Tafiti zinaonyesha 80% ya Wahalifu ikiwemo Wajambazi, wabakaji, wauaji, mashoga wamelelewa na Single Mothers yaani Fatherless

Tafiti zinaonyesha 80% ya Wahalifu ikiwemo Wajambazi, wabakaji, wauaji, mashoga wamelelewa na Single Mothers yaani Fatherless

TAFITI ZINAONYESHA 80% YA WAHALIFU DUNIANI IKIWEMO MAJAMBAZI, WABAKAJI, WAUAJI, MASHOGA WAMELELEWA NA SINGLE MOTHERS YAANI FATHERLESS

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Andiko hili halipo kwaajili ya kuwakandia single mothers bali lipo kwaajili ya kuonyesha matatizo ya u-single mother ambayo yanatokea kwenye jamii yetu ili tujue nini chakufanya.
Yeyote atakayechukulia kwa mtazamo hasi ihesabike kama kushindwa kwake kuelewa.

Tafiti mbalimbali duniani pamoja na uchunguzi wangu vinaonyesha kuwa Asilimia zaidi ya 80% ya Wahalifu Wanatokea katika familia ambayo hakuna Baba(FATHERLESS) na wengi Wamelelewa na Mama pekee (Single mothers).

In 1996, 70% of inmates in state juvenile detention centers serving long sentences were raised by single mothers.7

The absence of the father increases the daughters’ vulnerability to exploitation by those outside the family. Girls from homes without fathers are 6 times more likely to become pregnant as teenagers.9

Tafiti zingine zimetoa majibu haya
  • 63% ya vijana wanaojiua Wamelelewa na Mama pekee
  • 90% ya Chokoraa(homeless) na wazururaji wametoka kwenye familia zisizokuwa na Baba
  • 85% ya watoto wote wenye behavior disorders wametoka kutoka fatherless homes.
  • 80% ya Wabakaji wametoka kwenye familia zisizokuwa na Baba na Wamelelewa na single mothers
  • 71% ya walioacha shule au kuishia njiani Wamelelewa na single mothers
  • 75% ya walioko sobber wenye wanaotumia Madawa ya kulevya Wamelelewa na single mothers .
  • 85% ya vijana walioko jela au mahabusu wametoka familia zisizokuwa na Baba.
  • 75% ya mabinti
Tafiti zinaonyesha pia Mabinti wengi waliolelewa na Single mothers wanapata mimba kabla ya kuolewa na hiyo kuongeza zaidi single mothers.

Tafiti zinaonyesha kuwa makahaba wanaojiuza kwenye madanguro na wengine kujiuza barabarani Wanatokea familia zisizokuwa na Baba.

Tafiti hizi na zingine nyingi zinatupa picha kuwa malezi ya watoto na jamii hayawezi kuwa na tija kama familia hazitakuwa na Baba na Mama.

Imethibitika pasi na shaka kuwa Mwanamke licha ya umuhimu wake kwenye dunia lakini kwa sehemu kubwa Pekeake hawezi kuwafanya watoto wawe na maadili.

Hata hivyo sababu kubwa iliyotajwa ni suala la umaskini kwa wanawake waliowengi ambao baada ya talaka au mume kufariki au kutiwa mimba pasipo kuolewa inapelekea wao kushindwa mahitaji ya kifamilia kwa watoto.

Aisha, Sababu nyingine tajwa ni kuwa Mwanamke hata awe na uwezo wa kiuchumi wengi wao Bado asili ya huruma na upendo uliopitiliza kwa watoto hupelekea kushindwa kuwalea vizuri na hiyo kusababisha watoto kutokuwa na maadili.

Nafahamu wapo watu waliolelewa na Mama pekee na wenye maadili lakini watu hao kwenye hii dunia ni wachache sana. Uwepo wa wachache hao haiondoi ukweli kuwa watoto kulelewa na Mama pekee humweka katika hatari ya kuingia katika uhalifu na uovu.

Wito, ni vizuri kama mtu anampango wa kuleta kiumbe duniani ahakikishe anafuata njia sahihi ya kuwa na familia ya Mune na Mke. Tena Mume na Mke sahihi.

