazwa sana asee watu wanahoji hela kwenye uhai wa mtu?
UNA TAKWIMU ZOZOTE ZA WAGONJWA WANAOTIBIWA NA WIZARA NDANI NA NJE YA NCHI?nimeandika kwa herufi kubwa ujue nakufokea1. Anatumia bima gani ya afya?
2. Serikali imebeba jukumu hilo kwa lengo gani? Ni mtumishi wa serikali? Ni mbunge? Au kuwa raia ni sababu tosha?
Hayo maswali kwanza, majibu yake yatatuongoza kujua kama kweli BINADAMU WOTE NI SAWA kwa mujibu wa KATIBA!
Hapo Chadema ni nani mmewahi kumchangia tsh 22 milioni kwa ajili ya matibabu?!!Sio kwa muktadha huo. Serikali imelipia watu wangapi wanaogua ugonjwa sawa na anaogua Prof. J na watu ambao hawajawahi hata kukamata milioni 10 kwa mwaka?
Do you really believe hii strategy ya kupick ācelebritiesā na kuahidi kuwalipia ni njia sahihi? Punguza kubwia ugoro na Wanzuki
Hii issue ni ya kisiasa zaidi. CCM inataka kujifanya inajari zaidi ya CCM
Halafu hela yenyewe inayowauma ni ya umma ambayo chenge muda wowote aiibaJust imagine!
Watu wanaumia mgonjwa kusaidiwa kisa ana jina as if yeye sio binadamu kama wao. Inashangaza na kusikitisha at the same time
Nimepitia kiongozi, nzuri, kuna majibu yoyote legit kutoka kwa Mkapa?Utata wa kifo cha Mwalimu Julius K. Nyerere: Siri zaidi zafichuka
Ndugu walitaka apelekwe China, Mkapa akagoma Profesa Mwakyusa alimtelekeza, Gachuma akajitosa Mazingira ya kutia mashaka yaelezwa, hali inatisha Na Waandishi Wetu, Musoma Baada ya Mbunge wa Musoma Mjini, Vincent Nyerere (Chadema), kumtaka Rais mstaafu Benjamin Mkapa aeleze kifo cha Baba wa...www.jamiiforums.com
Lipi kati ya hayo uliyoyaandika ni jibu la hayo maswali?UNA TAKWIMU ZOZOTE ZA WAGONJWA WANAOTIBIWA NA WIZARA NDANI NA NJE YA NCHI?nimeandika kwa herufi kubwa ujue nakufokea
sometimes inabid tuache kutumia common sense kwa vitu vinavyohitaji fact Nigga J kua mbunge na Heavy weight MC hakumuondolei haki yake ya kupata government na public support kama watanzania wngine .
Ni watanzania wangapi wamesaidiwa na raia wenzao kupitia fundraisings zakina Malisa na Msando kupitia sosho media Laiti unglijua magonjwa yanaweza kukufanya ukafilisika beyond imagination usingaliumia ukiona watu wenye nafas nao wakisaidiwa