Namiliki subaru mwaka wa sita sasa,ni gari nzuri sana kwa mwendo na stability barabarani. Pia inachanganya haraka. Hao wanao idharau hawaijuiii. Nilinunua X5 miaka miwili iliyopita,yes it is very comfortable and stable lakini Subaru inabaki kuwa gari yangu pendwaNa mimi ni dereva sio learner hio Fortuner haina mwendo wa kuisumbua Subaru labda ile imprezza non turbo ya cc1500. Hizo Fortuner,Prado za diesel huwa nazitandika nitakavyo na gari ya cc2000 tu, Kwanza haziko stable(unaweza usinielewe)
Discovery 2.7l tdv6 haina mbio ila ina mapumziko mazuri ukiwa safarini na ni economy,ile disco yenye 4.4l v8 ndio ina mwendo sana.Naona mkuu Mshana Jr alikuwa anatesa na Discovery alikuwa anatesa tuu
Lakini rafiki yangu yeye alikuwa anaogopa racing sijui pindi anapokutana na semi limeivaa alikuwa anapaki pembeni au maana kuna bus BM Coach ilituovertake ni balaa lile bus linakimbia jamani huo upepo wake Sasa sijui Extrovert alikuwa anasemaje katika hili
Ulichukua diesel au petrol mkuu?Namiliki subaru mwaka wa sita sasa,ni gari nzuri sana kwa mwendo na stability barabarani. Pia inachanganya haraka. Hao wanao idharau hawaijuiii. Nilinunua X5 miaka miwili iliyopita,yes it is very comfortable and stable lakini Subaru inabaki kuwa gari yangu pendwa
Zote ni petrol mkuuUlichukua diesel au petrol mkuu?
Sawa mkuu,nilikua naulizia hio x5.Zote ni petrol mkuu
X5 yangu ni petrolSawa mkuu,nilikua naulizia hio x5.
Ligi ni mzuri sana haswa kama mnaelekea sehem moja nimekuja nimekuja na utafiti mdogo hapa kuhus nani alikuwa mbabe road trip kwa mwaka Jana.
Land cruiser kama kawaida yake hana mpinzani huyu mnyama anakimbia jamani hajali tuta wala nini yeye ni mwendo alitutesa sana sisi wakina Harrier sio poa mpinzan wake alikuwa ni Land cruiser mkonge, Prado txl new model, Ranger wild track, Nisan navarra, ndo walikuwa wanawekeana misuli
Kuna huyu volkswagen asee hiki chumba kina ondoka wajameni hii ñdiga ni mashine hatari yeye na BMW X 3,4,5 Hawa walikuwa tishio Sana germany mashine sio poa kwa long trip wanapuli sana very comfortable wakiwa barabaran kuovertake ndo usiombe
Kuna huyu mnyama crown ni ana balaa alitupita pale korogwe hatukumuona tena anapepea jamani hii chuma sio mchezo kimetulia barabaran san alikuwa huyu na mwenzie brevis walitupita hatukuwaona tena
Brevis, Grand Mark II hizi Gari zinakimbia gx100 ni anabalaa brevis alitupita kama tumepark vile wakat sisi tulikuwa tunatembelea 120 wakati huo kipande cha hapo Tanga alituovertake na kumuona akitoweka nikamvulia kofia kwa speed hi kwere nae alikuwa anatesa road.
Mark x nae hakuwa mzembe kuna Alphard walikuwa wanatesa. Hii ndio list ya Gari zilikuwa tishio kwa ligi njiañ kwa mwaka Jana December kwa Trip ya kwenda ukanda wa kaskazini kwa utafiti mdogo wang na kwa mtazamo wangu mm najipanga nivute mnyama athletes crown Simba hiki chuma sema tu kwenye bums ndo wanapoteswa hapo na rough roads tuu ndo hafui dafu
Namiliki subaru mwaka wa sita sasa,ni gari nzuri sana kwa mwendo na stability barabarani. Pia inachanganya haraka. Hao wanao idharau hawaijuiii. Nilinunua X5 miaka miwili iliyopita,yes it is very comfortable and stable lakini Subaru inabaki kuwa gari yangu pendwa
Hii itakua Samsung S5 BMWÑdo najiuliza hiyo S5 ni BMW ya namna gani
Subaru Forester XTMkuu hiyo ni subaru aina gani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Woga wenu msiidhalilishe Subaru. Labda ile imprezza non turbo ya cc1500. Lakini Subaru proper haiwezi kusumbuliwa na pick up iliozibwa nyuma. Yes Fortuner ni Hilux iliozibwa nyuma.
Naona wanaweka sijui viwanda pale. Upepo mkali sanaKwa ule upepo wa pale sijui kwanini hua hawaweki zile machine za kuzalishia umeme za kutumia upepo hahah.
Kama ni hivyo safi sana.Naona wanaweka sijui viwanda pale. Upepo mkali sana
Kuna kipande hapo hedaru jamaa anapiga 230 hadi 240 zaidi ya dk kumi na honda crv ya 260Baada yakujifunza kwa muda kidogo, nimegundua the only thing that matters is who is behind the wheel
Ukiacha magari yenye 260/240, haya mengine yenye 180 yatatofautiana kuchanganya tuu.. kama dereva mzuri hata ist inaingia kwenye ligi na magari mengi tu ya 180.
Ila kuhusu Passo sifahamu jamani..
Hawa wa 260/240 nao hakuna barabara Tanzania wanazoweza kuexercise full potential ya gari kwa angalau dk 5 mfululizo. Huweziendesha kwa 240 kwa dk 5-10 bila kukuta tuta, kivuko cha wanyama, humps, askari wa barabarani, hifadhi wala kona yakukutaka upunguze mpaka hata 80.
Wanaishia kuendesha 160, wananusa extreme (240/260) kwa sekunde 9-43 wanarudi 100-80, ambapo kwa wastani wa safari nzima ni speed 140-160 ambayo ist inatembea vizuri tuu..
The only thing that matters is who is behind the wheel
Kuna hizi imprezza non turbo cc1500 zimeingia nyingi sana ndio wengi wanajipima na hizo.Namiliki subaru mwaka wa sita sasa,ni gari nzuri sana kwa mwendo na stability barabarani. Pia inachanganya haraka. Hao wanao idharau hawaijuiii. Nilinunua X5 miaka miwili iliyopita,yes it is very comfortable and stable lakini Subaru inabaki kuwa gari yangu pendwa
Duh!Huu mnyama ni hatàr balaa lake linajulikana ile yako vp bado unayo@prondo
Wajerumani wanajua tengeneza engine zenye nguvu sana.Ukitaka nguvu, usalama, comfortability... gari ya mjapan ni JIBU, chuma ya mjerumani ndiyo JAWABU!
Fortuner ipo juu sana kutokuwa stable ni kawaida.Na mimi ni dereva sio learner hio Fortuner haina mwendo wa kuisumbua Subaru labda ile imprezza non turbo ya cc1500. Hizo Fortuner,Prado za diesel huwa nazitandika nitakavyo na gari ya cc2000 tu, Kwanza haziko stable(unaweza usinielewe)
Hio ni disadvantage when it comes to racing a car like Subaru.Fortuner ipo juu sana kutokuwa stable ni kawaida.
Duuuuh sawaWoga wenu msiidhalilishe Subaru. Labda ile imprezza non turbo ya cc1500. Lakini Subaru proper haiwezi kusumbuliwa na pick up iliozibwa nyuma. Yes Fortuner ni Hilux iliozibwa nyuma.