Rogojin The Idiot
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 2,969
- 3,392
Hawa jamaa wawili yamewakuta kwa pamoja.
Sura zao na mkao wao kwenye hii picha vinasema mengiView attachment 930597
Sijaielewa naona giza, wamekufa? wamefiwa ama nin? maana wana sura za huzuni na hii picha walipigwa wakiwa wakati gani...kilimo na biashara au Tetemeko la Bukoba ama ktk majukumu gani....hisia zao na majina yao yamehakisi Korosho sio zao la chakula ila tunakula tu.Hawa jamaa wawili yamewakuta kwa pamoja.
Sura zao na mkao wao kwenye hii picha vinasema mengiView attachment 930597
Ndio mkuu!Habari kaka Mshana;
Hizo ni coincidence tu hazina uhusiano na nguvu wala miujiza yoyote kila jambo ni vile unavyolitazama mimi sikubaliani na wewe...
Kama picha ilipigwa zamani kivipi leo niione sawa wakati nyakati zinabadilika? ni lazima nione mabadiliko mengi tu kwa kua muda nao umepita ipo hivyo tu
Nikipiga picha leo na mbuzi wangu nyumbani baada ya miaka mitano yule mbuzi hatakuwepo labda amechinjwa au vyovyote na mimi pia nitakua pengine kama asili ya maisha ilivyo hakuna nguvu wala nini inayotumika hapa
Ukiachana na ishu ya kutumbuliwa wa kulia wote wameshika tama na kuvaa suti View attachment 934583
Mmh [emoji848][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23]Mshana naomba tafsiri ya kiroho kwenye picha hiiView attachment 975157
Kuna uhalisia hata katika maisha ya kawaidaMshana unanikumbusha movie za final destination. Kama umeshaziona, unahisi kile kitu kinawezekana maishani. Maana mara nyingi familia fulani ikianza kuandamwa na misiba basi huwa inafululiza
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni mada ya kiroho na si ya kidini..... Si kila mtu hapa anaamini katika uislam hivyo si haki kujaribu kuwapangia watuUislamu umekataza kupiga picha viumbe vyenye roho. Hukumu ya picha kwa mujibu wa uislamu ni katika madhambi makubwa na ni laana.