Uchaguzi 2020 Tafakari ya Kina: Tundu Lissu akifuta kodi ataendeshaje nchi?

NImependa sana usomaji na uchangiaji uliofanyika.Kuna eneo inabidi kama taifa tujsahihishe
 
Mmeshajua anamaanisha kodi gani inayotakiwa kufutwa ? Msiropoke tu, njooni na detailed explanation sio kufuta kodi tu.
 
Mkuu mbona uchambuzi wako unakinzana na heading au Mods wame edit?
 
Hii hoja yako kwa baadhi ya nchi inatekelezwa vizuri.

Kwa nchi kama Uingereza kwenye jiji la London kuna eneo linaitwa SPEAKERS' CORNER kwa ajili ya watu kukutana na kujadili au kutoa kero zao kwa serikali na wanapatiwa ulinzi kabisa na hoja zao kufikishwa sehemu husika bila wao kubughudhiwa.

Hili limesaidia kupunguza/kuondoa jazba na manung'uniko kwa wananchi yanayo tokana na kero zinazo wakabili.
 
unakinzanaje?fafanua na wengine waelewe.
Umeuliza kwenye heading kuwa Lissu akifuta kodi ataendeshaje nchi?

Kisha katika bandiko lako umeelezea namna atavyo badili mifumo ya kodi na ukusanyaji wake ili kuifanya iwe rafiki na kutekelezeka huku ikiacha tija na manufaa kwa walipaji ama wanufaikaji wa kodi.

Kwa nilivyo elewa pamoja na baadhi ya wachangiaji pia kupitia comments zao ni kuwa heading yako in the first place imemaanisha kuwa Lissu aliahidi kuwa hatatoza kodi akiwa rais ila maelezo yanaelezea namna atavyo boresha mifumo ya kodi na kuondoa kodi kandamizi.
 
Mkuu wengine wana matatizo makubwa ya USIKIVU na UELEWA wa kile kilichozungumzwa tena hadharani.

Alichosema ni kwamba atapunguza utitiri wa kodi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…