Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,005
- 20,425
Mswahili ni yeyote mwenye asili ya pwani ya afrika mashariki, huwasiliana kwa lugha ya kiswahili, ni binadamu mwenye fikra sahihi, ni mdadisi, hughani mang'amuzi kwa lugha ya kiswahili!
Huyo ndiye mswahili halisi,japo wengi hapo juu wamepotosha na kudhihaki maana ya mswahili
Huyo ndiye mswahili halisi,japo wengi hapo juu wamepotosha na kudhihaki maana ya mswahili