Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

Nikikuuliza una akili utaniambia ndio
Nikikuuliza una roho hutakataa
Nikikuuliza tena kama una ufahamu bado jibu litakuwa ndio
Halafu nitakwambia nionyeshe hivyo vitu! Je utaweza? Hii ndio dhana ya ulimwengu usioonekana
Hiyo fani sikuwahi kuisikia, nahitaji kusoma na kuijua vizuri kama inawezekana.
 
hii picha inayozunguka mitandaoni, naamini kabisa wakati wahusika wanaipiga hawakujua madhara yake
Na cha kushangaza zaidi, Mchungaji ambaye ndio anahisiwa kuwa baba halisi wa mtoto akakaa upande wa mtoto, hii sio coicedence ni spiritually pre-planned, ya gizani huumbuliwa na nuru. Sijui hii ndoa iko kwenye hali gani kwa sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mshana napenda sana meditation lakini njia sizijui za kufanya meditation unaweza nilekeza kabisa nikaelewa nikaanza kumeditate
 
Mshana napenda sana meditation lakini njia sizijui za kufanya meditation unaweza nilekeza kabisa nikaelewa nikaanza kumeditate
Ingia hapa meditation in your daily routine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Doo, nami nazidi kuelewa sasa kwa mfano wako mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Picha ni sehemu ya mwili wako iliyo nje yake wachawi na waganga huroga katika baadhi ya matukio kwa kutumia picha na kinacholeta uhai uhalisia na mawasiliano ya kiroho ni sura
Wewe bwana wachawi walikufa nini? Mbona unawapenda sana? Au una maarifa hayo mtumishi?
 
Mkuu Mshana jr ni vile tu umebarikiwa kuandika kwa hisia, kwa hili la picha nakupinga kwa 100% hakuna ukweli wowote katika suala la picha.
 
Mkuu unaufahamu usio wa kawaida... akili ndogo mara nyingi huwa hazikuelewi na kuishia kudhani unazungumzia uchawi.

Picha chini inaonesha marais wote wa Kenya, Jomo Kenyatta, Daniel arap Moi, Mwai Kibaki na Uhuru Kenyatta


Hii kitu ya ajab sana. Yaani wakajipanga na kuonesha mtiririko kuwa mara baada ya mzee nitasimama mimi Arap, ukifuatia weye Kibaki halafu huy bwamdogo Uhuru. Huu ndo mtiririko. Baadaye waje wengine wasiofahamika.
Asante mshana jr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…