KING KIGODA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2018
- 3,893
- 3,145
Kila kitu ubishi!Ndiyo maana tunayabishia hata mafanikio yetu wenyewe.Ni mtazamo,hao jamaa kwenye picha kwani hawajawai kupiga picha na watu wengine,wakiwa wamevaa mavadhi kama hayo,au kuwa na muonekano kama huu,wewe umechagua picha inayoendana na ulichotaka kutuaminisha,hiyo sio picha pekee,maisha hayana kanuni maalumu,