Tafakuri: Kuna nini nyuma ya mashambulizi haya kwa Makamba?

Tafakuri: Kuna nini nyuma ya mashambulizi haya kwa Makamba?

Akili yako wewe mleta mada na makamba hakuna tofauti, wote ni mabwege na wababaishaji tu. Hakuna cha maana ulichomsemea, yani ni sawa na majibu yake, vyote ni porojo tu.
Huwa sihangaiki sana kuwajibu watu wenye UTI sugu, wanakuwa wameathirika akili pia. Pole
 
Hizo ripoti is nothing kama hakuna nia ya kutake action kwa mwenye mamlaka.

Kama aliyemweka anaona hizo ripoti majungu tu basi hali itabakia kama ilivyo.

Mifano ipo mingi ya aina hii.

Kuhusiana na umeme inaonekana kama anajihujumu mwenyewe maana kabla ya yeye kuwa waziri umeme haukua tatizo ila kwa sasa ni tatizo na ananekana kupigia debe wazi wazi biashara za watu.(gesi).

Kwanini asiulizwe??

Nchi sio ya mama yake, atambue hilo. Ni ya kila Mtanzania na ataulizwa maswali muda wowote ule.

Kama hataki maswali aache hiyo nafasi maana sio lazima sana awe kiongozi.
Una hasiraaaa, nafikiri ndo maana akaamua kujisemea km vipi muueni tu.
 
Kingine suala la makamba kuona kila anayemkosoa anatamani uwaziri wake anakua anakosea sana, Ni immaturity ya Hali ya juu mno kisiasa na kiuongozi.

Anatuonesha watz kua kumbe akili yake keshaiset kua uwaziri kwake Ni ulaji na sio kuhudumia watu.

Anajitia ujuaji mwingi ilhali anazidi kukosea kila kukicha,

Suala la umeme kuakatika katika hajalimaliza, keshahamia kwenye matumizi ya gesi kama nishati, bila kujua kipato Cha watanzania waliowengi kuafford gesi Ni mtihani maana bei iko juu mno.

Anajificha kwenye kivuli utunzaji wa mazingira kila anapokwenda na makamera utadhani amekua waziri wa mazingira
Mi naona kuna tatizo la kuoverstate tu anachoongea na kutomwelewa kwakuwa maadui wake tayari mnakuwa mmeshaandaa kila aina ya uzushi......mnachosubiri ni kumuona tu akisema au kufanya jambo nanyi muoanishe na mlichokiandaa basi.
 
Yani afanye hujuma Halafu tiss wanamuangalia tu ! Mkuu labda hujui gvt coordination inavyofanya kazi kila waziri na wizara kuna nyoka maalumu wanaoripoti kwà mama direct kila kitu sasa hiyo hujuma anaifanyia wapi?
Hapo sasa!!
 
Katiba mpya itasimamia uteuzi wa viongozi wenye maadili wasiotiliwa Shaka kama mtajwa!

Pia itaondoa hofu ya kuhujumiwa miradie mikubwa ya kimkakati Kama JNNP kama ilivyo sasa!!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe katiba mpya""!
 
Inaonekana huko kwenu umeme sio shids
Kwa tz hii umeme haujawahi kutokuwa tatizo, labda mwenzetu uliishi nje ya nchi. Hoja yangu si kushangaa malalamiko dhidi ya tatizo la umeme, bali mbona makamba tu kila sekunde km vile tatizo limeanza kwake?
 
Katiba mpya itasimamia uteuzi wa viongozi wenye maadili wasiotiliwa Shaka kama mtajwa!

Pia itaondoa hofu ya kuhujumiwa miradie mikubwa ya kimkakati Kama JNNP kama ilivyo sasa!!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe katiba mpya""!
Hivi ukariri huu mnaoufanya wa kuhujumiwa JNNP mkaririshaji wenu nani?!!!!! Maana naona hamna hoja sasa isipokutema huo ushuzi. Walinda legacy mmekaririshana huo upuuzi na bila aibu mnautema popote pale hadi watoto wadogo wanakushangaeni wakati mwingine.
Nina uhakika hujui chochote kinachoendelea huko zaidi ya kukaririshwa tu......
 
Sukuma gang walichukia sana mtu wao Kalemani alipotumbuliwa na kuteuliwa Makamba. Hiki ndicho chanzo cha chuki.

Kalemani, Msukuma, Gwajima, Kabudi, prof. Mkumbo, n.k ni nyoka wa sukuma gang
Inawezekana likawa hili ndo tatizo
 
Makamba
wizara ya mazingira na muungano alifanya vizur Sana, huku kwenye wizara zinazogusa maisha ya wengi na zenye changamoto Sana ameprove failure sana, haziwezi kabisa.

Kuna kipindi flan tulidhan angeweza kua presidential material, ila Hii wizara ya nishati imemshushia credibility mno.
Kwetu wehye akili huru kama mimi, jamaa ni presidential material axiye na mfano!
 
Makamba blah blah na confidence za ovyo kwenye media Ni nyingi mno ila kiuhalisia utendaji wake Ni sifuri,

Ameturudisha nyuma Sana kimaendeleo hasa upande wa umeme, Upuuz wa mgao,majenereta na kukatika katika ovyo kwa umeme tulishaanza kusahau kabisa watanzania[emoji3525]
Toka kwenye chungu cha chuki, fitna, hila na uzushi unaweza kuuona mwanga!
 
Mnakosea Sana kuleta ukanda kwenye Mambo muhimu yanayogusa watanzania wote.

Suala la umeme kukatika katika linahusu nchi nzima na sio jamii ya wasukuma Wala wamakonde au wachaga & etc.

Na sio kila anaemkosoa makamba Basi Ni msuk, pro-magufuli au anautaka uwaziri wake.
Pale hoja zinapokosa mashiko, uzushi na chuki za wazi zinapotamalaki inakuwa rahisi kwa watu kukimbilia upande mwingine!
 
Haileti mantiki wala maana kumlaumu Makamba kwasbb ya kukatika kwa umeme. Hoja hii ya kipuuzi lazima ijibiwe kipuuzi.

Ndiyo! Ni upuuzi kusema kwamba amakamba anakata umeme. Anaukataje? Yaani yeye kama waziri ana mamlaka ya kuukomoa umma wa watanzania wote mpk mhe rais? Kwamba akate umeme huku rais , makamu wa rais na waziri mkuu wakimuangalia tu?

Makamba akate umeme nchi nzima vyombo vya ulinzi na usalama vikimuangalia tu? Hujui kuwa umeme ni uchumi? Kwahiyo Makamba awe anaharibu uchumi halafu anatazamwa tu? Acheni porojo.
Wanamuwinda sana aisee!
 
Mawaziri ni wanasiasa wanaosimamia sera ambao kuwepo au kutokuwepo kwao shughuli za moja kwa moja za wizara zitafanyika kama kawaida kupitia makatibu wakuu na wataalamu wao.
Kelele zote hizi ni matokeo ya siasa za kijinga na hasa hasa uchawa uliojitokeza sana siku hizi.
Umeongea kiongozi
 
Back
Top Bottom