Tafrani yazuka msibani Tanga: Waombolezaji wakataa dua ya Waziri Masauni wakimtaka ajiuzulu

Tafrani yazuka msibani Tanga: Waombolezaji wakataa dua ya Waziri Masauni wakimtaka ajiuzulu

This will make the Boss Lady more paranoid and Schizophrenic, forcing her to make more erratic and irrational decisions.

She'll imagine if it was her getting booed and jeered infront of the public, which by the way is her worse nightmare.

Nyie BAVICHA kuweni makini.​
 
Msiba wa mwanachama wa CHADEMA, Ally Mohamed Kibao, huko mkoani Tanga, uligubikwa kuwa na hali ya sintofahamu baada ya waombolezaji kumkataa Waziri wa Mambo ya Ndani, Eng. Hamad Masauni, na kumtaka aachie ngazi.

Tafrani hiyo ilisababisha Waziri kusitisha dua yake kwenye shughuli hiyo ya mazishi mpaka pale Mwenyekiti wa chama Mbowe kuwataka watulie na wasikilize hotuba yake.
View attachment 3091384
Watu wamechoka kuuawa kwa maagizo kutoka juu. Haiwezekani watu waje wamtie mtu pingu hivihivi bila kuagizwa. Never.
 
Back
Top Bottom