Acha nipumzike Sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Mke sahihi, mume sahihi
Kumbe kuna wengine siyo sahihi?
 
TAFITI ZINAONYESHA 80% YA WAHALIFU DUNIANI IKIWEMO MAJAMBAZI, WABAKAJI, WAUAJI, MASHOGA WAMELELEWA NA SINGLE MOTHERS YAANI FATHERLESS

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Andiko hili halipo kwaajili ya kuwakandia single mothers bali lipo kwaajili ya kuonyesha matatizo ya u-single mother ambayo yanatokea kwenye jamii yetu ili tujue nini chakufanya.
Yeyote atakayechukulia kwa mtazamo hasi ihesabike kama kushindwa kwake kuelewa.

Tafiti mbalimbali duniani pamoja na uchunguzi wangu vinaonyesha kuwa Asilimia zaidi ya 80% ya Wahalifu Wanatokea katika familia ambayo hakuna Baba(FATHERLESS) na wengi Wamelelewa na Mama pekee (Single mothers).

In 1996, 70% of inmates in state juvenile detention centers serving long sentences were raised by single mothers.7

The absence of the father increases the daughters’ vulnerability to exploitation by those outside the family. Girls from homes without fathers are 6 times more likely to become pregnant as teenagers.9

Tafiti zingine zimetoa majibu haya
  • 63% ya vijana wanaojiua Wamelelewa na Mama pekee
  • 90% ya Chokoraa(homeless) na wazururaji wametoka kwenye familia zisizokuwa na Baba
  • 85% ya watoto wote wenye behavior disorders wametoka kutoka fatherless homes.
  • 80% ya Wabakaji wametoka kwenye familia zisizokuwa na Baba na Wamelelewa na single mothers
  • 71% ya walioacha shule au kuishia njiani Wamelelewa na single mothers
  • 75% ya walioko sobber wenye wanaotumia Madawa ya kulevya Wamelelewa na single mothers .
  • 85% ya vijana walioko jela au mahabusu wametoka familia zisizokuwa na Baba.
  • 75% ya mabinti
Tafiti zinaonyesha pia Mabinti wengi waliolelewa na Single mothers wanapata mimba kabla ya kuolewa na hiyo kuongeza zaidi single mothers.

Tafiti zinaonyesha kuwa makahaba wanaojiuza kwenye madanguro na wengine kujiuza barabarani Wanatokea familia zisizokuwa na Baba.

Tafiti hizi na zingine nyingi zinatupa picha kuwa malezi ya watoto na jamii hayawezi kuwa na tija kama familia hazitakuwa na Baba na Mama.

Imethibitika pasi na shaka kuwa Mwanamke licha ya umuhimu wake kwenye dunia lakini kwa sehemu kubwa Pekeake hawezi kuwafanya watoto wawe na maadili.

Hata hivyo sababu kubwa iliyotajwa ni suala la umaskini kwa wanawake waliowengi ambao baada ya talaka au mume kufariki au kutiwa mimba pasipo kuolewa inapelekea wao kushindwa mahitaji ya kifamilia kwa watoto.

Aisha, Sababu nyingine tajwa ni kuwa Mwanamke hata awe na uwezo wa kiuchumi wengi wao Bado asili ya huruma na upendo uliopitiliza kwa watoto hupelekea kushindwa kuwalea vizuri na hiyo kusababisha watoto kutokuwa na maadili.

Nafahamu wapo watu waliolelewa na Mama pekee na wenye maadili lakini watu hao kwenye hii dunia ni wachache sana. Uwepo wa wachache hao haiondoi ukweli kuwa watoto kulelewa na Mama pekee humweka katika hatari ya kuingia katika uhalifu na uovu.

Wito, ni vizuri kama mtu anampango wa kuleta kiumbe duniani ahakikishe anafuata njia sahihi ya kuwa na familia ya Mune na Mke. Tena Mume na Mke sahihi.

Acha nipumzike Sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Acheni kuwaandama hao watu jamani
Eti watoto fatherless
Hivi kuna mtu duniani humu kazaliwa bila baba
 
Acha kuandika utumbo,sasa nikuambie kitu hao watu ambao wamelelewa na single mothers Mungu kawabariki sana na ndio watu wenye bahati sana
Kinachoongelewa ni maovu, wewe unaongelea Bahati.
Anyway! hata shughuli za uchangu, kutumia au kusafirisha madawa ya kulevya, wizi, ujambazi, n.k. kuwa katika Kazi hizo na yenyewe ni Bahati.
 
