Tafakuri: Kuna nini nyuma ya mashambulizi haya kwa Makamba?

Tafakuri: Kuna nini nyuma ya mashambulizi haya kwa Makamba?

Kiongozi usipowasikiliza wananchi wanataka nini hufai hata kuwatumia tena. Nenda kaendeshe kokoro lako huko.
 
Mradi mkubwa kama ule ndg makadirio ya kukamilika kwake huwa kunaendana na 'if all factors will remain constant'. Sasa tuulizane kiongozi; je, tangu ilipotoka ahadi hiyo, kila jambo lipo vile vile?!!!

Ushahidi wa hili upo pia ktk kuchelewa kwa mabarabara, madaraja n.k na imekuwa hivyo, kwa kumbukumbu zangu katika vipindi vyote va uraisi. Daraja la mto wami limechelewa, sgr imechelewa, vivuko vilichelewa n.k mbona sisikii au sikusikia matusi mengi kwa mawaziri wa huko?!!!!
Umeme kukatika mara KWA Mara ni factor ya yeye kushambuliwa na kuna impact ya Moja kwa Moja KWA wananchi tena za KILA SIKU!!!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA""!
 
Wizara nzito hiyo haimfai Makamba mwepesi sana hapo wanatakiwa watu wakorofi wakorofi wizara inawapigaji Sana ,inawafaa type Kama Kalemani au zaidi ya Kalemani, REA tu imemshinda sembuse Mladi wa Rufiji.
 
Kumekuwa na mfululizo wa threads za kumpondea Makamba kila uchao.......!

Akijikwaa basi inafunguliwa thread hasi dhidi yake;

Akikohoa basi inafunguliwa thread hasi dhidi yake;

Akisalimia basi inafunguliwa thread hasi dhidi yake;

Akisalimia hali hiyohiyo;

Akitoa zawadi, kama wanavyofanya wengine ambao walikuwa wanagawa mpaka hela, hali hiyohiyo;

Akikaa kimya hali hiyohiyo;

Threads zote hizi, zinakuwa na shutuma moja au mbili tu kuu; MAKAMBA MWIZI NA ALIFELI KIDATO CHA NNE ingawa kuna ulazimishaji wa nyingine pia kuwa eti ANAMSEMA MAREHEMU JPM! Cha kuchekesha, threads zote hizo hakuna hata moja inayotoa ushahidi wa huo wizi na huko kufeli kwake.

Na cha kuchekesha zaidi ni kuwa baadhi ya wanaotoa shutuma hizo wamefeli vibaya, katika elimu hadi maisha, na ushahidi wa kufeli kwao upo wazi kabisa kuliko huyo Makamba.

Hili jambo, kwa jicho la tatu, linafikirisha sana. Kwa hakika hapa kuna kitu si bure hii. Labda uwe poyoyo ndio hutoona kuwa kuna jambo la hila limejificha hapa!

Yule Musiba alipokuwa anakesha na kuwezeshwa vizuri kumtukana Makamba huyu, alijibu kidogo tu lkn kwa ufasaha kabisa kuwa, 'Siwezi kujibizana na mjinga!'

Juzi hapa kawajibu kidogo tu hawa wachambaji wa mitandaoni kuwa wasilete upuuzi wao, basi wamejifanya kubadili gia na kulipeleka jibu hilo kwa kamati ya bunge wakiamini litamuathiri zaidi na mamia ya threads sasa yanafunguliwa kwa ajili hiyo.

Unless proved otherwise, nitaendelea kuuona usmart wa Makamba vizuri kabisa katika nafasi ya uongozi alionao na hata kuzidi hiyo!!
Threat kwa mbio za kumrithi SSH 2030.
 
makamba ni mmoja kati ya mawaziri mizigo na zumbukuku...

ni aibu kumsifia waziri makamba huku kila baada ya nusu saa umeme unakata.. na kwa bahati nzuri hiyo hali hakuikuta, hivyo yeye ndio sababu

unasema anatuzidi maisha na elimu, yea uko sahihi...

hakuna mtanzania anayejadili utajili wake wala elimu yake, tunachotaka amalize kero za wizara yake.
 
Kumekuwa na mfululizo wa threads za kumpondea Makamba kila uchao!

Akijikwaa basi inafunguliwa thread hasi dhidi yake;

Akikohoa basi inafunguliwa thread hasi dhidi yake;

Akisalimia basi inafunguliwa thread hasi dhidi yake;

Akisalimia hali hiyohiyo;

Akitoa zawadi, kama wanavyofanya wengine ambao walikuwa wanagawa mpaka hela, hali hiyohiyo;

Akikaa kimya hali hiyohiyo;

Threads zote hizi, zinakuwa na shutuma moja au mbili tu kuu; MAKAMBA MWIZI NA ALIFELI KIDATO CHA NNE ingawa kuna ulazimishaji wa nyingine pia kuwa eti ANAMSEMA MAREHEMU JPM! Cha kuchekesha, threads zote hizo hakuna hata moja inayotoa ushahidi wa huo wizi na huko kufeli kwake.

Na cha kuchekesha zaidi ni kuwa baadhi ya wanaotoa shutuma hizo wamefeli vibaya, katika elimu hadi maisha, na ushahidi wa kufeli kwao upo wazi kabisa kuliko huyo Makamba.

Hili jambo, kwa jicho la tatu, linafikirisha sana. Kwa hakika hapa kuna kitu si bure hii. Labda uwe poyoyo ndio hutoona kuwa kuna jambo la hila limejificha hapa!

Yule Musiba alipokuwa anakesha na kuwezeshwa vizuri kumtukana Makamba huyu, alijibu kidogo tu lkn kwa ufasaha kabisa kuwa, 'Siwezi kujibizana na mjinga!'

Juzi hapa kawajibu kidogo tu hawa wachambaji wa mitandaoni kuwa wasilete upuuzi wao, basi wamejifanya kubadili gia na kulipeleka jibu hilo kwa kamati ya bunge wakiamini litamuathiri zaidi na mamia ya threads sasa yanafunguliwa kwa ajili hiyo.

Unless proved otherwise, nitaendelea kuuona usmart wa Makamba vizuri kabisa katika nafasi ya uongozi alionao na hata kuzidi hiyo!
Wanao mwandika vizuri, wanao mwandika vibaya wote ni wale wale, wanabadiri id, na wengine wanazo kwa kutumia majina tofauti tofauti. Nia yao ni moja, kumtangaza makamba. Japo mama akibadiri baraza la mawaziri alidai kuwa enguwa wanao taka kugombea urais 2025, hakuwauliza alio taka kuwa teua kama nao wana wazo sawa na anao waengua.
 
Makamba blah blah na confidence za ovyo kwenye media Ni nyingi mno ila kiuhalisia utendaji wake Ni sifuri,

Ameturudisha nyuma Sana kimaendeleo hasa upande wa umeme, Upuuz wa mgao,majenereta na kukatika katika ovyo kwa umeme tulishaanza kusahau kabisa watanzania[emoji3525]
Mlishaanza kusahau katika kipindi kipi? Cha yule mliesema ni mshamba na dikteta?

Kuleni democrasia sasa.
 
Makamba

wizara ya mazingira na muungano alifanya vizur Sana, huku kwenye wizara zinazogusa maisha ya wengi na zenye changamoto Sana ameprove failure sana, haziwezi kabisa.

Kuna kipindi flan tulidhan angeweza kua presidential material, ila Hii wizara ya nishati imemshushia credibility mno.
Ile wizara siyo kwamba aliipatia!

Ila kilichotokea ni sababu ya mgongo wa Magu. Kama unabisha mwambie apewe hiyo wizara sasa hivi uone kama kuna kitu atafanya
 
Yani afanye hujuma Halafu tiss wanamuangalia tu ! Mkuu labda hujui gvt coordination inavyofanya kazi kila waziri na wizara kuna nyoka maalumu wanaoripoti kwà mama direct kila kitu sasa hiyo hujuma anaifanyia wapi?
Majukumu ya tiss yalibadirika toka enzi za magufuli, toka kuangalia usalama wa nchi na kuwa kitengo cha ulinzi wa rais. Hujuma kubwa za ufisadi wa mali ya umma siku hizi hakuna idara ya kuumulika.
 
