Tafakuri: Kuna nini nyuma ya mashambulizi haya kwa Makamba?

Tafakuri: Kuna nini nyuma ya mashambulizi haya kwa Makamba?

makamba ni mmoja kati ya mawaziri mizigo na zumbukuku...

ni aibu kumsifia waziri makamba huku kila baada ya nusu saa umeme unakata.. na kwa bahati nzuri hiyo hali hakuikuta, hivyo yeye ndio sababu

unasema anatuzidi maisha na elimu, yea uko sahihi...

hakuna mtanzania anayejadili utajili wake wala elimu yake, tunachotaka amalize kero za wizara yake.
Makamba mjivuni Sana,
Badala ya kujibu kero za wananchi, anatuletea mambo zake binafsi[emoji3525]
 
Mwambie jamaa ako ache kutupoteza maboya hiyo kazi ya kugawa mitungi ya gesi Kuhubir uharibifu wa mazingira n kazi ya waziri mazingira wizara inayoshuhulikia mazingira
 
Mlishaanza kusahau katika kipindi kipi? Cha yule mliesema ni mshamba na dikteta?

Kuleni democrasia sasa.
Wee sio wa kuandika hivyo mkuu
Screenshot_20220718-201935.jpg
 
Link ipo chini, katazame huko youtube, like na u subscribe asante sana.

Filamu Pictures, wanawaletea kazi ya filamu ya kitanzania iitwayo PETE

Kutana na Bwana Lidawi, mvuvi mwenye hali ngumu na mke mgonjwa na jinsi anavyoingia matatizoni kutokana na pete ya maajabu iliyofika katika ulimwengu wa wanadamu kwa ajili ya kazi maalum

Kutana na Bwana Songolo mtu tajiri, mkorofi na mkali sana, ambaye nae anajikuta yuko katikati ya mikasa hiyo ipatayo bwana Lidawi

Karibuni
 
Back
Top Bottom