Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli Ni Nini?
Kuonewa nini na kusingiziwa nini? Mbona unayumba!!Sasa Kati yangu na nyie Nani analialia.
Ninyi si ndio mnalialia kila siku mnaonewa sijui mnasingiziwa.
Sasa ulitaka kwetu ujifunze nini Kama unawapenda Alkaida, boko haramu na Al-shabab
HAO ndio ukajifunze kutoka kwao.
Akichukiwa Mwarabu kwa maovu yake wewe mtanzania unapata hasara gani! Kama unawapenda waarabu nenda kaishi Oman ule nao tende.Haya mambo yanapandikizwa makusudi ili yalete chuki kwenye jamii. Cha kutafakari ni nani anaeyafanya?
Huyo professor amevimbewa nguruwe.
Ndiyoooooooo
I'm proud to be a muslim
Akichukiwa Mwarabu kwa maovu yake wewe mtanzania unapata hasara gani! Kama unawapenda waarabu nenda kaishi Oman ule nao tende.
Bas sawa kaka.
Nlchokuwa naulizia Yani Nini kinafanya kitu kiwe ukweli au uongo...kitu ili kiwe ukweli kinatakiwa kiwe Na vigezo Gani?Ukweli wa hicho kilichoongelewa kwenye clip. Kama hujaisikiliza basi jitahidi uisikilize upate kujua ukweli, na sio kukaririshwa na wazungu.
Waarabu walikuwa wafanyabiashara wakubwa wa biashara ya utumwa na ujangili wa wanyamapori.
Hiyo historia itabaki hivyo, penda usipende.
Wala hupaswi kuniuliza swali kama hili. Kama hujawahi kula nguruwe, sasa kula ndo ulinganishe na hizo tende.Tende na nguruwe ipi bora??
Enzi za ertugrul na Ottoman empire watu kama wewe mngelikua mfu kitambo sana.
Mungu awabariki sana waarabu na waislamu kote duniani,,,
"Hawatakuwa radhi mayahudi na wakristo mpaka mfuate mila zao"
Wacha uongo. Hakuna mahala profesa kainga kuwa biashara ya utumwa haikufanyika. Maudhui ni mapicha tu. Umeyaona hayo mapicha yaliyobeba maudhui? Aliyachora Profesa yale?
Utaupingaje Utumwa wakati hata kwenye Biblia upo? Na ardhi yetu hii imetajwa katika maandiko hata kabla ya Biblia na dola lililotaja kwenye maandiko yake kuwa lilifanya biashara na ukanda huu miaka elfu 20 iliyopita. Ushahidi upo wazi kabisa kwenye "hieroglyphics" za mafarao.
Katazame tena maudhui, umekuja na porojo ndefu iliyo nje kabisa ya mada. Usitake kujaza watu ujinga uliojazwa nao wewe.
Punguani wewe mwenye mzigo wa CHUKI moyoni mwako.Ukiona mtu anakuja na matusi ujuwe umemshinda hoja. Sikushangai.
Wewe umeiona video?
Hizo porojo alizopiga ndizo zimenifanya niseme kuwa hajaitazama video. Wewe punguani wahed, wewe ndio wakili wake wa kumsemea huyo poyoyo mwenzako?? Au ni mkewe?
Sasa jibu wewe umeitazama video kwenye post namba 1 au unabwekea hewa tu?
Hiimada si mara moja binafsi kuiibua humu JF, miaka kadhaa iliyopita niliibua kwenye uzi wa maandiko tu. Leo nimeileta video.
Umeitazama video? Ni nini ulichokiona humo? Au wewe ni katika waliojazwa ujinga na unataka kuundeleza huo ujinga?
FaizaFoxy , asante sana kwa mada hii. Naomba kukiri mimi ni miongoni mwa tulio ingizwa chaka na michoro hii, kumbe tulikuwa tunadangwa kwa michoro ya kuchorwa, jee vipi kuhusu zile picha za camera, kama hizi
View attachment 2212044
nazo ni za uongo?.
PUdhalimu wa Utumwa Zanzibar na Pemba: Mababu zetu waliteswa, walihasiwa, walibakwa, na kuuawa kinyama
Wanabodi, Katika karibu kila jambo, kuna mazuri na mabaya yake, kama ilivyo kwa ukoloni, japo wakoloni walitunyonya, pia kuna mazuri, walituachia, ikiwepo elimu ya kisasa, walileta maendeleo mbambali ya kisiasa, kiuchumi na kijamii vikiwemo viwanda, miundombinu, maendeleo ya kilimo, ila pia...www.jamiiforums.com
Nlchokuwa naulizia Yani Nini kinafanya kitu kiwe ukweli au uongo...kitu ili kiwe ukweli kinatakiwa kiwe Na vigezo Gani?
Wala hupaswi kuniuliza swali kama hili. Kama hujawahi kula nguruwe, sasa kula ndo ulinganishe na hizo tende.
Mzee mbona hujibu swali langu?Sikiliza hiyo video ujionee, uone picha zilivyobadilishwa, wamemtoa mzungu wakampachika mwarabu, and then wakamtoa mzungu wakamweka mwafrika.
Punguani wewe mwenye mzigo wa CHUKI moyoni mwako.
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app