Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

They are all wearing black,they are all dead in series
images.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari kaka Mshana,

Hizo ni coincidence tu hazina uhusiano na nguvu wala miujiza yoyote kila jambo ni vile unavyolitazama, mimi sikubaliani na wewe.

Kama picha ilipigwa zamani kivipi leo niione sawa wakati nyakati zinabadilika? ni lazima nione mabadiliko mengi tu kwa kua muda nao umepita ipo hivyo tu.

Nikipiga picha leo na mbuzi wangu nyumbani baada ya miaka mitano yule mbuzi hatakuwepo labda amechinjwa au vyovyote na mimi pia nitakua pengine kama asili ya maisha ilivyo hakuna nguvu wala nini inayotumika hapa.

Ukitaka kutafakari jambo kiupana zaidi ya vile unavyokiona jaribu kukaa sehemu tulivu angalia hata km ni picha ama vuta taswira ya jambo lenyewe na ufunge macho kuna vingi utagundua. Ama km kuna jambo linakutatiza vuta pumzi ya kutosha relax then liwazie jambo kwa kiundani bila kuliangalia swala lenyewe kwa macho na akili iliyojaa fujo. Hapa najaribu kukuelekeza utafakari wa jambo upo kuanzia kiroho (tunaweza kusema jicho la tatu) hapo kuna mengi unaweza kuyaelewa zaidi na km utakuwa unajiamini unaweza kuyafanyia kazi na ndio njia pekee ya kulifungua jicho la tatu km utayafanyia maamuzi utakayorudi nayo baada ya tafakari.
 
Ama km kuna jambo linakutatiza vuta pumzi ya kutosha relax then liwazie jambo kwa kiundani bila kuliangalia swala lenyewe kwa macho na akili iliyojaa fujo. [emoji419][emoji625][emoji109][emoji123]
Ukitaka kutafakari jambo kiupana zaidi ya vile unavyokiona jaribu kukaa sehemu tulivu angalia hata km ni picha ama vuta taswira ya jambo lenyewe na ufunge macho kuna vingi utagundua. Ama km kuna jambo linakutatiza vuta pumzi ya kutosha relax then liwazie jambo kwa kiundani bila kuliangalia swala lenyewe kwa macho na akili iliyojaa fujo. Hapa najaribu kukuelekeza utafakari wa jambo upo kuanzia kiroho (tunaweza kusema jicho la tatu) hapo kuna mengi unaweza kuyaelewa zaidi na km utakuwa unajiamini unaweza kuyafanyia kazi na ndio njia pekee ya kulifungua jicho la tatu km utayafanyia maamuzi utakayorudi nayo baada ya tafakari.

Jr[emoji769]
 
Habari kaka Mshana,

Hizo ni coincidence tu hazina uhusiano na nguvu wala miujiza yoyote kila jambo ni vile unavyolitazama, mimi sikubaliani na wewe.

Kama picha ilipigwa zamani kivipi leo niione sawa wakati nyakati zinabadilika? ni lazima nione mabadiliko mengi tu kwa kua muda nao umepita ipo hivyo tu.

Nikipiga picha leo na mbuzi wangu nyumbani baada ya miaka mitano yule mbuzi hatakuwepo labda amechinjwa au vyovyote na mimi pia nitakua pengine kama asili ya maisha ilivyo hakuna nguvu wala nini inayotumika hapa.
Unaweza kuta na wewe ukafa kifo kinachofanana na hicho cha mbuzi.

Siku ikiwekwe hiyo picha yako,ndiyo tutaanza kuelewa.

Mungu aepishie mbali hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom