Tafrani yazuka msibani Tanga: Waombolezaji wakataa dua ya Waziri Masauni wakimtaka ajiuzulu

Tafrani yazuka msibani Tanga: Waombolezaji wakataa dua ya Waziri Masauni wakimtaka ajiuzulu

Kule Ruvuma iliwahi kutokea kijana mmoja alikufa kwenye mazingira tatanishi, na wajuzi wa mambo wakasema ni baba mzazi wa kijana amehusika. Baba yule aligoma kwenda makaburini wakati wa maziko, akidai anaumwa. Watu wakiwa wameandaa kaburi tayari, wakajadiliana kuwa hawawezi kumzika marehemu bila ya Baba yake kuwepo. Wakatumwa watu kwenda kumbembeleza baba, wakiwa wamempelekea usafiri. Baba akafika kaburini. Kufika tu wakamnyanyua juu juu na kumwingiza ndani ya kaburi lililokuwa limeandaliwa kwaajili ya mwanae. Wakampa dakika 5 za kusali kama anataka. Baada ya hapo walirusha udongo kwa kasi ya ajabu. Walipomaliza kumzika akiwa hai wakaanza kuandaa kaburi la marehemu, kijana wake. Polisi wanafika kwenye tukio, ndiyo mwili wa marehemu unashushwa kaburini. Polisi wakaamuru kuanza kufukua kaburi la yule baba. Lakini tayari alikuwa amekwishakufa.

Hii inatufundisha kuwa kama wewe upo upande wa wauaji hustahili kwenda msibani. Unaenda kuwazidishia huzuni na hasira waombolezaji. Mauaji ya ndugu yetu Ali Kibao yamefanywa na agents wa Serikali, halafu mtu wa Serikali anaenda na rambirambi, mbona ni dhihaka kubwa sana!!
Hili tukio lilitokea Namtumbo, kijiji cha mgombasi. Nakumbuka vzuri sana.

Kule kwetu Songea hatuna mzaha. Tukio la kifo halieleweki, watu wanadeal na watuu,

Huyu waziri ilibidi akwidwe robaaaa, pigwa ngwalaaaa. Pigwa butiii akitoka hapo yuko hanya hanyaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
This is BAD, kama Taifa tumefika pabaya lakini hakuna namna lazima viongozi waone hizi reactions ili hatua zichukuliwe, na endapo wataamua kupuuzia basi this will go to extramile
 
amemuokoa Masauni kutokana na hasira za waombelezaji, vinginevyo leo wangemgaeana vipande... ali keep the peace... kongore kwake...
Wana ushahidi gani kwamba mauaji ya Kibao yana uhusiano na cheo cha waziri wa mambo ya ndani?. Ni mihemko iliyozoeleka, na waziri kawa muungwana kwa kuamua kutulia.
 
Kule Ruvuma iliwahi kutokea kijana mmoja alikufa kwenye mazingira tatanishi, na wajuzi wa mambo wakasema ni baba mzazi wa kijana amehusika. Baba yule aligoma kwenda makaburini wakati wa maziko, akidai anaumwa. Watu wakiwa wameandaa kaburi tayari, wakajadiliana kuwa hawawezi kumzika marehemu bila ya Baba yake kuwepo. Wakatumwa watu kwenda kumbembeleza baba, wakiwa wamempelekea usafiri. Baba akafika kaburini. Kufika tu wakamnyanyua juu juu na kumwingiza ndani ya kaburi lililokuwa limeandaliwa kwaajili ya mwanae. Wakampa dakika 5 za kusali kama anataka. Baada ya hapo walirusha udongo kwa kasi ya ajabu. Walipomaliza kumzika akiwa hai wakaanza kuandaa kaburi la marehemu, kijana wake. Polisi wanafika kwenye tukio, ndiyo mwili wa marehemu unashushwa kaburini. Polisi wakaamuru kuanza kufukua kaburi la yule baba. Lakini tayari alikuwa amekwishakufa.

Hii inatufundisha kuwa kama wewe upo upande wa wauaji hustahili kwenda msibani. Unaenda kuwazidishia huzuni na hasira waombolezaji. Mauaji ya ndugu yetu Ali Kibao yamefanywa na agents wa Serikali, halafu mtu wa Serikali anaenda na rambirambi, mbona ni dhihaka kubwa sana!!
Tatizo ni kutowepo kwa ushahidi wa waziri kuwa upande wa wauaji. Ushahidi una nguvu sana mahakamani, hizi tuhuma za JF na huko kwenye mitandao mingine hazina nguvu ikiwa huwezi kupelekea ushahidi unaojitosheleza mbele ya vyombo vya sheria.

Ni muendelezo ule ule wa serikali kivuli za mitandaoni, zinaanza kutoa maoni na kumaliza kwa mawazo huru yenye kutawaliwa na hasira nyingi.
 
Wana ushahidi gani kwamba mauaji ya Kibao yana uhusiano na cheo cha waziri wa mambo ya ndani?. Ni mihemko iliyozoeleka, na waziri kawa muungwana kwa kuamua kutulia.
Angeuliwa waziri wa mambo ya ndani ungesema hivi? Maisha ya Kibao kwako hayana umuhimu woowote. Ndioo maana unasema hivi. Mtu anatekwa, anateswa, anauliwa na vyombo vya usalama. Kuna usalaama gani kwa raia?
 
Back
Top Bottom