...hawa lazima ndoa yao haijavuka hata honeymoon period.
Hawana ndoa hawa ni BF na GF, kila siku wamegandana kama kumbi kumbi bibi mbele bwana nyuma.:A S-heart-2:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...hawa lazima ndoa yao haijavuka hata honeymoon period.
Mh... bidada... hata kwenye ndoa kongwe kuna siku bashasha kama za hao jamaaKama ni wana ndoa
Mh... bidada... hata kwenye ndoa kongwe kuna siku bashasha kama za hao jamaa
hasa watoto wakienda kwa ano au anti nafasi bwelele
we haya we
...umeona ee? haya.
bora sasa na thread ifungwe, 'majungu' yeshakuwa mengi.
:closed_2:
...umeona ee? haya.
bora sasa na thread ifungwe, 'majungu' yeshakuwa mengi.
:closed_2:
![]()
...If walls could talk!....
Picha hii inakupa ujumbe gani?
Nawe badilika unapokuwa 'umelala' na mwenzio!
:ranger::ranger::ranger:
ati?
Dada anaonyesha anataka/amekosa kitu hivyo kinampa mawazo wakati mwenzie yupo hoi na usingizi wa pono!! anahitaji kumwelezea mwenza wake hisia zake!!
Dada anaonyesha anataka/amekosa kitu hivyo kinampa mawazo wakati mwenzie yupo hoi na usingizi wa pono!! anahitaji kumwelezea mwenza wake hisia zake!!
...BJ,
wala hastahili huruma huyu,...
kama anachokitaka kipo hapo hapo kitandani sinikiasi cha kugeuka tu?, au kama walivyotufunda MwanajamiiOne na Nyamayao leo,..ajivishe khanga ya India, kisha ampitie kwa juu as if kakosea pa kushukia (kitandani!)
...la la la...!,
msubirie Nyamayao akupe maelezo ya kina hizo 'kama sutra' kesho akiamka.. (na thread ikiwa imesalimika na fagio la chuma)
Kaka Acid ametuhakikishia kuwa sometimes huwa kuna bashasha humo na si siku zote huwa ni blue monday.... ngoja nianze kufikiria kuingia humo lol!
[FONT=Helvetica, Arial, sans-serif]"Of all the misconceptions about love, the most powerful and pervasive is the belief that falling in love is love or at least one of the manifestations of love." M. SCOTT PECK
[FONT=Helvetica, Arial, sans-serif]We all tends to forget that "It's easy to "fall" in love, but very few people know how to stay in love. "[/FONT][/FONT]I SEE, ALRIGHT
![]()
...If walls could talk!....
Picha hii inakupa ujumbe gani?
Nawe badilika unapokuwa 'umelala' na mwenzio!
ha ha ha ha!
ha ha ha ha!
hii imetulia sana hii