Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waooohhh congrats... Congrats... Congrats... Anafahamu kuwa sasa nyie ni mke na mume?nakumbuka mwaka fulani nikiwa chuo alikuja vice principal akatupiga picha mm na dada mmoja tukiwa tunasoma, akaiweka kwenye page yake fb hadi leo ipo.... wonderful enough leo hii tunaishi pamoja as husband & wife.
ofcoz anafahamu mana nilimjulisha kipindi tunaoanaWaooohhh congrats... Congrats... Congrats... Anafahamu kuwa sasa nyie ni mke na mume?
Jr[emoji769]
ngoja niku pm link ya hiyo pic uione mkuuWaooohhh congrats... Congrats... Congrats... Anafahamu kuwa sasa nyie ni mke na mume?
Jr[emoji769]
unataka nikudanganye..?Jaribu kuwa mweledi
Jr[emoji769]
Aisee.. ni kwamba walikuwa ni wamoja na bado umoja wao uliendelea, unaendelea na utaendelea kuwepo...Tafsiri haiwezi kuja sasa hivi labda tu iwe Kama zamani kulikuwa na picha nyingine wamepiga pamoja
Jr[emoji769]
Duu [emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144]Pande walizosimama, pembeniView attachment 1040062
Duu [emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144]
Jr[emoji769]
Weupe upande wao na weusi upande wao huku wakiwa na sare.Tafsiri haiwezi kuja sasa hivi labda tu iwe Kama zamani kulikuwa na picha nyingine wamepiga pamoja
Jr[emoji769]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]acha maskhara na kaka mkubwa basiHii nayo nasubiri siku moja kuona maana yake. View attachment 1040086
Mbatia ni Mbunge wa kuchaguliwa.Ubunge wake kateuliwa na Rais.