TAFITI ZINAONYESHA 80% YA WAHALIFU DUNIANI IKIWEMO MAJAMBAZI, WABAKAJI, WAUAJI, MASHOGA WAMELELEWA NA SINGLE MOTHERS YAANI FATHERLESS

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Andiko hili halipo kwaajili ya kuwakandia single mothers bali lipo kwaajili ya kuonyesha matatizo ya u-single mother ambayo yanatokea kwenye jamii yetu ili tujue nini chakufanya.
Yeyote atakayechukulia kwa mtazamo hasi ihesabike kama kushindwa kwake kuelewa.

Tafiti mbalimbali duniani pamoja na uchunguzi wangu vinaonyesha kuwa Asilimia zaidi ya 80% ya Wahalifu Wanatokea katika familia ambayo hakuna Baba(FATHERLESS) na wengi Wamelelewa na Mama pekee (Single mothers).

In 1996, 70% of inmates in state juvenile detention centers serving long sentences were raised by single mothers.7

The absence of the father increases the daughters’ vulnerability to exploitation by those outside the family. Girls from homes without fathers are 6 times more likely to become pregnant as teenagers.9

Tafiti zingine zimetoa majibu haya
  • 63% ya vijana wanaojiua Wamelelewa na Mama pekee
  • 90% ya Chokoraa(homeless) na wazururaji wametoka kwenye familia zisizokuwa na Baba
  • 85% ya watoto wote wenye behavior disorders wametoka kutoka fatherless homes.
  • 80% ya Wabakaji wametoka kwenye familia zisizokuwa na Baba na Wamelelewa na single mothers
  • 71% ya walioacha shule au kuishia njiani Wamelelewa na single mothers
  • 75% ya walioko sobber wenye wanaotumia Madawa ya kulevya Wamelelewa na single mothers .
  • 85% ya vijana walioko jela au mahabusu wametoka familia zisizokuwa na Baba.
  • 75% ya mabinti
Tafiti zinaonyesha pia Mabinti wengi waliolelewa na Single mothers wanapata mimba kabla ya kuolewa na hiyo kuongeza zaidi single mothers.

Tafiti zinaonyesha kuwa makahaba wanaojiuza kwenye madanguro na wengine kujiuza barabarani Wanatokea familia zisizokuwa na Baba.

Tafiti hizi na zingine nyingi zinatupa picha kuwa malezi ya watoto na jamii hayawezi kuwa na tija kama familia hazitakuwa na Baba na Mama.

Imethibitika pasi na shaka kuwa Mwanamke licha ya umuhimu wake kwenye dunia lakini kwa sehemu kubwa Pekeake hawezi kuwafanya watoto wawe na maadili.

Hata hivyo sababu kubwa iliyotajwa ni suala la umaskini kwa wanawake waliowengi ambao baada ya talaka au mume kufariki au kutiwa mimba pasipo kuolewa inapelekea wao kushindwa mahitaji ya kifamilia kwa watoto.

Aisha, Sababu nyingine tajwa ni kuwa Mwanamke hata awe na uwezo wa kiuchumi wengi wao Bado asili ya huruma na upendo uliopitiliza kwa watoto hupelekea kushindwa kuwalea vizuri na hiyo kusababisha watoto kutokuwa na maadili.

Nafahamu wapo watu waliolelewa na Mama pekee na wenye maadili lakini watu hao kwenye hii dunia ni wachache sana. Uwepo wa wachache hao haiondoi ukweli kuwa watoto kulelewa na Mama pekee humweka katika hatari ya kuingia katika uhalifu na uovu.

Wito, ni vizuri kama mtu anampango wa kuleta kiumbe duniani ahakikishe anafuata njia sahihi ya kuwa na familia ya Mune na Mke. Tena Mume na Mke sahihi.

Acha nipumzike Sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Uko sahihi. Ila rekebisha andiko (e.g. typing error) lako ili liwe zuri zaidi.

