Tafakuri huru: Choma choma moto ya Ofisi za Vyama vya Siasa, siyo janja janja ya kutafuta kura za Huruma ya Wananchi?

Tafakuri huru: Choma choma moto ya Ofisi za Vyama vya Siasa, siyo janja janja ya kutafuta kura za Huruma ya Wananchi?

Ila chadema jamani mungu anawaona Mara mbowe kavamiwa katibu mkuu mbele ya luninga akatutangazia muda si mrefu chama kitaanika kilichotokea Sasa kimya bado tunasubilia ,n.k n.k
 
Kuna maswali mengi mno ya kijiuliza mkuu
Viongozi nao wanavamiwa Hadi wanavunjwa mguu walinzi wako wapi?? Ofisi zinachomwa walinzi wako wapi?? Chadema Ni taasisi kubwa Sana ni kweli hawana walinzi hata wa upinde?? Naomba kujuzwa tafadhali
 
Viongozi nao wanavamiwa Hadi wanavunjwa mguu walinzi wako wapi?? Ofisi zinachomwa walinzi wako wapi?? Chadema Ni taasisi kubwa Sana ni kweli hawana walinzi hata wa upinde?? Naomba kujuzwa tafadhali
Watakuja wakupopomee tu hapa chifu
 
Ila chadema jamani mungu anawaona Mara mbowe kavamiwa katibu mkuu mbele ya luninga akatutangazia muda si mrefu chama kitaanika kilichotokea Sasa kimya bado tunasubilia ,n.k n.k
Ni unafiki tu. Ulimsikia Msigwa alivyosema kuwa alimsingia kinana?
 
CCM wacheni utoto wenu, mnachoma moto ofisi za Chadema maeneo ambayo mnajua wazi hamkubaliki ili muwatishe wapiga kura wa maeneo hayo wasijitokeze siku ya kwenda kupiga kura, mnajidanganya, mjue fika KURA ZITAPIGWA NA MSHINDI HALALI ATATANGAZWA.

Hayo maigizo yenu ya kitoto mnayoleta mnapoteza muda tu, liwake jua inyeshe mvua, pakuche pasikuche, lazima wapinzani wa maeneo hayo washinde, wenyewe mmejionea muziki wa Lissu ndio maana mmeanza kutetemeka.
Wapinzani coco mnahangaika sana, ccm itawanyoosha kama haiwajui
 
19 Agosti 2020
Moshi, Tanzania

MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO AMTAKA DC SABAYA KUMPA TAARIFA MSAFARA WA LISSU KUSHAMBULIWA



Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira, ametoa kauli rasmi ya serikali kuhusiana na vurugu zilizotokea katika mji wa Bomang'ombe wilaya ya Hai wakati mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Tundu Lissu alipofika wilayani humo kutafuta wadhamini.

Katika taarifa hiyo rasmi aliyoitoa leo Agosti 19, 2020, mkuu huyo wa mkoa ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa huo, amemtaka mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, kumpatia taarifa ya maandishi ya namna alivyoshughulikia suala hilo.
Source : Mwananchi digita

Good decision
 
Ndugu zangu watanzania,

Kwakweli Mungu ni mwema kwa ametupa siku ya leo tena.

Ndugu zangu, inapotekea vipindi kama hivi, watu wanatafuta kura, watatumia mbinu mbali mbali, hasa wale ambao wenye sera mfirisi. Nimejiuliza maswali kadhaa hivi:
  1. Je, ni kweli Chama Cha Mapinduzi (CCM), wachome moto ofisi ya chama cha siasa ili wajipatie kura?
  2. Kura zinatokana na kuchoma moto office ya chama cha siasa?
  3. Je, mnazijua vizuri huruka za wabunge wa majimbo ambako office hizo zimechomwa moto? Wengine si wako kwenye idala ya ujasusi wa vyama hivyo?
  4. Je, uwezekano wa kujichomea haupo pale kweli?
  5. Kwani haya matukio hayawezi kuwa na correlation na hili (
  6. Je, huu si mpango wa kuharibu taswira ya uchaguzi, ili matamko kama ya balozi fulani hivi kuwa na nguvu?
  7. Je, inakuaje mgombea fulani hivi anafanya dhiara mpaka usiku (


Ushauri wangu kwa vyama kama hivi, wajikite kwenye sera tu, sisi wananchi tunawasikia, tutawapima, then tutafanya maamuzi October, 28, 2020.

