KING KIGODA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2018
- 3,893
- 3,145
Kila kitu ubishi!Ndiyo maana tunayabishia hata mafanikio yetu wenyewe.Ni mtazamo,hao jamaa kwenye picha kwani hawajawai kupiga picha na watu wengine,wakiwa wamevaa mavadhi kama hayo,au kuwa na muonekano kama huu,wewe umechagua picha inayoendana na ulichotaka kutuaminisha,hiyo sio picha pekee,maisha hayana kanuni maalumu,
What about these ?
Fafanua kidogo STUNTERHuyu Mwanafunzi aitwaye MANAWA SAMSON amejiua kwa kujirusha toka ghorofa ya pili pale UDSM.
Sasa kwenye Facebook yake nimekutana na hii picha ya mwaka 2021 april.
Amepost mwenyewe yani, inaonyesha kama amejitabiria! Cc Mshana Jr View attachment 2077992
Duh ndio huyo wa leo aliyeiba laptop?Huyu Mwanafunzi aitwaye MANAWA SAMSON amejiua kwa kujirusha toka ghorofa ya pili pale UDSM.
Sasa kwenye Facebook yake nimekutana na hii picha ya mwaka 2021 april.
Amepost mwenyewe yani, inaonyesha kama amejitabiria! Cc Mshana Jr View attachment 2077992
Jamaa anaonekana kutofurahiswa hapa
Mkuu natoka nje ya mada kidogo.
Hivi members wote wa outlaws wapo hai?Hawa ni Members (Washkaji wa Tupac) wa Kundi la Tupac "OUTLAWS". Tupac alikufa September 1996 na November 1996 akafa Member mwengine wa Kundi... Yafeu Akiyele Fula maarufu "Yaki Gadafi". Katika Picha hii, Tupac na Gadaf wote wamevaa Tshirt Nyeupe! Mshana Jr
View attachment 2062631
Ni yeye mkuu. Ameiba Laptop kisha akajirusha ghorofaniDuh ndio huyo wa leo aliyeiba laptop?
Mkuu natoka nje ya mada kidogo.
Sijui hili ni tatizo ama ni dalili ya nini?
Ni kwamba, nimekuwa nikikutana na namba 11 kila niangalipo muda. Yaani mfano utakuta nimetoa simu mfukoni ili kuendelea na matumizi mengine, lakini nikipiga jicho kwenye muda hutokea nakuta kama ni saa 5 basi huwa na dk 11, au wakati mwingine hukuta 11:11 au 8:11 yaani mara nyingi hukutana na hiyo namba sasa sijaelewa ina maana gani hyo namba. Kwa kiwa ndugu yetu mdadavuaji wa mambo huenda hili ukawa una fununu nalo hivyo ukatupatia mawili matatu kuhusu hii namba
Hii picha itaonge muda sio mrefu
inaitwa synchronisation... The universe is trying to send u message... pia 11.11 au 1.11 ukiona namba 1 zinafatana hivo sana ni kua you are probably on a right path. katika kujitafuta kufahamu ww ni nani na lengo lako hapa duniani..
hizo hua zinaitwa angel numbers!
picha hiyo imeongea namuona nyerere akiwa na hofu kuu...utadhani nyerere alikuwa bwana mdogo harafu sokine alikuwa bwana mkubwa.....sijui kwanini nyerere alimuogopa sana huyu bwana
Halafu alimwamini sana na infact Sokoine hakuwa mwoga kwa yeyote akiwemo mchonga mwenyewepicha hiyo imeongea namuona nyerere akiwa na hofu kuu...utadhani nyerere alikuwa bwana mdogo harafu sokine alikuwa bwana mkubwa.....sijui kwanini nyerere alimuogopa sana huyu bwana
Hivi members wote wa outlaws wapo hai?
kwamba 2 PAC yupo hai?Napoleon au MUTAH WASSIN SHABBAZ yu hai akiwa MOTIVATIONAL SPEAKER wa Dini ya Kiislam na muda mwingi anaishi SAUDI ARABIA
Terrace Cox Katari alibatizwa KASTRO na Tupac nae yu hai.
Suicide nyingine ni kafara, ila inatengenezwa ionekane amejiua ila ukweli ni kwamba ametolewa kafara.Huyu Mwanafunzi aitwaye MANAWA SAMSON amejiua kwa kujirusha toka ghorofa ya pili pale UDSM.
Sasa kwenye Facebook yake nimekutana na hii picha ya mwaka 2021 april.
Amepost mwenyewe yani, inaonyesha kama amejitabiria! Cc Mshana Jr View attachment 2077992
Huu uzi unazidi kunifanya niogope picha aisee duhNadhan wote mlisikia kuhusu kifo cha uyu kijana wa UDOM, Mungu ampe pumziko la amaniView attachment 2056695