Kwa kuwa umesema tafiti nyingi duniani zinasema hivyo, weka hata linki mbili tatu kuthibitisha ulichokisoma huko duniani.

Otherwise! Uko mulemule hata mimi nilishawahi Fanya utafiti mdogo sana, (utafiti wa kienyeji). Ndiyo nilichokibaini.
 
TAFITI ZINAONYESHA 80% YA WAHALIFU DUNIANI IKIWEMO MAJAMBAZI, WABAKAJI, WAUAJI, MASHOGA WAMELELEWA NA SINGLE MOTHERS YAANI FATHERLESS

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Andiko hili halipo kwaajili ya kuwakandia single mothers bali lipo kwaajili ya kuonyesha matatizo ya u-single mother ambayo yanatokea kwenye jamii yetu ili tujue nini chakufanya.
Yeyote atakayechukulia kwa mtazamo hasi ihesabike kama kushindwa kwake kuelewa.

Tafiti mbalimbali duniani pamoja na uchunguzi wangu vinaonyesha kuwa Asilimia zaidi ya 80% ya Wahalifu Wanatokea katika familia ambayo hakuna Baba(FATHERLESS) na wengi Wamelelewa na Mama pekee (Single mothers).

In 1996, 70% of inmates in state juvenile detention centers serving long sentences were raised by single mothers.7

The absence of the father increases the daughters’ vulnerability to exploitation by those outside the family. Girls from homes without fathers are 6 times more likely to become pregnant as teenagers.9

Tafiti zingine zimetoa majibu haya
  • 63% ya vijana wanaojiua Wamelelewa na Mama pekee
  • 90% ya Chokoraa(homeless) na wazururaji wametoka kwenye familia zisizokuwa na Baba
  • 85% ya watoto wote wenye behavior disorders wametoka kutoka fatherless homes.
  • 80% ya Wabakaji wametoka kwenye familia zisizokuwa na Baba na Wamelelewa na single mothers
  • 71% ya walioacha shule au kuishia njiani Wamelelewa na single mothers
  • 75% ya walioko sobber wenye wanaotumia Madawa ya kulevya Wamelelewa na single mothers .
  • 85% ya vijana walioko jela au mahabusu wametoka familia zisizokuwa na Baba.
  • 75% ya mabinti
Tafiti zinaonyesha pia Mabinti wengi waliolelewa na Single mothers wanapata mimba kabla ya kuolewa na hiyo kuongeza zaidi single mothers.

Tafiti zinaonyesha kuwa makahaba wanaojiuza kwenye madanguro na wengine kujiuza barabarani Wanatokea familia zisizokuwa na Baba.

Tafiti hizi na zingine nyingi zinatupa picha kuwa malezi ya watoto na jamii hayawezi kuwa na tija kama familia hazitakuwa na Baba na Mama.

Imethibitika pasi na shaka kuwa Mwanamke licha ya umuhimu wake kwenye dunia lakini kwa sehemu kubwa Pekeake hawezi kuwafanya watoto wawe na maadili.

Hata hivyo sababu kubwa iliyotajwa ni suala la umaskini kwa wanawake waliowengi ambao baada ya talaka au mume kufariki au kutiwa mimba pasipo kuolewa inapelekea wao kushindwa mahitaji ya kifamilia kwa watoto.

Aisha, Sababu nyingine tajwa ni kuwa Mwanamke hata awe na uwezo wa kiuchumi wengi wao Bado asili ya huruma na upendo uliopitiliza kwa watoto hupelekea kushindwa kuwalea vizuri na hiyo kusababisha watoto kutokuwa na maadili.

Nafahamu wapo watu waliolelewa na Mama pekee na wenye maadili lakini watu hao kwenye hii dunia ni wachache sana. Uwepo wa wachache hao haiondoi ukweli kuwa watoto kulelewa na Mama pekee humweka katika hatari ya kuingia katika uhalifu na uovu.

Wito, ni vizuri kama mtu anampango wa kuleta kiumbe duniani ahakikishe anafuata njia sahihi ya kuwa na familia ya Mune na Mke. Tena Mume na Mke sahihi.

