Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alichosema ni kwamba atapunguza utitiri wa kodiAcha uzushi.. nani amesema atafuta kodi?
Mmeshajua anamaanisha kodi gani inayotakiwa kufutwa ? Msiropoke tu, njooni na detailed explanation sio kufuta kodi tu.ndugu yangu uko sawa kabisa mfa maji haishi kutapa tapa lissu anahangaika ili kuwafurahisha watu.aonekana mwema lkn misingi ya nchi yoyote dunia ni kodi sasa yeye anataka kutuletea wafadhili hapa ili tuwe kama nairobi sasa hiv wanahaha kukabilina na amri za bwana trumb
Hii hoja yako kwa baadhi ya nchi inatekelezwa vizuri.Hayo yote baadae kwa sasa mziki ni mmoja tu, kuiondoa CCM madarakani ili tupate uhuru ulio na Uhuru.
Yaani kila mkoa kila wilaya kutakuwa na kijiwe ,vitavyoruhusiwa kusema chochote kile juu ya nchi yako kama inaendeshwa vibaya vizuri vijiwe au viwanja hivyo vitakuwepo kisheria kabisa, utakalosema hapo huwezi kushitakiwa wala kuguswa, tutaviita viwanja vya demokrasia kwa ajili ya siasa za nchi yetu, wananchi kutoa joto lao dhidi ya serikali iliyopo madarakani.
Umeuliza kwenye heading kuwa Lissu akifuta kodi ataendeshaje nchi?unakinzanaje?fafanua na wengine waelewe.
Alichosema ni kwamba atapunguza utitiri wa kodi