Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

_20230726_062503.JPG
 
Hata huyu naye anasound peke yake .....muda utazungumza[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2708195
Hao wengine ni wazee wa miaka mingi yeye ni kijana mdogo inawezekana wengine wote watatoka madarakani atabaki yeye tu.

Lakini pia yeye ni Mjeda na wengine ni wanasiasa yawezekana kwenye hiyo picha yupo pekee yake kimtazamo wengine wanamambo yao
 
KUMBUKUMBU!

Pichani ni Dr. Hassy Kitine, PhD aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TISS (1978 - 1980) & Hayati Dr. Agustine Mahiga, PhD, Mkurugenzi TISS ( 1980 - 1983) wakiwa na fomu za kugombea Ubunge & Urais ndani ya CCM.

Hayati Jaji Augustino Ramadhani, CJ (2007 - 2010) akiwa na fomu ya kugombea Urais 2015 & Hayati mzee Jecha Salim Jecha aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume 'HURU' ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) akiwa na fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar 2020.
20230829_094333.jpg
20230829_094326.jpg
20230829_094322.jpg
20230829_094319.jpg
 
KUMBUKUMBU!

Pichani ni Dr. Hassy Kitine, PhD aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TISS (1978 - 1980) & Hayati Dr. Agustine Mahiga, PhD, Mkurugenzi TISS ( 1980 - 1983) wakiwa na fomu za kugombea Ubunge & Urais ndani ya CCM.

Hayati Jaji Augustino Ramadhani, CJ (2007 - 2010) akiwa na fomu ya kugombea Urais 2015 & Hayati mzee Jecha Salim Jecha aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume 'HURU' ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) akiwa na fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar 2020.
View attachment 2732199View attachment 2732200View attachment 2732201View attachment 2732202
Amebaki Hassy tu wengine wote wamefariki
 
Back
Top Bottom