Acha nipumzike Sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Uko sahihi. Ila rekebisha andiko (e.g. typing error) lako ili liwe zuri zaidi.

Kwa kuwa umesema tafiti nyingi duniani zinasema hivyo, weka hata linki mbili tatu kuthibitisha ulichokisoma huko duniani.

Otherwise! Uko mulemule hata mimi nilishawahi Fanya utafiti mdogo sana, (utafiti wa kienyeji). Ndiyo nilichokibaini.
 
Hawana malezi ya baba ambae ndio mchora ramani na muweka discipline lazima wataishia kuwa majambazi,matapeli nk Kwa sababu wanawake hawajui kufundisha Watoto kujitegemea sana sana kuwadekeza Sasa Dunia Haina mdekwso Kwa mwanaume.

Kwa Watoto wa kike wanaishia kuwa Malaya na anafanya umalaya huku anaishi na mama yake hapo ndio ujue umuhimu wa baba.

Mwisho mwanaume ndio anatengeneza boma,Mali na anamuandaa mtoto kuwa Mke/mume Kwa kuangalia jinsi baba ana mtreat mama Yao na response Sasa kinyume na hapo mwanamke hawezi yote hayo.
Mim nawalea wanangu peke yangu kwa mifumo yangu nasita oa kamwe .
 
TAFITI ZINAONYESHA 80% YA WAHALIFU DUNIANI IKIWEMO MAJAMBAZI, WABAKAJI, WAUAJI, MASHOGA WAMELELEWA NA SINGLE MOTHERS YAANI FATHERLESS

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Andiko hili halipo kwaajili ya kuwakandia single mothers bali lipo kwaajili ya kuonyesha matatizo ya u-single mother ambayo yanatokea kwenye jamii yetu ili tujue nini chakufanya.
Yeyote atakayechukulia kwa mtazamo hasi ihesabike kama kushindwa kwake kuelewa.

Tafiti mbalimbali duniani pamoja na uchunguzi wangu vinaonyesha kuwa Asilimia zaidi ya 80% ya Wahalifu Wanatokea katika familia ambayo hakuna Baba(FATHERLESS) na wengi Wamelelewa na Mama pekee (Single mothers).

In 1996, 70% of inmates in state juvenile detention centers serving long sentences were raised by single mothers.7

The absence of the father increases the daughters’ vulnerability to exploitation by those outside the family. Girls from homes without fathers are 6 times more likely to become pregnant as teenagers.9

Tafiti zingine zimetoa majibu haya
  • 63% ya vijana wanaojiua Wamelelewa na Mama pekee
  • 90% ya Chokoraa(homeless) na wazururaji wametoka kwenye familia zisizokuwa na Baba
  • 85% ya watoto wote wenye behavior disorders wametoka kutoka fatherless homes.
  • 80% ya Wabakaji wametoka kwenye familia zisizokuwa na Baba na Wamelelewa na single mothers
  • 71% ya walioacha shule au kuishia njiani Wamelelewa na single mothers
  • 75% ya walioko sobber wenye wanaotumia Madawa ya kulevya Wamelelewa na single mothers .
  • 85% ya vijana walioko jela au mahabusu wametoka familia zisizokuwa na Baba.
  • 75% ya mabinti
Tafiti zinaonyesha pia Mabinti wengi waliolelewa na Single mothers wanapata mimba kabla ya kuolewa na hiyo kuongeza zaidi single mothers.

Tafiti zinaonyesha kuwa makahaba wanaojiuza kwenye madanguro na wengine kujiuza barabarani Wanatokea familia zisizokuwa na Baba.

Tafiti hizi na zingine nyingi zinatupa picha kuwa malezi ya watoto na jamii hayawezi kuwa na tija kama familia hazitakuwa na Baba na Mama.

Imethibitika pasi na shaka kuwa Mwanamke licha ya umuhimu wake kwenye dunia lakini kwa sehemu kubwa Pekeake hawezi kuwafanya watoto wawe na maadili.

Hata hivyo sababu kubwa iliyotajwa ni suala la umaskini kwa wanawake waliowengi ambao baada ya talaka au mume kufariki au kutiwa mimba pasipo kuolewa inapelekea wao kushindwa mahitaji ya kifamilia kwa watoto.

