MGOGOHALISI
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 3,294
- 4,920
mkapa sidhani kama amewahi kujibu chochote,kwanza i nasemwa hakuwahi kuhojiwa na mwandishi yeyote hapa nchini katika kipindi chote cha urais na hata baadaNimepitia kiongozi, nzuri, kuna majibu yoyote legit kutoka kwa Mkapa?
Wana hela ya kula tu, kugharamikia misiba na harusi lkn sio ugonjwa, 4mln kwa wiki sio mchezo.Hoja sio matumizi ya pesa za matibabu, hoja ni kwamba inakuwaje mtu maarufu na mwenye brand kubwa anachangiwa kana kwamba hana hela za matibabu alizopata wakati wa shughuli zake za kisanii na kisiasa? Wakati mwingine inashangaza na ni aibu watu maarufu kuchangiwa wakati inaaminika wana fedha za kutosha
Unamchangia mtu hata awe bilionea inategemea nae mchango wake wa ali na mali kwa jamii yake,kwa mfano mimi ni mchangie mtu kama polepole au bashiru au makonda au ali hapi au sirro ptyuuuu!!Anaandika mdau kutoka Facebook, Sibezi upendo wa serikali yetu chini ya mh.@Samia Suluhu lakini hatua ya serikali kutangaza kugharamia matibabu ya ndugu Prof. Jay ni aibu kwa taifa.
Ndugu yetu Joseph Haule
1. Amekuwa msanii mkubwa hapa nchini kwa zaidi ya miaka 20 basi tuseme hakukosa 1DOM kwenye usanii wake na brand yake
2. Amekuwa mbunge kwa miaka 5 ambapo kila mwezi analipwa allowance na mshahara sawa na walau 11M kwa mwezi ambapo kwa mwaka ni 132M na kwa miaka 5 anakusanya 660M basi tuseme apate 400M.
3. Alipomaliza muda wa ubunge wake amelipwa gratitude ya takribani 200M
4. Anamiliki walau mradi wa hotel Lakini kalazwa Muhimbili hawezi kugharamia matibabu yake na serikali imeahidi kumlipia Je watanzania wangapi wanafia mahospitalini kwa kushindwa kumudu gharama za matibabu? Na hali hata wengi wao hawajawahi hata kumiliki 1M katika maisha yao yote?
Hii ni aibu kubwa kwa serikali yetu ni aibu kubwa. Hili suala limebebwa kisiasa zaidi kuliko kaliba ya utu wema.
Japo mi kiukweli sijawahi kuchangia watu km hao na sitachangia!ni upumbavu kumchangia aliye nacho,
kama nina 100k, nawezachangia kadhaa walioshindwa na matibabu ya 20k ( ambayo serikali imewaignore ) kisha kupoteza maisha
Hukujibu alichoandika mwandishi. Hata ukatae kinachosukuma serikali kuchangia ni siasa. Jay hakufuata taratibu za wizara kuimba kutibiwa na hatibiwi nje, serikali imebeba mzigo wa gharama zake. Kisiasa.unapozungumzia hili swala limebebwa kisiasa mkuu utakuwa unakosea sababu wanaomchangia jay si wana siasa pekee kabla hata serikali haijabeba hilo jukum watu wenye mapenzi mema na jay walishaanza kumchangia ambao si wana siasa, pia serikali katika kusaidia matibabu kwa raia wake hata wewe inaweza ikakutibia tu kwa zile case kubwa kama ya jay kinachotakiwa ufuate tu zile taratibu za wizara ya afya kwani serikali kupitia wizara ya afya ndio yenye mamlaka ya kukusaidia wewe na ndio maana wapo baadhi ya wananchi husafirishwa na kwenda kutibiwa nje ya nchi kipitia wizara hii....!! kitu kingine unachopaswa kufaham kuwa Jay ni maarufu hivyo umaarufu wake ameweza kupanua wigo wa marafiki tofauti ilivyo kwa mimi na wewe, Jay anafahamika karibu na kila mtanzania kwaiyo ana nafas kubwa ya kusaidiwa tofauti na ilivyo kwangu na kwako , ameweza kuonekana hao wengine unaosema wapo wengi mpaka mtu aende akahakiki uko ma hospital lakin yeye kutokana na umaarufu wake ameweza kuonekana kwaiyo kilichofanyika kwa Jay sio kibaya sana kila mtu ana nafas yake katika jamii!
kuna kipindi flan utawala wa jakaya kikwete, mzee King Majuto alishawahi kupatwa na maradhi hivyo Rais Kikwete akaamua kubeba jukumu la kumsaidia mzee Majuto sasa nakuuliza tena ndugu yangu zile nazo zilikuwa kick za kutafuta mtaji wa kisiasa? au utasema jamakaya alibeba lile jukumu kwa sababu ya kisiasa? sasa kwa mfano angesaidiwa na mtu kama MO au BAKHRESSA mngesemaje? au mngesema wamelichukulia hilo jambo kibiashara zaidi sababu wao ni wafanya biashara?Anaandika mdau kutoka Facebook, Sibezi upendo wa serikali yetu chini ya mh.@Samia Suluhu lakini hatua ya serikali kutangaza kugharamia matibabu ya ndugu Prof. Jay ni aibu kwa taifa.
Ndugu yetu Joseph Haule
1. Amekuwa msanii mkubwa hapa nchini kwa zaidi ya miaka 20 basi tuseme hakukosa 1DOM kwenye usanii wake na brand yake
2. Amekuwa mbunge kwa miaka 5 ambapo kila mwezi analipwa allowance na mshahara sawa na walau 11M kwa mwezi ambapo kwa mwaka ni 132M na kwa miaka 5 anakusanya 660M basi tuseme apate 400M.
3. Alipomaliza muda wa ubunge wake amelipwa gratitude ya takribani 200M
4. Anamiliki walau mradi wa hotel Lakini kalazwa Muhimbili hawezi kugharamia matibabu yake na serikali imeahidi kumlipia Je watanzania wangapi wanafia mahospitalini kwa kushindwa kumudu gharama za matibabu? Na hali hata wengi wao hawajawahi hata kumiliki 1M katika maisha yao yote?
Hii ni aibu kubwa kwa serikali yetu ni aibu kubwa. Hili suala limebebwa kisiasa zaidi kuliko kaliba ya utu wema.
Hii hoja yako ndio msingi wa tafakuri ya mleta mada ila watu wengi wanamrushia matusi kana kwamba hataki Jay achangiwe.Hoja hafifu
Kuchangia 10-15% ya mshahara hakumfanyi mtu kuwa masikini
Hoja hapa ni kwanini mtu aliyekuwa anavuta atleast TZS. 11,000,000/- tax free kila mwezi kwa miaka mitano mfululizo plus gratuity ya TZS. 250,000,000/- leo anageuka kuwa Matonya
Vijana mna la kujifunza hapa. Bata liende na investments