Tafakuri ya FaizaFoxy 7: Shule za kusomea ujinga. Tanzania na propaganda za Udini Shuleni

Tafakuri ya FaizaFoxy 7: Shule za kusomea ujinga. Tanzania na propaganda za Udini Shuleni

Kusomea ujinga nao ulilipiwa ada,vipi babaako aliwahi kuwa mjinga kusomesha au kulipia ada hata wajinga wawili tu nje ya ukoo wake,?Je vipi kuhusu ww ushawai kugharimia fees japo ordinary level kwa wajanja watatu tu nje ya mfumo wa dini yako?
Kumjibu mjinga hudhihirisha ujinga uliopo ndani ya mjinga.

Hamuna ubavu wa kujadiliana na waislamu,,,
 
Na ww mpaka uache kufuata mila za waraabu ndio utakuwa na akili

Hawatakuwa radhi mayahudi na wakristo mpaka mfuate mila zao

Na msitake ama kulazimisha watu wengine wawachukie waarabu,,

Wewe hapo na wafuasi wako mliopotea hamujawafikia hata robo ya utu na ukarimu na roho nzuri waarabu, hata mayahudi wenu na mabeberu wenu wakasome kwa waarabu.
 
FaizaFoxy , asante sana kwa mada hii. Naomba kukiri mimi ni miongoni mwa tulio ingizwa chaka na michoro hii, kumbe tulikuwa tunadangwa kwa michoro ya kuchorwa, jee vipi kuhusu zile picha za camera, kama hizi
View attachment 2212044
nazo ni za uongo?.
P

🤣🤣🤣Sasa hao wana uarabu gani ndugu pascal? Hata kwa macho tu wanaonekana🤣🤣🤣
 
Ungeitazama na kuisikiliza video ungepata jibu.

Hao walishikwa na wajanja wenzao wakawauza. Na usijidanganye kuwa biashara ya utumwa imekwisha imebadilika jina tu, Samatta yuko wapi? Hashim Thabiti yuko wapi. Hauna nduguzo "wabeba maboksi" huko je?

Unafikiri kama si utumwa huo ni nini? Huo ndio utumwa mamboleo kama ulikuwa huelewi.

Hapa hapa Tanzania leo hii, mchimba madini wewe, madini yako kwenye ardhi yako wewe, lakini pengine hata Tanzanite huijuwi na kama unaijuwa huna hata kipini chenye Tanzanite, kama si mtumwa tu wa kuwachimbiwa wengine ni nini?
Ingawa mimi kiasi fulani sipendi mivutano yenye kuchagizwa na matusi na kukoseana heshma. Sababu kuu ni kuwa mijadala yenye kashfa huondoa uwezo wa kuyaona mambo ktk uhalisia wake. Sasa huu mjadala hata sijafika mbali kuufatilia nimeona jumbe zinazokatisha tamaa. Kwa mfano unaeleza watu na uduni wa elimu waliyoipata halafu unaandika reply kama hii huku ukijitanabaisha kuwa wewe hujasomea ujinga. Hapa ndo naamini kuwa hii mada inatufanya kuondoka ktk mizania zetu za elimu za darasani na kufikiri.
 
Kufungua documentary while kifurushi kimepanda na mb nyingine wanaiba huko huko pia ni ujinga.

Nini unacholalamikia dada wa watu!! Si usingeingia jf ukatuliazako kitchen 😁
Hao maprofesa wako wasiojua tofauti ya L na R nao ni wajinga.
Nani yupo katika ujinga kati yako wewe na wao waliojisalimisha?

"Hawatakuwa radhi mayahudi na wakristo mpaka mfuate mila zao"
 
Ingawa mimi kiasi fulani sipendi mivutano yenye kuchagizwa na matusi na kukoseana heshma. Sababu kuu ni kuwa mijadala yenye kashfa huondoa uwezo wa kuyaona mambo ktk uhalisia wake. Sasa huu mjadala hata sijafika mbali kuufatilia nimeona jumbe zinazokatisha tamaa. Kwa mfano unaeleza watu na uduni wa elimu waliyoipata halafu unaandika reply kama hii huku ukijitanabaisha kuwa wewe hujasomea ujinga. Hapa ndo naamini kuwa hii mada inatufanya kuondoka ktk mizania zetu za elimu za darasani na kufikiri.
Anae beepmimi nampigia, sasa mnaacha mada mnanivaa mimi kijinga niwageuzie la pili?
 
Kuna subtitles? Mimi Ni kiziwi
Nenda katazame, kama zipo utaelewa namna ya kuzifungua. Tena maudhui iliyokuwepo huna haja hata ya kusikia ni mapicha picha yanajielezza yenyewe.
 
Yaani niacha mila za Kiislam nifate mila zako za kunya na kubaki na mavi makalioni? Unanchekesha!

Unafahamu kujitoharisha wewe?
Sasa mbona wenye uislam kama waarabu/wapemba na wasomali ndio wachafu no1?
 
Sasa mbona wenye uislam kama waarabu/wapemba na wasomali ndio wachafu no1?
Aaah Uislam ni Universal, hauna mwenyewe. Unajua kuwa hao wote uliowataja ni wachache sana "minority" kwenye Uislam?

Kama haitoshi, unasema Wachafu Waislam ambao dini yao inahimiza usafi. Wanaotawadha kwa uchache kutwa mara 5?

Wewe utashinda usafi upi na Waislam? Unatawadha kutwa mara ngapi? Nna uhakika wewe hata ukienda haja hujisafishi kwa maji, bisha! Sasa utashindana na Muislam ambae awe wakike au wa wakiume, mtoto au mkubwa, anaamrishwa kutumia maji kila akienda haja, iwe ndogo au kubwa? Usafi upi wa ziada ulio nao wewe?

Hao watu uliowataja huo uchafu wao uko wapi, watu wanaojua kujifukiza hao kwa maudi na maubani utashindana nao wewe usafi? Usitake kunchekesha.
 
Aaah Uislam ni Universal, hauna mwenyewe. Unajua kuwa hao wote uliowataja ni wachache sana "minority" kwenye Uislam?

Kama haitoshi, unasema Wachafu Waislam ambao dini yao inahimiza usafi. Wanaotawadha kwa uchache kutwa mara 5?

Wewe utashinda usafi upi na Waislam? Unatawadha kutwa mara ngapi? Nna uhakika wewe hata ukienda haja hujisafishi kwa maji, bisha! Sasa utashindana na Muislam ambae awe wakike au wa wakiume, mtoto au mkubwa, anaamrishwa kutumia maji kila akienda haja, iwe ndogo au kubwa? Usafi upi wa ziada ulio nao wewe?

Hao watu uliowataja huo uchafu wao uko wapi, watu wanaojukua kujifukiza hao kwa maudi na maubani utashindana nao wewe usafi? Usitake kunchekesha sasa hivi.
hayo ya usafi tuyaache utaumbuka
 
Back
Top Bottom