Tafiti zinaonyesha 80% ya Wahalifu ikiwemo Wajambazi, wabakaji, wauaji, mashoga wamelelewa na Single Mothers yaani Fatherless

Tafiti zinaonyesha 80% ya Wahalifu ikiwemo Wajambazi, wabakaji, wauaji, mashoga wamelelewa na Single Mothers yaani Fatherless

Acheni kuwaandama hao watu jamani
Eti watoto fatherless
Hivi kuna mtu duniani humu kazaliwa bila baba

Hatuzungumzii kuzaa au kuzaliwa.
Tunazungumzia Malezi

Single Mothers au fatherless inahusu wasiopewa malezi ya Baba.
 
Je hizo tafiti ni za mkabala gani (qualitative, quantitative au mixed methods?).. zimejikita sana kwenye mkabala upi?..
Tunaweza kufanya majumuisho "generalization" kupitia hizo tafiti?...
 
Je hizo tafiti ni za mkabala gani (qualitative, quantitative au mixed methods?).. zimejikita sana kwenye mkabala upi?..
Tunaweza kufanya majumuisho "generalization" kupitia hizo tafiti?...

Hatuwezi kufanya majumuisho kwa tafiti kama hizi hasa za kijamii
 
Umeongea vizuri sana.

Mitandao ya kijamii na utandawazi inachangia lakini elewa Baba na Mama Wakiwa kwenye familia ni rahisi kudhibiti watoto hata nyakati hizi za utandawazi kuliko mtoto akiwa analelewa na Mama pekee


Kazi kubwa ya Baba ni Ulinzi kisha huduma.
Mama anaweza kutoa huduma ila kwenye ishu ya Ulinzi hawezi
Lakini pia inategemea. Kama unavyosema familia inahitaji watoto walelewe na wazazi wote wawili. Inapotokea mzazi mmoja hayupo, inaleta shida. Utafiti ulio'share' umeonyesha tu sehemu moja. Labda tungepata kujua je watoto wanaolelewa na baba tu bila mama, wao ni asilimia ngapi wanakuwa watoto wasio na changamoto? Ni asilimia 90 au 100 au ngapi? Najaribu kufikiria baba akiwa mtafutaji anaamka saa 9 alfajiri na kurudi nyumbani saa 5 usiku, je yeye akiwa mlezi peke yake watoto wanakuwaje?
 
Lakini pia inategemea. Kama unavyosema familia inahitaji watoto walelewe na wazazi wote wawili. Inapotokea mzazi mmoja hayupo, inaleta shida. Utafiti ulio'share' umeonyesha tu sehemu moja. Labda tungepata kujua je watoto wanaolelewa na baba tu bila mama, wao ni asilimia ngapi wanakuwa watoto wasio na changamoto? Ni asilimia 90 au 100 au ngapi? Najaribu kufikiria baba akiwa mtafutaji anaamka saa 9 alfajiri na kurudi nyumbani saa 5 usiku, je yeye akiwa mlezi peke yake watoto wanakuwaje?

Hii ni kutokana jukumu namba moja la Mwanamke ni uzazi kisha malezi kwa mtoto
Baba kazi yake ni kuilinda na kutoa huduma za matunzo

Wababa hawahusishwi mambo ya malezi yaani kukaa na watoto
 
TAFITI ZINAONYESHA 80% YA WAHALIFU DUNIANI IKIWEMO MAJAMBAZI, WABAKAJI, WAUAJI, MASHOGA WAMELELEWA NA SINGLE MOTHERS YAANI FATHERLESS

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Andiko hili halipo kwaajili ya kuwakandia single mothers bali lipo kwaajili ya kuonyesha matatizo ya u-single mother ambayo yanatokea kwenye jamii yetu ili tujue nini chakufanya.
Yeyote atakayechukulia kwa mtazamo hasi ihesabike kama kushindwa kwake kuelewa.

Tafiti mbalimbali duniani pamoja na uchunguzi wangu vinaonyesha kuwa Asilimia zaidi ya 80% ya Wahalifu Wanatokea katika familia ambayo hakuna Baba(FATHERLESS) na wengi Wamelelewa na Mama pekee (Single mothers).

In 1996, 70% of inmates in state juvenile detention centers serving long sentences were raised by single mothers.7

The absence of the father increases the daughters’ vulnerability to exploitation by those outside the family. Girls from homes without fathers are 6 times more likely to become pregnant as teenagers.9

Tafiti zingine zimetoa majibu haya
  • 63% ya vijana wanaojiua Wamelelewa na Mama pekee
  • 90% ya Chokoraa(homeless) na wazururaji wametoka kwenye familia zisizokuwa na Baba
  • 85% ya watoto wote wenye behavior disorders wametoka kutoka fatherless homes.
  • 80% ya Wabakaji wametoka kwenye familia zisizokuwa na Baba na Wamelelewa na single mothers
  • 71% ya walioacha shule au kuishia njiani Wamelelewa na single mothers
  • 75% ya walioko sobber wenye wanaotumia Madawa ya kulevya Wamelelewa na single mothers .
  • 85% ya vijana walioko jela au mahabusu wametoka familia zisizokuwa na Baba.
  • 75% ya mabinti
Tafiti zinaonyesha pia Mabinti wengi waliolelewa na Single mothers wanapata mimba kabla ya kuolewa na hiyo kuongeza zaidi single mothers.