Asante,
Nawasilisha,
Kejuu

KUZUIA SHUGHULI ZA VYAMA VYA SIASA NI JANJA JANJA ILIYOLENGA KUPATA NINI?
 
Hoja yako inaweza kuwa na nguvu iwapo polisi watalichunguza hili na kulitolea taarifa na wahusika kukamatwa,ila nje ya hapo HAPANA.
 
Haya maswali vyombo vya Usalama ndio vina jukumu la kuyachunguza.Sidhani kama Chama Kikuu kinaweza jidhuru chenyewe
 
Katika akili ya kawaida huwezi kichoma ofisi yako
Hivi unajua adhabu ya kosa la kuchoma moto? Adhabu yake ni kifungo cha Maisha jela halina faini, nani arisk kwenda jela maisha?
 
KUZUIA SHUGHULI ZA VYAMA VYA SIASA NI JANJA JANJA ILIYOLENGA KUPATA NINI?
WATU WAJIKITE KATIKA SHUGHULI ZA KUJENGA UCHUMI. TULIZOE KUPIGA POLOJO TU, KAZI HAKUNA. HAUNA HABARI SAIZI SERIKELI INAFINANCE HUU UCHAGUZI KWA 100%. HUYO NDO JPM, HALEI UJINGA YULE. ULIONA KWENYE CORONA? MAKINIKIA? HIYO MIAKA 5 TU, WAKATANGAZA WENYEWE KWENYE MIDDLE-INCOME COUNTRY, UPO MKUU?
 
WATU WAJIKITE KATIKA SHUGHULI ZA KUJENGA UCHUMI. TULIZOE KUPIGA POLOJO TU, KAZI HAKUNA. HAUNA HABARI SAIZI SERIKELI INAFINANCE HUU UCHAGUZI KWA 100%. HUYO NDO JPM, HALEI UJINGA YULE. ULIONA KWENYE CORONA? MAKINIKIA? HIYO MIAKA 5 TU, WAKATANGAZA WENYEWE KWENYE MIDDLE-INCOME COUNTRY, UPO MKUU?
Unaamini katika pumba za aina hii ?
Tafakari kidogo. Mkapa aliacha uchumi ukikua kwa 7%, Kikwete na hadi leo kiwango cha ukuaji kile kile. Ajira hazijaongezeka licha ya kupunguzwa wengine kihuni(vyeti fake) na kudhulumiwa haki zao. Mishahara imedumazwa,biashara ndogo ndogo na za kati zimesinyaa na kufungwa,deni la Taifa "limenenepa" ,Elimu ya bure imegeuka kuwa bure elimu,uhusiano na nchi zingine wa mashaka1 Hayo mafanikio yapi na kwa faida ya nani,kwa vigezo vipi?
 
Unaamini katika pumba za aina hii ?
Tafakari kidogo. Mkapa aliacha uchumi ukikua kwa 7%, Kikwete na hadi leo kiwango cha ukuaji kile kile. Ajira hazijaongezeka licha ya kupunguzwa wengine kihuni(vyeti fake) na kudhulumiwa haki zao. Mishahara imedumazwa,biashara ndogo ndogo na za kati zimesinyaa na kufungwa,deni la Taifa "limenenepa" ,Elimu ya bure imegeuka kuwa bure elimu,uhusiano na nchi zingine wa mashaka1 Hayo mafanikio yapi na kwa faida ya nani,kwa vigezo vipi?
We uko tz kweli?
 
Back
Top Bottom