Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

Hawa jamaa wawili yamewakuta kwa pamoja.
Sura zao na mkao wao kwenye hii picha vinasema mengiView attachment 930597
Sijaielewa naona giza, wamekufa? wamefiwa ama nin? maana wana sura za huzuni na hii picha walipigwa wakiwa wakati gani...kilimo na biashara au Tetemeko la Bukoba ama ktk majukumu gani....hisia zao na majina yao yamehakisi Korosho sio zao la chakula ila tunakula tu.
 
Ukiachana na ishu ya kutumbuliwa wa kulia wote wameshika tama na kuvaa suti
IMG-20181114-WA0077.jpeg
 
Habari kaka Mshana;

Hizo ni coincidence tu hazina uhusiano na nguvu wala miujiza yoyote kila jambo ni vile unavyolitazama mimi sikubaliani na wewe...

Kama picha ilipigwa zamani kivipi leo niione sawa wakati nyakati zinabadilika? ni lazima nione mabadiliko mengi tu kwa kua muda nao umepita ipo hivyo tu

Nikipiga picha leo na mbuzi wangu nyumbani baada ya miaka mitano yule mbuzi hatakuwepo labda amechinjwa au vyovyote na mimi pia nitakua pengine kama asili ya maisha ilivyo hakuna nguvu wala nini inayotumika hapa
Ndio mkuu!

Uliandika kile ambacho ningeandika mimi!
 
Ukiachana na MORAL OF THE STORY.... itafakari kwa muktadha wa mada... Moi aliye mbele halafu mrefu kuliko wote bado yuko hai, wengine wote ni marehemu

tapatalk_1545540290671.jpeg
 
Mshana unanikumbusha movie za final destination. Kama umeshaziona, unahisi kile kitu kinawezekana maishani. Maana mara nyingi familia fulani ikianza kuandamwa na misiba basi huwa inafululiza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mshana unanikumbusha movie za final destination. Kama umeshaziona, unahisi kile kitu kinawezekana maishani. Maana mara nyingi familia fulani ikianza kuandamwa na misiba basi huwa inafululiza

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna uhalisia hata katika maisha ya kawaida

Jr[emoji769]
 
Uislamu umekataza kupiga picha viumbe vyenye roho. Hukumu ya picha kwa mujibu wa uislamu ni katika madhambi makubwa na ni laana.
 
Back
Top Bottom