Tafiti zinaonyesha kuwa makahaba wanaojiuza kwenye madanguro na wengine kujiuza barabarani Wanatokea familia zisizokuwa na Baba.

Tafiti hizi na zingine nyingi zinatupa picha kuwa malezi ya watoto na jamii hayawezi kuwa na tija kama familia hazitakuwa na Baba na Mama.

Imethibitika pasi na shaka kuwa Mwanamke licha ya umuhimu wake kwenye dunia lakini kwa sehemu kubwa Pekeake hawezi kuwafanya watoto wawe na maadili.

Hata hivyo sababu kubwa iliyotajwa ni suala la umaskini kwa wanawake waliowengi ambao baada ya talaka au mume kufariki au kutiwa mimba pasipo kuolewa inapelekea wao kushindwa mahitaji ya kifamilia kwa watoto.

Aisha, Sababu nyingine tajwa ni kuwa Mwanamke hata awe na uwezo wa kiuchumi wengi wao Bado asili ya huruma na upendo uliopitiliza kwa watoto hupelekea kushindwa kuwalea vizuri na hiyo kusababisha watoto kutokuwa na maadili.

Nafahamu wapo watu waliolelewa na Mama pekee na wenye maadili lakini watu hao kwenye hii dunia ni wachache sana. Uwepo wa wachache hao haiondoi ukweli kuwa watoto kulelewa na Mama pekee humweka katika hatari ya kuingia katika uhalifu na uovu.

Wito, ni vizuri kama mtu anampango wa kuleta kiumbe duniani ahakikishe anafuata njia sahihi ya kuwa na familia ya Mune na Mke. Tena Mume na Mke sahihi.

Acha nipumzike Sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Honest

Andiko lako limekuja wakati muafaka na kudhihirisha udhaifu wa wachache katka jamii hasahasaa kwenye jamii kubwa ya mijini.

Nakupongezaa sanaaa

Tukitaka kujenga taifa lenye mafanikio teleee na ustawi wa kesho

Lazima suala la ndoa lipewee kipaumbeleee.

Wale wenzangu na mimi kataaa ndoa wasipotosheeeeee.

Na Wale sijui wanaojisifia Single mother you need to.learn here .

Wale walio na mpango wa kuvunja ndoa

Please nawasihii kwa imani ya ya Kikiristo tena ya KKKT nawaombea kwa Mungu awatatulie changamoto zenu na awafanyie wepesiii muishi na kudumu kwenye ndoa zenu mtulelee Taifa la kesho lilo boraaa

Yesu wangu akubariki sanaa
 
KWENYE UUMBAJI MUNGU ALIWEKA MTU MUME NA MTU MKE,
NA KILA MTU ANAWAJIBU NA MAJUKUMU YAKE KWA MWENZIE.
HAPA NDIPO USTAWI WA JAMII YOYOTE UNAPO ANZIA.

HIVI VITA VYA KUPAMBANA NA JINSIA NYINGINE NA KUJIFANANISHA NAYO.
NI KINYUME NA ASILI YA UUMBAJI, NA MATOKEO YAKE NDIO HAO.
NA MATOKEO HAYA HAYANA DAWA, HATA UKIKAZANA KUMUOMBA KRISTO HANA MSAADA.
NAFASI YA BABA NI MUHIMU NA LAZIMA,
KUPINGANA NA HII NI KUENDELEA KUVUNA LAANA KWA VIZAZI
 
Huwa nawatetea single mothers kama binadamu wengine ila ukitafakari ni wanawake wasiopaswa kuzingatiwa kwenye jamii ya watu wastaarabu. Wengi wao walizalishwa kwa kiherehere chao cha kukimbilia mapenzi kabla ya muda. Kibaya ni kwamba wakati wakiwa mapenzini kabla ya kuzalishwa huwa hawasikilizi mtu yeyote wakiwemo wazazi zaidi ya hao wanaume zao. Wakitelekezwa ndo hutia huruma nakuanza kujigongesha kwa wanaume waliowakataa mwanzoni kwa dharau. Kinachokera na kuumiza zaidi ni kuwa single mothers wote huendelea kuwa na mapenzi na wanaume waliowazalisha kwa maisha yao yote. Ikitokea mwanaume wake anataka kurudi basi atakuacha mchana kweupe bila kujali maumivu yako. Hata hawa single mothers waliofiwa na baba watoto zao ni wapumbavu kwasababu mapenzi yao huwa kwa marehemu zaidi na watoto wake. Utakubali kuoa mtu ambaye kila mwaka husherehekea birthday ya marehemu? SAY NO TO SINGLE MOTHERS.
 
TAFITI ZINAONYESHA 80% YA WAHALIFU DUNIANI IKIWEMO MAJAMBAZI, WABAKAJI, WAUAJI, MASHOGA WAMELELEWA NA SINGLE MOTHERS YAANI FATHERLESS

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Andiko hili halipo kwaajili ya kuwakandia single mothers bali lipo kwaajili ya kuonyesha matatizo ya u-single mother ambayo yanatokea kwenye jamii yetu ili tujue nini chakufanya.
Yeyote atakayechukulia kwa mtazamo hasi ihesabike kama kushindwa kwake kuelewa.

Tafiti mbalimbali duniani pamoja na uchunguzi wangu vinaonyesha kuwa Asilimia zaidi ya 80% ya Wahalifu Wanatokea katika familia ambayo hakuna Baba(FATHERLESS) na wengi Wamelelewa na Mama pekee (Single mothers).

In 1996, 70% of inmates in state juvenile detention centers serving long sentences were raised by single mothers.7

The absence of the father increases the daughters’ vulnerability to exploitation by those outside the family. Girls from homes without fathers are 6 times more likely to become pregnant as teenagers.9

Tafiti zingine zimetoa majibu haya
  • 63% ya vijana wanaojiua Wamelelewa na Mama pekee
  • 90% ya Chokoraa(homeless) na wazururaji wametoka kwenye familia zisizokuwa na Baba
  • 85% ya watoto wote wenye behavior disorders wametoka kutoka fatherless homes.
  • 80% ya Wabakaji wametoka kwenye familia zisizokuwa na Baba na Wamelelewa na single mothers
  • 71% ya walioacha shule au kuishia njiani Wamelelewa na single mothers
  • 75% ya walioko sobber wenye wanaotumia Madawa ya kulevya Wamelelewa na single mothers .
  • 85% ya vijana walioko jela au mahabusu wametoka familia zisizokuwa na Baba.
  • 75% ya mabinti
Tafiti zinaonyesha pia Mabinti wengi waliolelewa na Single mothers wanapata mimba kabla ya kuolewa na hiyo kuongeza zaidi single mothers.

Tafiti zinaonyesha kuwa makahaba wanaojiuza kwenye madanguro na wengine kujiuza barabarani Wanatokea familia zisizokuwa na Baba.

Tafiti hizi na zingine nyingi zinatupa picha kuwa malezi ya watoto na jamii hayawezi kuwa na tija kama familia hazitakuwa na Baba na Mama.

Imethibitika pasi na shaka kuwa Mwanamke licha ya umuhimu wake kwenye dunia lakini kwa sehemu kubwa Pekeake hawezi kuwafanya watoto wawe na maadili.

Hata hivyo sababu kubwa iliyotajwa ni suala la umaskini kwa wanawake waliowengi ambao baada ya talaka au mume kufariki au kutiwa mimba pasipo kuolewa inapelekea wao kushindwa mahitaji ya kifamilia kwa watoto.

Aisha, Sababu nyingine tajwa ni kuwa Mwanamke hata awe na uwezo wa kiuchumi wengi wao Bado asili ya huruma na upendo uliopitiliza kwa watoto hupelekea kushindwa kuwalea vizuri na hiyo kusababisha watoto kutokuwa na maadili.

Nafahamu wapo watu waliolelewa na Mama pekee na wenye maadili lakini watu hao kwenye hii dunia ni wachache sana. Uwepo wa wachache hao haiondoi ukweli kuwa watoto kulelewa na Mama pekee humweka katika hatari ya kuingia katika uhalifu na uovu.

Wito, ni vizuri kama mtu anampango wa kuleta kiumbe duniani ahakikishe anafuata njia sahihi ya kuwa na familia ya Mune na Mke. Tena Mume na Mke sahihi.

Acha nipumzike Sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
singo maza!!!!! noma sana jamaa!!
 
Huwa nawatetea single mothers kama binadamu wengine ila ukitafakari ni wanawake wasiopaswa kuzingatiwa kwenye jamii ya watu wastaarabu. Wengi wao walizalishwa kwa kiherehere chao cha kukimbilia mapenzi kabla ya muda. Kibaya ni kwamba wakati wakiwa mapenzini kabla ya kuzalishwa huwa hawasikilizi mtu yeyote wakiwemo wazazi zaidi ya hao wanaume zao. Wakitelekezwa ndo hutia huruma nakuanza kujigongesha kwa wanaume waliowakataa mwanzoni kwa dharau. Kinachokera na kuumiza zaidi ni kuwa single mothers wote huendelea kuwa na mapenzi na wanaume waliowazalisha kwa maisha yao yote. Ikitokea mwanaume wake anataka kurudi basi atakuacha mchana kweupe bila kujali maumivu yako. Hata hawa single mothers waliofiwa na baba watoto zao ni wapumbavu kwasababu mapenzi yao huwa kwa marehemu zaidi na watoto wake. Utakubali kuoa mtu ambaye kila mwaka husherehekea birthday ya marehemu? SAY NO TO SINGLE MOTHERS.

Most of them but not all
 
Back
Top Bottom