platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,424
- 11,320
Walihojiwa na kilichongaza ni jinsi walivyo point out
kuwa sio watu wa kawaida tu hawajui historia vizuri bali mpaka Waandishi wa habari
mfano waandishi wengi wanauita uwanja wa mpira wa Sheikh Amri Abeid ,
wana changanya na Karume
so inakuwa 'Sheikh Amri Abeid Karume'
watu wawili tofauti wanachanganywa....
Achilia mbali vitabu vya magwiji wa Lugha ya Kiswahili kama hao kuwa available Kenya zaidi
kuliko Tanzania...
:help::help: