Sauti ya Mamlaka
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,601
- 2,354
Dah kweli asee naanza kuelewaKardinali wa Kwanza Tanzania Kardinal Lugambwa akiwa na Kardinali wa pili Tanzania Pengo
View attachment 506249
Rams Noah kafa liniThey are all wearing black,they are all dead in seriesView attachment 1339650
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan hyu jamaa wa kati kati nae alishavita??They are all wearing black,they are all dead in seriesView attachment 1339650
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu leo ndo nimepita kwenye uzi wako na nimeuelewa kwa kweli ndo mana inaona comment zangu nying Mshana JrHawa vijana wawili wa kiume walifariki kwenye shambulio la Alshabab Westgate Nairobi... Huyu dada alifariki kwenye shambulio kama hilo kwenye hotel Somalia mwaka jana View attachment 1334073 huyo dada alikuwa anaitwa hodan raia wa Canada
Jr[emoji769]
Mkuu leo ndo nimepita kwenye uzi wako na nimeuelewa kwa kweli ndo mana inaona comment zangu nying Mshana Jr
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari kaka Mshana,
Hizo ni coincidence tu hazina uhusiano na nguvu wala miujiza yoyote kila jambo ni vile unavyolitazama, mimi sikubaliani na wewe.
Kama picha ilipigwa zamani kivipi leo niione sawa wakati nyakati zinabadilika? ni lazima nione mabadiliko mengi tu kwa kua muda nao umepita ipo hivyo tu.
Nikipiga picha leo na mbuzi wangu nyumbani baada ya miaka mitano yule mbuzi hatakuwepo labda amechinjwa au vyovyote na mimi pia nitakua pengine kama asili ya maisha ilivyo hakuna nguvu wala nini inayotumika hapa.
Ukitaka kutafakari jambo kiupana zaidi ya vile unavyokiona jaribu kukaa sehemu tulivu angalia hata km ni picha ama vuta taswira ya jambo lenyewe na ufunge macho kuna vingi utagundua. Ama km kuna jambo linakutatiza vuta pumzi ya kutosha relax then liwazie jambo kwa kiundani bila kuliangalia swala lenyewe kwa macho na akili iliyojaa fujo. Hapa najaribu kukuelekeza utafakari wa jambo upo kuanzia kiroho (tunaweza kusema jicho la tatu) hapo kuna mengi unaweza kuyaelewa zaidi na km utakuwa unajiamini unaweza kuyafanyia kazi na ndio njia pekee ya kulifungua jicho la tatu km utayafanyia maamuzi utakayorudi nayo baada ya tafakari.
Unaweza kuta na wewe ukafa kifo kinachofanana na hicho cha mbuzi.Habari kaka Mshana,
Hizo ni coincidence tu hazina uhusiano na nguvu wala miujiza yoyote kila jambo ni vile unavyolitazama, mimi sikubaliani na wewe.
Kama picha ilipigwa zamani kivipi leo niione sawa wakati nyakati zinabadilika? ni lazima nione mabadiliko mengi tu kwa kua muda nao umepita ipo hivyo tu.
Nikipiga picha leo na mbuzi wangu nyumbani baada ya miaka mitano yule mbuzi hatakuwepo labda amechinjwa au vyovyote na mimi pia nitakua pengine kama asili ya maisha ilivyo hakuna nguvu wala nini inayotumika hapa.
Alichotetea jamaa ni kutokana na mleta uzi kusema kuwa mabera hayupo dunian ilihali yuko kwao na familia yake. Na sio kuhusiana na hao wawili unaosema.
Sent using Jamii Forums mobile app