Nahisi mpaka leo hukumuona alipopotelea mpaka leo nahisi alikuachia fedheaShida inakuja nilitaka sio kuleta ligi nae..hapana nilitaka kukaa japo nyuma yake tu tusindikizane nae...
Napo bado ulikua mziki mgumu
Tushukuru kulikua na magari mengi barabarani maana nilikaa kaa naye kama masaa mawili hivi
Si unajua woga wa tochi tena
Frm dar to moshi
Ila kuna muda akapata upenyo....ka straight kamoja hv hakukua na magari akapotelea mbele huko
Kwa hiyo umeshaamini hiyo nadharia kama inakaukweli flan hiv ndani yakeBwana bwana[emoji23][emoji23][emoji23]
Wazungu wanavosemaga 0-60 mph in 3 sec au 2.8 secs nilijuaga promo tu hizi
Gari itoke 0- 100kmh in 3 secs kweli?? Haiwezekani...
Ila kwa ule mwendo wa huyo jamaa naanza kuona kama ile nadharia ina kuja hivi ....
Nnachokumbuka sana sana kuna muda aliovertake alphard na coaster mbili kwa mpigo na kuna gari ilikua inakuja.....
Abiria nliekua nae alisema
"Cheki huyu mpuuzi anachofanya watanzania bhana na vigari vyao vya ajabu ajabu wanafikiri wanaweeza kumbe hamna kitu"
Mimi nilikaa kimya nione 2jz ikijiintroduce kwa abiria in action sio kwa maneno ya vijiweni
Baada ya jamaa kuwaovetake na kurudi bila shida yoyote
Abiria alikaa kimya kama amemwagiwa maji[emoji23][emoji23][emoji23]
Nahisi mpaka leo hukumuona alipopotelea mpaka leo nahisi alikuachia fedhea
Kwan we ulikuwa na gari ya aina gani mkuu
Ulikuwa na gari gani mkuu Mbona ulikuwa muoga sana kwenye racingKimsingi mie nilinyanyasa Mafuso tu kwa kwenda mbele pamoja na ma scania ila hawa machalii wenzangu wenye Alfadi na Matako ya sokwe kimsingi tulichuana vikali vuta nikuvute
Tulikuwa tunatembea mwendo wa mbunge 80,100,120 mwisho kiafsa zaidi lkn tulizalilika na tako letu la nyaniIla mkuu mbona matako ya nyani yanapaa sana wewe imekuaje ukapelekeshwa hivyo. Naijua vyema kitu inatembeaaa. Nadhani shida ni dereva na si gari. Bado una uoga either wa kutembea sana kwa speed ama unaogopa cheti
Shida ya kukeep up naeNahisi mpaka leo hukumuona alipopotelea mpaka leo nahisi alikuachia fedhea
Kwan we ulikuwa na gari ya aina gani mkuu
Au ñdo ww ulipaki pale Kilimanjaro hotel nn na wadosiNilikuwa nimebeba familia ya watu wa heshima kwa kweli wala hatukuwa na haraka
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa nakubali mkuuKwa hiyo umeshaamini hiyo nadharia kama inakaukweli flan hiv ndani yake
Inaleta hasira Sana sisi tulikuwa tunapitwa kama tumesimama vile nilifura kwa hasira baada ya kuona crown Athletes alivyotupita kama upepoShida ya kukeep up nae
Kwa magari yetu niliobserve ni speed ya gear za juu japo mm natumia auto sasa sijui yeye
Ila kuna muda tulipanda bump moja hv nipo nyuma yake
Mwanzoni nilikua kama nataka kumkarbia hv nahs awd ilichangia ila kwanzia 60kmh kupanda anakuacha vibaya sana yani ni kama umesimama
Nilienjoy mm mtazamaji wa nje
Sasa sijui mwenye gari anajiskiaje maana ni kama linavutwa
Unabaki helpless tu unaiona inakuacha
Mkuu wewe ulikuwa na Subaru??Subaru forester xt
Na niliiweka sportmode
Hapana mkuu utoto niliacha aiseeVip ulikuwa unawanyanyasa huko barabarani au
Ndio subaru forester xtMkuu wewe ulikuwa na Subaru??
OK ila subie ana wanyonge wakeNdio subaru forester xt
Ah mkuuOK ila subie ana wanyonge wake
Zilijitahidi lkn ilibidi kuwa tunachimba dawa mara kwa mara ili kuruhusu ipoe la sivyo inge pasua Engine!Passo za piston tatu zilikuwaje mkuu..??