Suprise
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 2,696
- 1,063
Sasa hizo mbinu zinahusiana nini na Waswahili pekee?
Umeona eenh, hivi naomba muongozo, mswahili ni nani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hizo mbinu zinahusiana nini na Waswahili pekee?
Sasa hizo mbinu zinahusiana nini na Waswahili pekee?
Kama huna cha kuandika si usome ya wenzako tu.
Huelewi Waswahili ni kina nani. Pole sana.
Dada mkubwa Mbona umejiquote mwenyewe...
Uswahili unaanzia wapi na kuishia wapi?
Unatokana na kabila, ni utamaduni au ni nini?
Umeona eenh, hivi naomba muongozo, mswahili ni nani
Kwanza "Waswahili" ni nani?
Waswahili ni jina la kutaja wakazi wa miji ya pwani ya Bahari Hindi katika Afrika ya Mashariki, hasa na Kenya ambao ni wasemaji wa lugha ya Kiswahili kama lugha ya kwanza. Neno "Swahili" latokana na Kiarabu "sawahil" yaani pwani, kwa hiyo maana yake ni "watu wa pwani". Lakini si makabila yote ya pwani la Afrika ya Mashariki ambao ni Waswahili.
Sosi: Waswahili - Wikipedia, kamusi elezo huru
Wasifu hasi wa Mswahili ni zao la kihistoria ambapo Mswahili alitafsiriwa kama mtu ambaye hakuwa na 'ustaarabu' kamili wa Kiarabu na/au 'usasa' wa Kizungu.
Sosi: Yahoo! Groups
athante best ila ndo hivyo alivyotumia mtoa mada kwamba hayo yote yanawahusu wenyeji wa kanda ya pwani tuuuu au,
Waswahili ni jina la kutaja wakazi wa miji ya pwani ya Bahari Hindi katika Afrika ya Mashariki, hasa na Kenya ambao ni wasemaji wa lugha ya Kiswahili kama lugha ya kwanza. Neno "Swahili" latokana na Kiarabu "sawahil" yaani pwani, kwa hiyo maana yake ni "watu wa pwani". Lakini si makabila yote ya pwani la Afrika ya Mashariki ambao ni Waswahili.
Sosi: Waswahili - Wikipedia, kamusi elezo huru
Wasifu hasi wa Mswahili ni zao la kihistoria ambapo Mswahili alitafsiriwa kama mtu ambaye hakuwa na 'ustaarabu' kamili wa Kiarabu na/au 'usasa' wa Kizungu.
Sosi: Yahoo! Groups
Hujatuambia nani Mswahili na nani si Mswahili bado.
Kuna watu wengi wa bara wamehamia pwani tangu enzi za upagazi kwa Wajerumani kabla ya mkutano wa Berlin, wakafanya vizazi pwani, lakini si wa makabila ya pwani, hawa ni Waswahili au la?
Mkuu sio kwamba nilikuwa najibu swali, bali nilikuwa nachagiza mjadala mliouibua kwa kutoa matamshi ambayo wengine wamejaribu kudadavua.
Ninaamini kama tukijua Mswahili ni nani basi walio kinyume na hapo si Waswahili
Kwanza "Waswahili" ni nani?
Wasukuma waliozaliwa Kinyasini na kukulia huko tangu linajengwa Azania Front ni Waswahili au si Waswahili?
Na waliolowea tangu wamekuja chuo kikuu 1975 na kuoa visura wa Kizaramo?
Na watoto wao waliokulia Dar, lakini wakakimbilia kusoma Canada?
Wazanzibari waliolowea Tabora tangu wamemsindikiza Stanley, na waarabu wa Tabora kina Rostam Aziz na Mzee Said El-Maamry ni Waswahili au si Waswahili?
Uswahili unaanzia wapi na kuishia wapi?
Unatokana na kabila, ni utamaduni au ni nini?
Na kwa nini Uswahili uwe kama neno lingine la kumaanisha "ushenzi" wakati tuna hodhi tamaduni zenye tunu za Sheikh Amri Abeid na johari ziso uanagenzi za magwiji kama Shaaban Robert? To say nothing of Mathias Mnyampala.
Speaking of Mathiasi Mnyampala, alikuwa Mswahili au la?
Hata kumjua hawa wanaojifanya kukandia uswahili wanamjua?
Ulitazama TBC1 jana?
kulikuwa na kipindi cha kiswahili na waliwafanyia interview watoto wa Mnyampala na Sheikh Amri Abeid..
Woow, sikuweza kutazama, not sure kama inapatikana kwa mtandao huku antipode of the antipode.
Imekuwa nasibu tu.
Woow, sikuweza kutazama, not sure kama inapatikana kwa mtandao huku antipode of the antipode.
Imekuwa nasibu tu.