Tafiti zinaonyesha 80% ya Wahalifu ikiwemo Wajambazi, wabakaji, wauaji, mashoga wamelelewa na Single Mothers yaani Fatherless

Umeandika kila kitu! Naunga mkono hoja tena nikiwa na mifano hai niliyoona kwa macho yangu.

Kwa ufupi sana niseme;
Baba ndiye KICHWA cha familia. Familia bila baba ni sawa na kuku aliyekatwa kichwa halafu akaachwa akimbie huku na huko.

Wanaume na Wanawake tambueni kuwa Baba ana umuhimu mkubwa sana kwenye malezi ya watoto na mustakabali wa familia nzima.

Wanaume tuwe serious na familia zetu. Wanawake watiini Waume zenu na mtambue umuhimu wao mkubwa katika familia.

Pesa haiwezi kulea watoto. Pesa bila uwepo wa Baba ni majanga. Mwenye masikio na asikie!
 
Hao ni asilimia ngapi kwenye idadi ya watized?
Ndio maana ya 80%
Inamaanisha wapo 20% ambao Wamelèlewa na Single Mothers na wana maadili
Hao ndio wanaleta Ujambazi kwa kutunga sheria ngumu kwa Watanzania watu hawajui hata kusoma wanawezaje kutunga sheria za kodi na Nchi ikaendelea zaidi ya kupiga makofi tu vifaa vya Ujenzi kodi juu kama makazi nayo ni Anasa..
 
Malezi ya baba ni muhimu sana,mtoto atajisikia vibaya kutolelewa na mama lakini atajisikia vibaya zaidi kumkosa Baba ktk kukua kwake.Niko kwenye ndoa na mwanamke ambaye hakupata malezi ya baba na malezi ya mama nayo hakuyapata kikamilifu kwa sababu mama yake alienda kuolewa akamuacha kwa bibi.Mweee mweee mweee..! mwanamke haambiliki,akifanya kitu sio sahihi ukamwambia anaamsha ni kama vile unamuonea anaona yuko sahihi na kutobehave kama mwanamke ALIYEOLEWA.Nikafikiria nimuachie kila kitu niondoke nibaki kulea hapana haitakua sahihi coz tuna mtoto wa kike ko ntakua nimetengeneza mazingira ya binti yangu kuja kua singo maza kama mama yake.Tofauti na kumzibua makofi mara moja tu kibri kilipozidi ilibidi nmuweke sawa kwa kuongea nae kwa upole na kumwambia ukweli na akajua udhaifu aliokua nao ulikua sababu ya malezi aliyopitia,walau naweza kusema asilimia 75 ndoa inaweza kusurvive.
 
Acha kuandika utumbo,sasa nikuambie kitu hao watu ambao wamelelewa na single mothers Mungu kawabariki sana na ndio watu wenye bahati sana
 
Hii nimeikubali kwa maana msingi wa familia ni wazazi wote wawili, jambo hili linampa wakati mgumu Sana hata mh Rais. Anawaasa vijana wote wa kike na kiume kuoa ama kuolewa na kuiheshimu taasisi hii mhimu ya ndoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…