Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

Mama yangu enzi za uhai wake alipiga picha na dada na mdogo wangu kwa nyakati tofauti, Sikuwahi piga nae na dada yangu mkubwa pia hapiga nae ,Hadi leo hii Mama na wale ndugu alipiga nao picha wamefariki tupo hai mimi na dada mkubwa
Kwahiyo hamtakufa kwasababu hamko kwenye picha? Ni punguani tu ndo wataamini ujinga unaozungumzwa kwenye huu uzi.
 
Imebidi niangalie tena kwa umakini. Katika picha zote Membe yuko upande wa kulia ukiitazama picha.

Nahisi kuna maana hapa inayoambatana na sequence of flow of events.

Time will tell. Mshana Jr big respect kwako bro kwa huu uzi.
[emoji1545]
FB_IMG_1684231403797.jpg
 
Hao watatu kulia wenye koti za dark blue walikuwa kozi moja hao wadada watatu wanaofata walikuwa kozi moja hao wawili walikuwa kozi moja huyo mwenye hijab alikuwa kozi tofauti halafu huyo wa nyuma nae kozi tofauti

Hiyo picha nyingine hao wadada watatu kuanzia kulia walikuwa kozi moja hao walio simama mwisho kushoto na kulia kozi moja pia [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
IMG-20230418-WA0043.jpg
IMG-20230418-WA0019.jpg
 
Hao watatu kulia wenye koti za dark blue walikuwa kozi moja hao wadada watatu wanaofata walikuwa kozi moja hao wawili walikuwa kozi moja huyo mwenye hijab alikuwa kozi tofauti halafu huyo wa nyuma nae kozi tofauti

Hiyo picha nyingine hao wadada watatu kuanzia kulia walikuwa kozi moja hao walio simama mwisho kushoto na kulia kozi moja pia [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]View attachment 2630356View attachment 2630360
Kwa hiyo imekuaje
 
Huu uzi una uongo mwingi sana tena sana. Binadamu anakuja na kuondoka ila mtu mmoja anadai mtu akiondoka kwenye picha aliyopiga na wengine eti ni 'tasfiri ya picha kwenye ulimwengu wa kiroho'
Nonsense kabisa...uzi wa kijinga sana tena sana maana hakuna atakeyeishi milele.
 
Back
Top Bottom