Tafakuri: Madaktari bingwa wa wanawake kuwa wanaume imekaaje?

nimekumbuka siku niko pale temeke wodi ya wazazi ambulance ikaleta wajawazito wa4.....mu1 alikuwa kavaa kanga ile kushuka tu akaanza kushusha maji ya uzazi( amniotic fluid) zilikuwa zinachuruzika kidogo kidogo na sehemu ile ilikuwa waz almost 75 percent na yeye alikuwa hajali anahangaika kuingia labour.......vip mtoa maada unasema dokta anaweza ingia humo eeeh
 
Mapenzi yakikolea bana kila kitu unaona kama mwanamke amecheat
Kwa hoja hii anaweza mkeo nae akaja kusema wanaume wahudumiwe na wanaume wenzao maana madaktari wanawake wanachungulia nyuchi zao.

Note: kwenye afya hatujui uchi tunajua viungo vya binadamu.
 
Kukuambia ww utoke sioni kama kunashida usijitengenezee akili ya kuwa ukiambiwa hivo basi kinachoendelea ndani ni hicho lasivyo utachukia wahudumu wa afya kote duniani maana kuna vitu mke anaweza asiseme ukiwepo mfano idadi ya watu alioshiriki nao hivi karibuni but kama kuna tuhuma hizo tafuteni ushahidi wekeni mtego. Hatua stahiki zichukuliwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…