Kingine suala la makamba kuona kila anayemkosoa anatamani uwaziri wake anakua anakosea sana, Ni immaturity ya Hali ya juu mno kisiasa na kiuongozi.
Anatuonesha watz kua kumbe akili yake keshaiset kua uwaziri kwake Ni ulaji na sio kuhudumia watu.
Anajitia ujuaji mwingi ilhali anazidi kukosea kila kukicha,
Suala la umeme kuakatika katika hajalimaliza, keshahamia kwenye matumizi ya gesi kama nishati, bila kujua kipato Cha watanzania waliowengi kuafford gesi Ni mtihani maana bei iko juu mno.
Anajificha kwenye kivuli utunzaji wa mazingira kila anapokwenda na makamera utadhani amekua waziri wa mazingira