Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

Muda utasema

Jr[emoji769]
Tukiachilia mbali muda eti utasema ,


Kwani hao waliobaki kwenye picha hawatakufa hata Kama wangekuwa hawajapiga picha ?



Mkapa aliekufa leo aliwahi kupiga picha Na Nyerere aliekufa mwaka 1999 ila yeye kafa Leo baada ya miaka 22. Sasa Nyie hamtaki mtu afe ?


Naona Kuna wajinga wengine wanasema watakuwa hapigi picha hahaha , Sasa usipopiga picha ndio hufi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…