Tafiti ndogo ya ligi ya magari 2020 Desemba kwenda kaskazini ni kama hii

Tafiti ndogo ya ligi ya magari 2020 Desemba kwenda kaskazini ni kama hii

Shida inakuja nilitaka sio kuleta ligi nae..hapana nilitaka kukaa japo nyuma yake tu tusindikizane nae...
Napo bado ulikua mziki mgumu
Tushukuru kulikua na magari mengi barabarani maana nilikaa kaa naye kama masaa mawili hivi
Si unajua woga wa tochi tena
Frm dar to moshi
Ila kuna muda akapata upenyo....ka straight kamoja hv hakukua na magari akapotelea mbele huko
Nahisi mpaka leo hukumuona alipopotelea mpaka leo nahisi alikuachia fedhea

Kwan we ulikuwa na gari ya aina gani mkuu
 
Bwana bwana[emoji23][emoji23][emoji23]

Wazungu wanavosemaga 0-60 mph in 3 sec au 2.8 secs nilijuaga promo tu hizi
Gari itoke 0- 100kmh in 3 secs kweli?? Haiwezekani...

Ila kwa ule mwendo wa huyo jamaa naanza kuona kama ile nadharia ina kuja hivi ....
Nnachokumbuka sana sana kuna muda aliovertake alphard na coaster mbili kwa mpigo na kuna gari ilikua inakuja.....
Abiria nliekua nae alisema
"Cheki huyu mpuuzi anachofanya watanzania bhana na vigari vyao vya ajabu ajabu wanafikiri wanaweeza kumbe hamna kitu"
Mimi nilikaa kimya nione 2jz ikijiintroduce kwa abiria in action sio kwa maneno ya vijiweni
Baada ya jamaa kuwaovetake na kurudi bila shida yoyote
Abiria alikaa kimya kama amemwagiwa maji[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo umeshaamini hiyo nadharia kama inakaukweli flan hiv ndani yake
 
Ila mkuu mbona matako ya nyani yanapaa sana wewe imekuaje ukapelekeshwa hivyo. Naijua vyema kitu inatembeaaa. Nadhani shida ni dereva na si gari. Bado una uoga either wa kutembea sana kwa speed ama unaogopa cheti
Tulikuwa tunatembea mwendo wa mbunge 80,100,120 mwisho kiafsa zaidi lkn tulizalilika na tako letu la nyani
 
Nahisi mpaka leo hukumuona alipopotelea mpaka leo nahisi alikuachia fedhea

Kwan we ulikuwa na gari ya aina gani mkuu
Shida ya kukeep up nae
Kwa magari yetu niliobserve ni speed ya gear za juu japo mm natumia auto sasa sijui yeye
Ila kuna muda tulipanda bump moja hv nipo nyuma yake
Mwanzoni nilikua kama nataka kumkarbia hv nahs awd ilichangia ila kwanzia 60kmh kupanda anakuacha vibaya sana yani ni kama umesimama
Nilienjoy mm mtazamaji wa nje
Sasa sijui mwenye gari anajiskiaje maana ni kama linavutwa
Unabaki helpless tu unaiona inakuacha
 
Shida ya kukeep up nae
Kwa magari yetu niliobserve ni speed ya gear za juu japo mm natumia auto sasa sijui yeye
Ila kuna muda tulipanda bump moja hv nipo nyuma yake
Mwanzoni nilikua kama nataka kumkarbia hv nahs awd ilichangia ila kwanzia 60kmh kupanda anakuacha vibaya sana yani ni kama umesimama
Nilienjoy mm mtazamaji wa nje
Sasa sijui mwenye gari anajiskiaje maana ni kama linavutwa
Unabaki helpless tu unaiona inakuacha
Inaleta hasira Sana sisi tulikuwa tunapitwa kama tumesimama vile nilifura kwa hasira baada ya kuona crown Athletes alivyotupita kama upepo
 
Back
Top Bottom