TAFAKURI: Maana halisi sita (6) za muda. Je, wewe unaelewa nini kuhusu Muda?

TAFAKURI: Maana halisi sita (6) za muda. Je, wewe unaelewa nini kuhusu Muda?

I am Groot

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
3,929
Reaction score
10,747
images (2).jpeg


1) Muda u taratibu unaposubiri jambo.
2) Muda u haraka unapokuwa umechelewa kitu/jambo.
3) Muda u hatari sana unapokuwa katika hali ya huzuni.
4) Muda u mfupi mno unapokuwa katika wakati mzuri au furaha.
5) Muda u endelevu unapokuwa katika maumivu.
6) Muda u mrefu unapokuwa huna cha kufanya ama (bored).

:: Hivyo muda unatokana na jinsi unavyojisikia na hali yako kisaikolojia na wala si Saa.
 
View attachment 3023453

1) Muda u taratibu unaposubiri jambo.
2) Muda u haraka unapokuwa umechelewa kitu/jambo.
3) Muda u hatari sana unapokuwa katika hali ya huzuni.
4) Muda u mfupi mno unapokuwa katika wakati mzuri au furaha.
5) Muda u endelevu unapokuwa katika maumivu.
6) Muda u mrefu unapokuwa huna cha kufanya ama (bored).

:: Hivyo muda unatokana na jinsi unavyojisikia na hali yako kisaikolojia na wala si Saa.
Kama taifa tunaelekea wapi jamani? Sasa hivi ni saa saba na nusu usiku mzito huko JF tena unaposti uzi na hii ni wikiend . Unatakiwa umelala. Tendeeni haki miili na akili zenu jamani. Tuweni mfano mzuri kwa vizazi vijavyo. Tupanueni wigo kwa maslahi mapana ya taifa.
 
Ndiyo. Upo muda wa wa saa, muda wa tik tok: na muda wa hisia.
Muda unakwenda mbio sana Uchaguzi Mkuu unapokaribia.
Halafu muda siyo swala la poetry. Watu wa physics wana interest sana na muda.
Yule ndugu yangu anasoma physics anasema;
"Sikiliza,rubani anapowakaribisha abiria katika anasema,'This is your captain speaking,we are going to fly at 6000 metres...',
anasema rubani anaongea maneno hayo kuwatayarisha abiria for a new time- space continuum'
Sasa hapo wewe sijui umeelewa nini.
Sasa hapo nimemtaja huyo captain wa ndege,nakumbuka Ile joke ambayo Mwalimu Nyerere alikuwa anaisimulia.
Anasema abiria waliingia ndani ya East African Airways wakamsikia flight captain anasema;
"Welcome aboard,ladies and gentlemen.
We are going to fry you at 35,000 feet.
Supper will be at six ."
 
Back
Top Bottom