kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
ujinga ama hekimaMbowe ana hekima!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ujinga ama hekimaMbowe ana hekima!
Kule Ruvuma iliwahi kutokea kijana mmoja alikufa kwenye mazingira tatanishi, na wajuzi wa mambo wakasema ni baba mzazi wa kijana amehusika. Baba yule aligoma kwenda makaburini wakati wa maziko, akidai anaumwa. Watu wakiwa wameandaa kaburi tayari, wakajadiliana kuwa hawawezi kumzika marehemu bila ya Baba yake kuwepo. Wakatumwa watu kwenda kumbembeleza baba, wakiwa wamempelekea usafiri. Baba akafika kaburini. Kufika tu wakamnyanyua juu juu na kumwingiza ndani ya kaburi lililokuwa limeandaliwa kwaajili ya mwanae. Wakampa dakika 5 za kusali kama anataka. Baada ya hapo walirusha udongo kwa kasi ya ajabu. Walipomaliza kumzika akiwa hai wakaanza kuandaa kaburi la marehemu, kijana wake. Polisi wanafika kwenye tukio, ndiyo mwili wa marehemu unashushwa kaburini. Polisi wakaamuru kuanza kufukua kaburi la yule baba. Lakini tayari alikuwa amekwishakufa.Kwanza ilibidi wamkwidee roba huyo waziri. Lol
Anakua ame-go kimasihara.Naomba kuuliza… akijihuzuru ndo utekaji utaishaa??🤔
Sio ujinga ni hekima.....ujinga ama hekima
NdiyooHiyo ndio ingepelea message huko serikalini au ?
usiwe mbishi nimekwambia ujingaSio ujinga ni hekima.....
Ati Jeshi la Polisi nalo limetuma RAMBI RAMB
Ingependeza sana lakini ni waste opportunity kwa Mbowe kwenda kuwatuliza.. huyu ,Mbowe labda na yeye ni wao... watu wana hasira yeye anaeenda kuwatuliza, angewaachia wajimwambafy na kutoa hasira au duku duku zao...Ndiyoo
Mwaka gan mkuu??Kule Ruvuma iliwahi kutokea kijana mmoja alikufa kwenye mazingira tatanishi, na wajuzi wa mambo wakasema ni baba mzazi wa kijana amehusika. Baba yule aligoma kwenda makaburini wakati wa maziko, akidai anaumwa. Watu wakiwa wameandaa kaburi tayari, wakajadiliana kuwa hawawezi kumzika marehemu bila ya Baba yake kuwepo. Wakatumwa watu kwenda kumbembeleza baba, wakiwa wamempelekea usafiri. Baba akafika kaburini. Kufika tu wakamnyanyua juu juu na kumwingiza ndani ya kaburi lililokuwa limeandaliwa kwaajili ya mwanae. Wakampa dakika 5 za kusali kama anataka. Baada ya hapo walirusha udongo kwa kasi ya ajabu. Walipomaliza kumzika akiwa hai wakaanza kuandaa kaburi la marehemu, kijana wake. Polisi wanafika kwenye tukio, ndiyo mwili wa marehemu unashushwa kaburini. Polisi wakaamuru kuanza kufukua kaburi la yule baba. Lakini tayari alikuwa amekwishakufa.
Hii inatufundisha kuwa kama wewe upo upande wa wauaji hustahili kwenda msibani. Unaenda kuwazidishia huzuni na hasira waombolezaji. Mauaji ya ndugu yetu Ali Kibao yamefanywa na agents wa Serikali, halafu mtu wa Serikali anaenda na rambirambi, mbona ni dhihaka kubwa sana!!
Wanasema kwamba Waziri ajiuzulu? Mimi nna masikio mabovu sijasikia vizuriSasa wangemaliza kwanza hiyo shughuli ya mazishi Kisha mambo MENGINE yafuatie.,ni ibada hiyo...
Mbowe anatumikaKama Mbowe kawazuia hao waombolezaji amekosea sana, mbowe ndie huwa anarudishaga nyuma sana mapambano nchi hii.
Hata hivyo pia.Labda ilibidi wamteke tuone vyombe vyetu vya ulinzi na usalama kwa Watanzania zinavyofanya kazi kwa weleda. Kumtafuta na kumpata, alipelekwa,kituo gani, aliteswa na nani, aliuliwa na nani?
Ha Ha ha. Kwakweli wacha tu tucheke maana haya mambo ni mazito sana, yanakera na kuogopesha!!Sanaaaa, ilibidi afurushwee juu juu. Akitua chinii ni mahesabu tyuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
...'Tyuu'... Haka kamsemo kanataka kuniharibu na mimi nisipojirekebisha wa alah?Binamuu mie niko poaa, safii tyuuh
Wakimaliza ibada watampata wapi acha wamalizane nae hapohapo
Hivi unajua wananchi karibu nchi nzima Kwa sasa wanahasira sana, wanaona hawapo tena salamaHaya mambo yamejaza hasira sana,miongoni mwa watu
Kuna chuki kubwa sana wameitengeneza
Ova
Hapo Mbowe alikosea mnoo, angeacha wananchi wafikishe ujumbe na dukuduku kwa huyo mhusikaTafrani hiyo ilisababisha Waziri kusitisha dua yake kwenye shughuli hiyo ya mazishi mpaka pale Mwenyekiti wa chama Freeman Mbowe kuwataka watulie na wasikilize hotuba yake.
Bora kumkataa mnafiki hadharani. Wamefikisha ujumbe muda na sehem muafakaSasa wangemaliza kwanza hiyo shughuli ya mazishi Kisha mambo MENGINE yafuatie.,ni ibada hiyo...
Ndiyo manake,watu wanasema ehh kumbe sahivi kuna watu tu wanaweza kuja wakakuchukua na kwenda kukuaa na hakuna chochote kitafanyikaHivi unajua wananchi karibu nchi nzima Kwa sasa wanahasira sana, wanaona hawapo tena salama