Aisha, Sababu nyingine tajwa ni kuwa Mwanamke hata awe na uwezo wa kiuchumi wengi wao Bado asili ya huruma na upendo uliopitiliza kwa watoto hupelekea kushindwa kuwalea vizuri na hiyo kusababisha watoto kutokuwa na maadili.

Nafahamu wapo watu waliolelewa na Mama pekee na wenye maadili lakini watu hao kwenye hii dunia ni wachache sana. Uwepo wa wachache hao haiondoi ukweli kuwa watoto kulelewa na Mama pekee humweka katika hatari ya kuingia katika uhalifu na uovu.

Wito, ni vizuri kama mtu anampango wa kuleta kiumbe duniani ahakikishe anafuata njia sahihi ya kuwa na familia ya Mune na Mke. Tena Mume na Mke sahihi.

Acha nipumzike Sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam

TAFITI ZINAONYESHA 80% YA WAHALIFU DUNIANI IKIWEMO MAJAMBAZI, WABAKAJI, WAUAJI, MASHOGA WAMELELEWA NA SINGLE MOTHERS YAANI FATHERLESS

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Andiko hili halipo kwaajili ya kuwakandia single mothers bali lipo kwaajili ya kuonyesha matatizo ya u-single mother ambayo yanatokea kwenye jamii yetu ili tujue nini chakufanya.
Yeyote atakayechukulia kwa mtazamo hasi ihesabike kama kushindwa kwake kuelewa.

Tafiti mbalimbali duniani pamoja na uchunguzi wangu vinaonyesha kuwa Asilimia zaidi ya 80% ya Wahalifu Wanatokea katika familia ambayo hakuna Baba(FATHERLESS) na wengi Wamelelewa na Mama pekee (Single mothers).

In 1996, 70% of inmates in state juvenile detention centers serving long sentences were raised by single mothers.7

The absence of the father increases the daughters’ vulnerability to exploitation by those outside the family. Girls from homes without fathers are 6 times more likely to become pregnant as teenagers.9

Tafiti zingine zimetoa majibu haya
  • 63% ya vijana wanaojiua Wamelelewa na Mama pekee
  • 90% ya Chokoraa(homeless) na wazururaji wametoka kwenye familia zisizokuwa na Baba
  • 85% ya watoto wote wenye behavior disorders wametoka kutoka fatherless homes.
  • 80% ya Wabakaji wametoka kwenye familia zisizokuwa na Baba na Wamelelewa na single mothers
  • 71% ya walioacha shule au kuishia njiani Wamelelewa na single mothers
  • 75% ya walioko sobber wenye wanaotumia Madawa ya kulevya Wamelelewa na single mothers .
  • 85% ya vijana walioko jela au mahabusu wametoka familia zisizokuwa na Baba.
  • 75% ya mabinti
Tafiti zinaonyesha pia Mabinti wengi waliolelewa na Single mothers wanapata mimba kabla ya kuolewa na hiyo kuongeza zaidi single mothers.

Tafiti zinaonyesha kuwa makahaba wanaojiuza kwenye madanguro na wengine kujiuza barabarani Wanatokea familia zisizokuwa na Baba.

Tafiti hizi na zingine nyingi zinatupa picha kuwa malezi ya watoto na jamii hayawezi kuwa na tija kama familia hazitakuwa na Baba na Mama.

Imethibitika pasi na shaka kuwa Mwanamke licha ya umuhimu wake kwenye dunia lakini kwa sehemu kubwa Pekeake hawezi kuwafanya watoto wawe na maadili.

Hata hivyo sababu kubwa iliyotajwa ni suala la umaskini kwa wanawake waliowengi ambao baada ya talaka au mume kufariki au kutiwa mimba pasipo kuolewa inapelekea wao kushindwa mahitaji ya kifamilia kwa watoto.

Aisha, Sababu nyingine tajwa ni kuwa Mwanamke hata awe na uwezo wa kiuchumi wengi wao Bado asili ya huruma na upendo uliopitiliza kwa watoto hupelekea kushindwa kuwalea vizuri na hiyo kusababisha watoto kutokuwa na maadili.

