Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Kusomea ujinga nao ulilipiwa ada,vipi babaako aliwahi kuwa mjinga kusomesha au kulipia ada hata wajinga wawili tu nje ya ukoo wake,?Je vipi kuhusu ww ushawai kugharimia fees japo ordinary level kwa wajanja watatu tu nje ya mfumo wa dini yako?
Kumjibu mjinga hudhihirisha ujinga uliopo ndani ya mjinga.
Na ww mpaka uache kufuata mila za waraabu ndio utakuwa na akili
Aah c'mon nkoi, Olo uleta cheneko olehubhaBhujiku ng'waka nkoi
Anasemaje?Video ya post namba moja ni Profesa Noor, Muislam. Umeitazama na kuisikiliza?
FaizaFoxy , asante sana kwa mada hii. Naomba kukiri mimi ni miongoni mwa tulio ingizwa chaka na michoro hii, kumbe tulikuwa tunadangwa kwa michoro ya kuchorwa, jee vipi kuhusu zile picha za camera, kama hizi
View attachment 2212044
nazo ni za uongo?.
PUdhalimu wa Utumwa Zanzibar na Pemba: Mababu zetu waliteswa, walihasiwa, walibakwa, na kuuawa kinyama
Wanabodi, Katika karibu kila jambo, kuna mazuri na mabaya yake, kama ilivyo kwa ukoloni, japo wakoloni walitunyonya, pia kuna mazuri, walituachia, ikiwepo elimu ya kisasa, walileta maendeleo mbambali ya kisiasa, kiuchumi na kijamii vikiwemo viwanda, miundombinu, maendeleo ya kilimo, ila pia...www.jamiiforums.com
Hiki kikongwe nacho wewe ndio umejaa ujinga
Muda wa kutizama hiyo video ningemaliza baadhi ya bugs kwenye project yangu
Kuna subtitles? Mimi Ni kiziwiAnasema Kiswahili, katazame.
Ingawa mimi kiasi fulani sipendi mivutano yenye kuchagizwa na matusi na kukoseana heshma. Sababu kuu ni kuwa mijadala yenye kashfa huondoa uwezo wa kuyaona mambo ktk uhalisia wake. Sasa huu mjadala hata sijafika mbali kuufatilia nimeona jumbe zinazokatisha tamaa. Kwa mfano unaeleza watu na uduni wa elimu waliyoipata halafu unaandika reply kama hii huku ukijitanabaisha kuwa wewe hujasomea ujinga. Hapa ndo naamini kuwa hii mada inatufanya kuondoka ktk mizania zetu za elimu za darasani na kufikiri.Ungeitazama na kuisikiliza video ungepata jibu.
Hao walishikwa na wajanja wenzao wakawauza. Na usijidanganye kuwa biashara ya utumwa imekwisha imebadilika jina tu, Samatta yuko wapi? Hashim Thabiti yuko wapi. Hauna nduguzo "wabeba maboksi" huko je?
Unafikiri kama si utumwa huo ni nini? Huo ndio utumwa mamboleo kama ulikuwa huelewi.
Hapa hapa Tanzania leo hii, mchimba madini wewe, madini yako kwenye ardhi yako wewe, lakini pengine hata Tanzanite huijuwi na kama unaijuwa huna hata kipini chenye Tanzanite, kama si mtumwa tu wa kuwachimbiwa wengine ni nini?
Kufungua documentary while kifurushi kimepanda na mb nyingine wanaiba huko huko pia ni ujinga.
Nani yupo katika ujinga kati yako wewe na wao waliojisalimisha?Hao maprofesa wako wasiojua tofauti ya L na R nao ni wajinga.
Anae beepmimi nampigia, sasa mnaacha mada mnanivaa mimi kijinga niwageuzie la pili?Ingawa mimi kiasi fulani sipendi mivutano yenye kuchagizwa na matusi na kukoseana heshma. Sababu kuu ni kuwa mijadala yenye kashfa huondoa uwezo wa kuyaona mambo ktk uhalisia wake. Sasa huu mjadala hata sijafika mbali kuufatilia nimeona jumbe zinazokatisha tamaa. Kwa mfano unaeleza watu na uduni wa elimu waliyoipata halafu unaandika reply kama hii huku ukijitanabaisha kuwa wewe hujasomea ujinga. Hapa ndo naamini kuwa hii mada inatufanya kuondoka ktk mizania zetu za elimu za darasani na kufikiri.
Sasa mbona wenye uislam kama waarabu/wapemba na wasomali ndio wachafu no1?Yaani niacha mila za Kiislam nifate mila zako za kunya na kubaki na mavi makalioni? Unanchekesha!
Unafahamu kujitoharisha wewe?
Haki ipi ya kuongea kiarabu badala ya lugha yako halisi na kuvaa kama mwarabu ama kweli mtawatambua kwa matendo yao,mimi najiona bora kuliko mwarabu.Allaah akuongoze uijue haki ndugu yangu bhachu
Aaah Uislam ni Universal, hauna mwenyewe. Unajua kuwa hao wote uliowataja ni wachache sana "minority" kwenye Uislam?Sasa mbona wenye uislam kama waarabu/wapemba na wasomali ndio wachafu no1?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sasa hao wana uarabu gani ndugu pascal? Hata kwa macho tu wanaonekana🤣🤣🤣
hayo ya usafi tuyaache utaumbukaAaah Uislam ni Universal, hauna mwenyewe. Unajua kuwa hao wote uliowataja ni wachache sana "minority" kwenye Uislam?
Kama haitoshi, unasema Wachafu Waislam ambao dini yao inahimiza usafi. Wanaotawadha kwa uchache kutwa mara 5?
Wewe utashinda usafi upi na Waislam? Unatawadha kutwa mara ngapi? Nna uhakika wewe hata ukienda haja hujisafishi kwa maji, bisha! Sasa utashindana na Muislam ambae awe wakike au wa wakiume, mtoto au mkubwa, anaamrishwa kutumia maji kila akienda haja, iwe ndogo au kubwa? Usafi upi wa ziada ulio nao wewe?
Hao watu uliowataja huo uchafu wao uko wapi, watu wanaojukua kujifukiza hao kwa maudi na maubani utashindana nao wewe usafi? Usitake kunchekesha sasa hivi.
Kaburu ni kaburu hata kama ni mweusi😁🤣🤣🤣Sasa hao wana uarabu gani ndugu pascal? Hata kwa macho tu wanaonekana🤣🤣🤣