kaligopelelo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 2,832
- 4,070
Kwahiyo hamtakufa kwasababu hamko kwenye picha? Ni punguani tu ndo wataamini ujinga unaozungumzwa kwenye huu uzi.Mama yangu enzi za uhai wake alipiga picha na dada na mdogo wangu kwa nyakati tofauti, Sikuwahi piga nae na dada yangu mkubwa pia hapiga nae ,Hadi leo hii Mama na wale ndugu alipiga nao picha wamefariki tupo hai mimi na dada mkubwa
Labda haujamuelewa mdau alichoandika hapo Mkuu.Kwahiyo hamtakufa kwasababu hamko kwenye picha? Ni punguani tu ndo wataamini ujinga unaozungumzwa kwenye huu uzi.
Leo ndio nimekuja kuamini huuu uzi una maana sana, sita piga picha na watu ,,[emoji15][emoji35]View attachment 2621276
Nimewaelewa sanaLabda haujamuelewa mdau alichoandika hapo Mkuu.
kwahiyo ndio tuseme mufti ndio next akifuatiwa na mzee wa Msoga ama tuangalie waliovaa nguo zinazoshabihiana na marehemu kuwa ndie anaefuata?
Itunze hii comments......Kuna kitu utaelewa[emoji52][emoji817]kwahiyo ndio tuseme mufti ndio next akifuatiwa na mzee wa Msoga ama tuangalie waliovaa nguo zinazoshabihiana na marehemu kuwa ndie anaefuata?
Imebidi niangalie tena kwa umakini. Katika picha zote Membe yuko upande wa kulia ukiitazama picha.
Naogopa sana kupiga picha za wengi
Tupo wengi aiseNaogopa sana kupiga picha za wengi
Hao watatu kulia wenye koti za dark blue walikuwa kozi moja hao wadada watatu wanaofata walikuwa kozi moja hao wawili walikuwa kozi moja huyo mwenye hijab alikuwa kozi tofauti halafu huyo wa nyuma nae kozi tofautiIkoje
Kwa hiyo imekuajeHao watatu kulia wenye koti za dark blue walikuwa kozi moja hao wadada watatu wanaofata walikuwa kozi moja hao wawili walikuwa kozi moja huyo mwenye hijab alikuwa kozi tofauti halafu huyo wa nyuma nae kozi tofauti
Hiyo picha nyingine hao wadada watatu kuanzia kulia walikuwa kozi moja hao walio simama mwisho kushoto na kulia kozi moja pia [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]View attachment 2630356View attachment 2630360
Tuliza oblongata ndio utaelewaKwa hiyo imekuaje