Nafahamu wapo watu waliolelewa na Mama pekee na wenye maadili lakini watu hao kwenye hii dunia ni wachache sana. Uwepo wa wachache hao haiondoi ukweli kuwa watoto kulelewa na Mama pekee humweka katika hatari ya kuingia katika uhalifu na uovu.

Wito, ni vizuri kama mtu anampango wa kuleta kiumbe duniani ahakikishe anafuata njia sahihi ya kuwa na familia ya Mune na Mke. Tena Mume na Mke sahihi.

Acha nipumzike Sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Unicaf University ukileta data za utafiti ambao ni zaidi ya miaka 5 iliyopita, huo utafiti unapigwa chini. Kama nimeelewa vizuri, data za huo utafiti ni mwaka 1996 - yaani miaka 28 iliyopita. Kwa msingi huu, data hizo ni disputable kwa maana kwamba miaka 28 ni mingi mno ku'rely' kwa hizo data. Labda kama ungeweza ku'support' huo utafiti kwa kuonyesha pia data za hivi karibuni. Kwa mfano, miaka ya 1990 hapakuwa na mitandao ya kijamii au tuseme hapakuwa na mambo ya kidijitali, ambayo pia yameleta mchango mkubwa kwenye mabadiliko ya tabia/mazoea ya watu for good or for bad. Ngoja na mimi nipumzike kwanza.
 
Hakuna cha athari , sioni faida ya malezi ya mama wa karne hii kwa watoto zaidi ya watoto kuwa mayai mayai.
Faida ya malezi ya mama ni kupata pisi Kali Kwa Mtoto Wa kike. Mkuu hutaki tupate pisi Kali kutoka kwenye familia yako?
 
Single mother wanasababisha mmomonyoko wa maadili?kafanye utafiti tena!!!
 
Mi naamini kabisa jukumu la maadali lipo chini ya mwanaume.
Haya mambo ya haki sawa ndo yanavuruga mila na asili ya mwafrika.
Kiafrika mambo ya haki sawa hayapaswi kuwepo, jamii imekosa mwelekeo.
Enzi hizo mtoto anaonywa au kulelewa na kila mtu, sasa hivi yupo wa kumchapa.
Taikuni upo sahihi kabisa mjinga ndo atakupinga, ona nchi inavyojiendea!
Sisi sio wa kuongozwa na mwanamke.
IMG_1239.jpeg
 
Unicaf University ukileta data za utafiti ambao ni zaidi ya miaka 5 iliyopita, huo utafiti unapigwa chini. Kama nimeelewa vizuri, data za huo utafiti ni mwaka 1996 - yaani miaka 28 iliyopita. Kwa msingi huu, data hizo ni disputable kwa maana kwamba miaka 28 ni mingi mno ku'rely' kwa hizo data. Labda kama ungeweza ku'support' huo utafiti kwa kuonyesha pia data za hivi karibuni. Kwa mfano, miaka ya 1990 hapakuwa na mitandao ya kijamii au tuseme hapakuwa na mambo ya kidijitali, ambayo pia yameleta mchango mkubwa kwenye mabadiliko ya tabia/mazoea ya watu for good or for bad. Ngoja na mimi nipumzike kwanza.

Umeongea vizuri sana.

Mitandao ya kijamii na utandawazi inachangia lakini elewa Baba na Mama Wakiwa kwenye familia ni rahisi kudhibiti watoto hata nyakati hizi za utandawazi kuliko mtoto akiwa analelewa na Mama pekee


Kazi kubwa ya Baba ni Ulinzi kisha huduma.
Mama anaweza kutoa huduma ila kwenye ishu ya Ulinzi hawezi
 
Mi naamini kabisa jukumu la maadali lipo chini ya mwanaume.
Haya mambo ya haki sawa ndo yanavuruga mila na asili ya mwafrika.
Kiafrika mambo ya haki sawa hayapaswi kuwepo, jamii imekosa mwelekeo.
Enzi hizo mtoto anaonywa au kulelewa na kila mtu, sasa hivi yupo wa kumchapa.
Taikuni upo sahihi kabisa mjinga ndo atakupinga, ona nchi inavyojiendea!
Sisi sio wa kuongozwa na mwanamke.View attachment 3029700

Mwanaume ni mlinzi wa koo ni Kweli.

