Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naamini umekuja na madini ya kutosha, ila kuna kitu nilikutana nacho kinaitwa SIGILS, nikasoma kwa juu juu ni kama spell dizaini. Je unahabari nayo unipe kwa ufasaha zaidi. Maana nikaona watu wanaandika hizo sigils kwa kutaka pesa, penzi, kulipa kisasi nkGod is good my dia
Ni sect ya satanism hiyo kitu sikushauri uendelee nayo ila kwa faida ya wengi nitaiandikia mada kamiliNaamini umekuja na madini ya kutosha, ila kuna kitu nilikutana nacho kinaitwa SIGILS, nikasoma kwa juu juu ni kama spell dizaini. Je unahabari nayo unipe kwa ufasaha zaidi. Maana nikaona watu wanaandika hizo sigils kwa kutaka pesa, penzi, kulipa kisasi nk
Fanya hivyo mtu wanguNi sect ya satanism hiyo kitu sikushauri uendelee nayo ila kwa faida ya wengi nitaiandikia mada kamili
Naomba UNITAG MKUU mshana jrNi sect ya satanism hiyo kitu sikushauri uendelee nayo ila kwa faida ya wengi nitaiandikia mada kamili
Ahsante Mkuu nimeionaOK iko tayari kule intelligence takutag
Pamoja na huyo mama nahisi ni Anna mungwiramh,sijaelewa bado katika hiyo picha mshana jr inamaana lipu na dr inawezekana kuwa kuna kitu nyuma ya pazia kimewalazimu kufanya waliyoyafanya?
mshana jr !asante sana kuna kitu nimejifunza hapa kuna picha yangu ya chuo nimeicheki dah imeniacha mdomo wazi..maana kuna majanga yalitukuta watatu tuliofuatana...ngoja nitarudi!!
[emoji120] [emoji817] tumegee kidogo tafadhalimshana jr !asante sana kuna kitu nimejifunza hapa kuna picha yangu ya chuo nimeicheki dah imeniacha mdomo wazi..maana kuna majanga yalitukuta watatu tuliofuatana...ngoja nitarudi!!
[emoji817] [emoji120] [emoji106] [emoji115]Hii mada ina ukweli sana! Kupitia mada na tafakuri kama hizi, mtu taratibu unaweza ukajifunza maarifa juu ya KWELI nyingi sana. Hivyo atakuwa mtu huru na asiye angamia kwa kuyakosa maarifa.
Kuna mengi yenye kuleta mantiki, japo yanakosa ushahidi wa mojakwamoja. Hongera Mkuu kwa elimu.
ile ya kenyata..moi...kibaki na uhuru niliielewa zaidi.....ila hii yaHata wenyewe hawakuwa wanajua nini kitakuja kutokea baadae (hata kama labda kulikuwa kuna kitu wanafanya kwa siri) lakini yale ya kiroho yale ya sirini yalikuja kutokea na kutimia
Lo mshana nitauza ramani ya vita kwa aduii ngoja nikipata mda nitakuja puraivetii nikwambie yaliyotusibu!!!dah[emoji120] [emoji817] tumegee kidogo tafadhali