Tafakuri: Kuna nini nyuma ya mashambulizi haya kwa Makamba?

Akili yako wewe mleta mada na makamba hakuna tofauti, wote ni mabwege na wababaishaji tu. Hakuna cha maana ulichomsemea, yani ni sawa na majibu yake, vyote ni porojo tu.
Huwa sihangaiki sana kuwajibu watu wenye UTI sugu, wanakuwa wameathirika akili pia. Pole
 
Una hasiraaaa, nafikiri ndo maana akaamua kujisemea km vipi muueni tu.
 
Mi naona kuna tatizo la kuoverstate tu anachoongea na kutomwelewa kwakuwa maadui wake tayari mnakuwa mmeshaandaa kila aina ya uzushi......mnachosubiri ni kumuona tu akisema au kufanya jambo nanyi muoanishe na mlichokiandaa basi.
 
Yani afanye hujuma Halafu tiss wanamuangalia tu ! Mkuu labda hujui gvt coordination inavyofanya kazi kila waziri na wizara kuna nyoka maalumu wanaoripoti kwà mama direct kila kitu sasa hiyo hujuma anaifanyia wapi?
Hapo sasa!!
 
Katiba mpya itasimamia uteuzi wa viongozi wenye maadili wasiotiliwa Shaka kama mtajwa!

Pia itaondoa hofu ya kuhujumiwa miradie mikubwa ya kimkakati Kama JNNP kama ilivyo sasa!!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe katiba mpya""!
 
Inaonekana huko kwenu umeme sio shids
Kwa tz hii umeme haujawahi kutokuwa tatizo, labda mwenzetu uliishi nje ya nchi. Hoja yangu si kushangaa malalamiko dhidi ya tatizo la umeme, bali mbona makamba tu kila sekunde km vile tatizo limeanza kwake?
 
Katiba mpya itasimamia uteuzi wa viongozi wenye maadili wasiotiliwa Shaka kama mtajwa!

Pia itaondoa hofu ya kuhujumiwa miradie mikubwa ya kimkakati Kama JNNP kama ilivyo sasa!!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe katiba mpya""!
Hivi ukariri huu mnaoufanya wa kuhujumiwa JNNP mkaririshaji wenu nani?!!!!! Maana naona hamna hoja sasa isipokutema huo ushuzi. Walinda legacy mmekaririshana huo upuuzi na bila aibu mnautema popote pale hadi watoto wadogo wanakushangaeni wakati mwingine.
Nina uhakika hujui chochote kinachoendelea huko zaidi ya kukaririshwa tu......
 
Sukuma gang walichukia sana mtu wao Kalemani alipotumbuliwa na kuteuliwa Makamba. Hiki ndicho chanzo cha chuki.

Kalemani, Msukuma, Gwajima, Kabudi, prof. Mkumbo, n.k ni nyoka wa sukuma gang
Inawezekana likawa hili ndo tatizo
 
Kwetu wehye akili huru kama mimi, jamaa ni presidential material axiye na mfano!
 
Toka kwenye chungu cha chuki, fitna, hila na uzushi unaweza kuuona mwanga!
 
Pale hoja zinapokosa mashiko, uzushi na chuki za wazi zinapotamalaki inakuwa rahisi kwa watu kukimbilia upande mwingine!
 
Wanamuwinda sana aisee!
 
Umeongea kiongozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…