50*50 iache iendelee kwa Watu ili wale wanaotambua Mfumo dume wazidi kutawala na kupata watumwa kupitia uzao wa 50*50
 
TAFITI ZINAONYESHA 80% YA WAHALIFU DUNIANI IKIWEMO MAJAMBAZI, WABAKAJI, WAUAJI, MASHOGA WAMELELEWA NA SINGLE MOTHERS YAANI FATHERLESS

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Andiko hili halipo kwaajili ya kuwakandia single mothers bali lipo kwaajili ya kuonyesha matatizo ya u-single mother ambayo yanatokea kwenye jamii yetu ili tujue nini chakufanya.
Yeyote atakayechukulia kwa mtazamo hasi ihesabike kama kushindwa kwake kuelewa.

Tafiti mbalimbali duniani pamoja na uchunguzi wangu vinaonyesha kuwa Asilimia zaidi ya 80% ya Wahalifu Wanatokea katika familia ambayo hakuna Baba(FATHERLESS) na wengi Wamelelewa na Mama pekee (Single mothers).

In 1996, 70% of inmates in state juvenile detention centers serving long sentences were raised by single mothers.7

The absence of the father increases the daughters’ vulnerability to exploitation by those outside the family. Girls from homes without fathers are 6 times more likely to become pregnant as teenagers.9

Tafiti zingine zimetoa majibu haya
  • 63% ya vijana wanaojiua Wamelelewa na Mama pekee
  • 90% ya Chokoraa(homeless) na wazururaji wametoka kwenye familia zisizokuwa na Baba
  • 85% ya watoto wote wenye behavior disorders wametoka kutoka fatherless homes.
  • 80% ya Wabakaji wametoka kwenye familia zisizokuwa na Baba na Wamelelewa na single mothers
  • 71% ya walioacha shule au kuishia njiani Wamelelewa na single mothers
  • 75% ya walioko sobber wenye wanaotumia Madawa ya kulevya Wamelelewa na single mothers .
  • 85% ya vijana walioko jela au mahabusu wametoka familia zisizokuwa na Baba.
  • 75% ya mabinti
Tafiti zinaonyesha pia Mabinti wengi waliolelewa na Single mothers wanapata mimba kabla ya kuolewa na hiyo kuongeza zaidi single mothers.

Tafiti zinaonyesha kuwa makahaba wanaojiuza kwenye madanguro na wengine kujiuza barabarani Wanatokea familia zisizokuwa na Baba.

Tafiti hizi na zingine nyingi zinatupa picha kuwa malezi ya watoto na jamii hayawezi kuwa na tija kama familia hazitakuwa na Baba na Mama.

Imethibitika pasi na shaka kuwa Mwanamke licha ya umuhimu wake kwenye dunia lakini kwa sehemu kubwa Pekeake hawezi kuwafanya watoto wawe na maadili.

Hata hivyo sababu kubwa iliyotajwa ni suala la umaskini kwa wanawake waliowengi ambao baada ya talaka au mume kufariki au kutiwa mimba pasipo kuolewa inapelekea wao kushindwa mahitaji ya kifamilia kwa watoto.

Aisha, Sababu nyingine tajwa ni kuwa Mwanamke hata awe na uwezo wa kiuchumi wengi wao Bado asili ya huruma na upendo uliopitiliza kwa watoto hupelekea kushindwa kuwalea vizuri na hiyo kusababisha watoto kutokuwa na maadili.

Nafahamu wapo watu waliolelewa na Mama pekee na wenye maadili lakini watu hao kwenye hii dunia ni wachache sana. Uwepo wa wachache hao haiondoi ukweli kuwa watoto kulelewa na Mama pekee humweka katika hatari ya kuingia katika uhalifu na uovu.

Wito, ni vizuri kama mtu anampango wa kuleta kiumbe duniani ahakikishe anafuata njia sahihi ya kuwa na familia ya Mune na Mke. Tena Mume na Mke sahihi.

Acha nipumzike Sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Utafiti wangu unatofautiana kidigo sana na wako kwani utafiti wangu unaonesha wahalifu wengi ni wanaccm.
 
Back
Top Bottom