TAFAKURI: Utajisikiaje endapo utaambiwa Wazazi uliohisi wamekuzaa na kukulea kwa miaka mingi si wazazi wako halisi?

TAFAKURI: Utajisikiaje endapo utaambiwa Wazazi uliohisi wamekuzaa na kukulea kwa miaka mingi si wazazi wako halisi?

Katika pita pita zangu na tafakuri za hapa na pale kwenye kichwa changu.

Nikawaza kuwa itakuwaje endapo Utapata Taarifa kuwa wazazi ulionao/Waliokulea Sio wazazi wako halisi Huenda umekuwa ukijua kuwa ni wazazi wako kwa Takribani miaka 50s, 40s ,30s au hata 20s ya kuishi duniani..

Je, utaukubali ukweli au utaendelea kubishana na ukweli hata baada ya majibu ya DNA
Mimi sio mzuri wa kuandika ila unaongelea historia yangu kabisa .

Ni majanga sana HIV /AIDs ikaingia kwenye real family , nikapumbazwa kwa mengi na ni mwaka jana nikaujua ukweli wote nikiwa jela baada ya mambo kuharibika kazini kupitia mzee mmoja huko jela (Keko magereza)

Finally nikafurahia kuingia jela maana nilipelekwa kuambiwa ukweli wa mimi ni nani .

Mirathi ikanipeleka tena mbele ya mahakama , mwisho mshindi nikawa mimi na sasa nazitumbua hizo hela na vyote walivyoacha maana sio kwa kunitesa kisaikolojia kiasi hicho .

Itoshe kusema sio kila anywae pombe ni kupenda kuna muda dunia inatuandama maana familia zinatuuwa bila kujua .

Rest in peace real father , keep in getting the torment wewe mmama usiyejua nini maana ya mtoto. [emoji24]
 
Mimi sio mzuri wa kuandika ila unaongelea historia yangu kabisa .

Ni majanga sana HIV /AIDs ikaingia kwenye real family , nikapumbazwa kwa mengi na ni mwaka jana nikaujua ukweli wote nikiwa jela baada ya mambo kuharibika kazini kupitia mzee mmoja huko jela (Keko magereza)

Finally nikafurahia kuingia jela maana nilipelekwa kuambiwa ukweli wa mimi ni nani .

Mirathi ikanipeleka tena mbele ya mahakama , mwisho mshindi nikawa mimi na sasa nazitumbua hizo hela na vyote walivyoacha maana sio kwa kunitesa kisaikolojia kiasi hicho .

Itoshe kusema sio kila anywae pombe ni kupenda kuna muda dunia inatuandama maana familia zinatuuwa bila kujua .

Rest in peace real father , keep in getting the torment wewe mmama usiyejua nini maana ya mtoto. [emoji24]
Polee sana Chief, I feel you! Nahisi maumivu uliyonayo ila Wasamehe tu unajua watu wengi huwa hawawezi kutubu na walishajiapiza hivyo...
Wasamehe upunguze uzito moyoni!
Nakumbuka ulishawahi kugusia hii story kwenye jukwa fulani..
 
Polee sana Chief, I feel you! Nahisi maumivu uliyonayo ila Wasamehe tu unajua watu wengi huwa hawawezi kutubu na walishajiapiza hivyo...
Wasamehe upunguze uzito moyoni!
Nakumbuka ulishawahi kugusia hii story kwenye jukwa fulani..
Acha tu daktari , tunaishi na mambo mengi moyoni ila kuna muda tunakubali yaende kama yalivyo sababu hatuna uwezo wa kubadilisha hatma.
 
Katika pita pita zangu na tafakuri za hapa na pale kwenye kichwa changu.

Nikawaza kuwa itakuwaje endapo Utapata Taarifa kuwa wazazi ulionao/Waliokulea Sio wazazi wako halisi Huenda umekuwa ukijua kuwa ni wazazi wako kwa Takribani miaka 50s, 40s ,30s au hata 20s ya kuishi duniani..

Je, utaukubali ukweli au utaendelea kubishana na ukweli hata baada ya majibu ya DNA
Nitakubali, na kisha nitadadisi sababu iliyowafanya wafanye hivyo!
1. Kama ni upendo nitawashukuru!

2. Kama ni ubaya nitawasamehe!
 
Back
Top Bottom