Uhodari wa Waziri Makamba jr ni Poyoyo tu ndie atashindwa kuuona
 
Kumekuwa na mfululizo wa threads za kumpondea Makamba kila uchao!

Akijikwaa basi inafunguliwa thread hasi dhidi yake;

Akikohoa basi inafunguliwa thread hasi dhidi yake;

Akisalimia basi inafunguliwa thread hasi dhidi yake;

Akisalimia hali hiyohiyo;

Akitoa zawadi, kama wanavyofanya wengine ambao walikuwa wanagawa mpaka hela, hali hiyohiyo;

Akikaa kimya hali hiyohiyo;

Threads zote hizi, zinakuwa na shutuma moja au mbili tu kuu; MAKAMBA MWIZI NA ALIFELI KIDATO CHA NNE ingawa kuna ulazimishaji wa nyingine pia kuwa eti ANAMSEMA MAREHEMU JPM! Cha kuchekesha, threads zote hizo hakuna hata moja inayotoa ushahidi wa huo wizi na huko kufeli kwake.

Na cha kuchekesha zaidi ni kuwa baadhi ya wanaotoa shutuma hizo wamefeli vibaya, katika elimu hadi maisha, na ushahidi wa kufeli kwao upo wazi kabisa kuliko huyo Makamba.

Hili jambo, kwa jicho la tatu, linafikirisha sana. Kwa hakika hapa kuna kitu si bure hii. Labda uwe poyoyo ndio hutoona kuwa kuna jambo la hila limejificha hapa!

Yule Musiba alipokuwa anakesha na kuwezeshwa vizuri kumtukana Makamba huyu, alijibu kidogo tu lkn kwa ufasaha kabisa kuwa, 'Siwezi kujibizana na mjinga!'

Juzi hapa kawajibu kidogo tu hawa wachambaji wa mitandaoni kuwa wasilete upuuzi wao, basi wamejifanya kubadili gia na kulipeleka jibu hilo kwa kamati ya bunge wakiamini litamuathiri zaidi na mamia ya threads sasa yanafunguliwa kwa ajili hiyo.

Unless proved otherwise, nitaendelea kuuona usmart wa Makamba vizuri kabisa katika nafasi ya uongozi alionao na hata kuzidi hiyo!
Wewe kama ni kimada wake huwezi kuziona Dosari hizo,sababu mnalamba asali pamoja.

Pia wewe ni mpuuzi usiyeweza kuona kile ambacho watanzania wengine wanakiona.

Narudia kusema wewe na Makambajr5 ndio wapuuzi kwa sababu bila uteuzi maisha ya mtaani hamuyawezi.

Wenye akili wako mtaani na wapuuzi ndio wanalamba asali.

Time will Tell!
 
Wewe kama ni kimada wake huwezi kuziona Dosari hizo,sababu mnalamba asali pamoja.

Pia wewe ni mpuuzi usiyeweza kuona kile ambacho watanzania wengine wanakiona.

Narudia kusema wewe na Makambajr5 ndio wapuuzi kwa sababu bila uteuzi maisha ya mtaani hamuyawezi.

Wenye akili wako mtaani na wapuuzi ndio wanalamba asali.

Time will Tell!
Kumbe mashemales mkitoka kufirimbwa ndo huwa mbakuwa hivi.....ptuuuuu!!!!
 
Wamemtoa Kalemani kwa majungu
Hilo mimi sijui, mi nimeuliza tu kuhusu ushahidi wa wizi wa makamba basi! Nimeshuhudia nawaziri weeeengi mno wakitoka na kuingia na hata sijasikia habari za aliyetoka kufanyiwa majungu.....ila kalemani kafanyiwa majungu. Aisee, kwakuwa sijui basi acha nijikalie kimya tu kuhgsu hilo.
 
Back
Top Bottom