Tafakuri: Tozo ni kete inayotumika kuelekea Mabadiliko ya kweli tuliyoyatamani kwa muda mrefu

Tafakuri: Tozo ni kete inayotumika kuelekea Mabadiliko ya kweli tuliyoyatamani kwa muda mrefu

NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2019
Posts
9,863
Reaction score
20,806
Poleni kwa tozo,

Mwenye akili timamu kabisa hawezi fikiri KUWA Mama kaanzisha Tozo kupitia waziri wa fedha Ili kuwaudhi watanzania Ili waje wamchague tena MWAKA 2025.

Pia kwamba Mwigulu nchemba kaanzisha Tozo Ili wananchi wamchukie Halafu ategemee eti MWAKA 2025 achukue fomu ya urais Ili achaguliwe tena huku akitunanga tuhamie Burundi.

Alieanzisha Tozo sio mwigulu wala Mama bali kuna wasiojulikana wamelianzisha kupitia wao Ili kupata chanzo cha vugu vugu la Mabadiliko fulani tuliyoyataka kwa muda mrefu.

Tozo ni chanzo cha muelekeo mpya wa Taifa letu, chanzo cha katiba kupatikana na kifo cha chama Tawala na wapinzani wake Ili vipya vizaliwe baada ya katiba kupatikana.

Kuna mtu anatafutiwa sababu ya kutogombea tena nafasi yake na wengi kutemwa na mfumo Mpya ambao utakuja Baada ya giza la Tozo.

Mama asingeanzisha Tozo Kama kweli anautaka urais Hapo 2025 na Mwigulu kama angeutaka Hapo 2025 Hata wao hawapendi KUHUBIRI Tozo na hawazipendi bali wanapewa maelekezo Ili sababu ya kifo chao kisiasa ipatikane na Mabadiliko kwa mwelekeo mpya yapatikane nchini!!

Ndio màana CHADEMA wamekalia kimya Tozo wala hawatumii nguvu tena kwani wanajua fika Mabadiliko walioyapigania KWA muda mrefu yanenda kutimia wanayasubiria KWA hamu!!

TUSUBIRI

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"
 
Poleni kwa tozo,

Mwenye akili timamu kabisa hawezi fikiri KUWA Mama kaanzisha Tozo kupitia waziri wa fedha Ili kuwaudhi watanzania Ili waje wamchague tena MWAKA 2025.

Pia kwamba Mwigulu nchemba kaanzisha Tozo Ili wananchi wamchukie Halafu ategemee eti MWAKA 2025 achukue fomu ya urais Ili achaguliwe tena huku akitunanga tuhamie Burundi.

Alieanzisha Tozo sio mwigulu wala Mama bali kuna wasiojulikana wamelianzisha kupitia wao Ili kupata chanzo cha vugu vugu la Mabadiliko fulani tuliyoyataka kwa muda mrefu.

Tozo ni chanzo cha muelekeo mpya wa Taifa letu, chanzo cha katiba kupatikana na kifo cha chama Tawala na wapinzani wake Ili vipya vizaliwe baada ya katiba kupatikana.

Kuna mtu anatafutiwa sababu ya kutogombea tena nafasi yake na wengi kutemwa na mfumo Mpya ambao utakuja Baada ya giza la Tozo.

Mama asingeanzisha Tozo Kama kweli anautaka urais Hapo 2025 na Mwigulu kama angeutaka Hapo 2025 Hata wao hawapendi KUHUBIRI Tozo na hawazipendi bali wanapewa maelekezo Ili sababu ya kifo chao kisiasa ipatikane na Mabadiliko kwa mwelekeo mpya yapatikane nchini!!

Ndio màana CHADEMA wamekalia kimya Tozo wala hawatumii nguvu tena kwani wanajua fika Mabadiliko walioyapigania KWA muda mrefu yanenda kutimia wanayasubiria KWA hamu!!

TUSUBIRI

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"
"TOZO" is just like the COVID-19 pandemic outbreak whose implications suggest someone may be sacrificed as a scapegoat to safeguard the systematic cartel due to somebody's public innuendo acts that have tarnished the urn's credibility.....
 
"TOZO" is just like the COVID-19 pandemic outbreak whose implications suggest someone may be sacrificed as a scapegoat to safeguard the systematic cartel due to somebody's public innuendo acts that have tarnished the urn's credibility.....
it is an indisputable fact that our nation is in the times towards obtaining complete freedom and happiness for its citizens, our God is very great, there is nothing that will prevent these changes from happening forever.
 
it is an indisputable fact that our nation is in the times towards obtaining complete freedom and happiness for its citizens, our God is very great, there is nothing that will prevent these changes from happening forever.
Certainly, CIA mgumu and indeed it is a matter of time for the bombshell to explode into transformative changes sooner than everyone was looking forward
 
Certainly, CIA mgumu and indeed it is a matter of time for the bombshell to explode into transformative changes sooner than everyone was looking forward
Our God is great, let's continue to believe in him, because inside there are many noises demanding justice and these noises have reached God and God has heard the noise and tears of Tanzanians, an unknown day is approaching and it will be a great joy.
 
Back
Top Bottom